Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Namkumbuka Baba wa taifa mwalimu Nyerere alishawahi kusema wakati ule wa utawala wa mzee wa ruksa, kua kiongozi fulani anaamka tu asubuhi kashauriwa na mke wake halafu nayeye anakurupuka nakusema hivi na vile! Haya ndio ya James Mbatia mke wake kamshauri nenda kadai fidia kiasi fulani! Eti mke wake alimuona hafai!