Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,925
- 95,203
Nyimbo zenu sasa ni zilipendwa
CHADEMA ni kundi la wapigaji. Hawahitaji siasa kuwasaidia wananchi ni biashara. Wana viongozi wenye Busara ndogo. Ktk jamii zote, wizi ni kosa lisilokubalika, lakini eti Mkiti wa CAHDEMA akiambiwa kaiba, busara ni kunyamaza halafu, anajibiwa na wanaomuunga mkono. Uzuri mwaka huu kuna kila dalili wanapigwa chini!