Roboti la Matope
Member
- Oct 27, 2021
- 63
- 25
πππππππππMbona kawa mkali, au nanihii hakuacha faili lenye maelekezo ya zile nafasi za wabunge alizoahidiwa
View attachment 2030445
πππππππππMbona kawa mkali, au nanihii hakuacha faili lenye maelekezo ya zile nafasi za wabunge alizoahidiwa
View attachment 2030445
Mtasubiri sanaUyo ni Raisi wa mirathi, mpaka sasa hajui anachofanya zaidi ya kusubiri muda wake upite akacheze na wajukuu zake akina Wanu
Geita nyama Elfu 6 achen uongoBora kinondoni Nyama ni 9000 ni sawa coz hakuna wafugaji na maeneo ya kufugia hakuna
Mwanza,Geita,shinyanga, Simiyu na Tabora mikoa ya wafugaji Nyama kilo ni 9000-10,000
Unagongqwa wwHuku ulaya zinafua mashine vipi huko kwenu ikulyamabambashi?
Upo sahihi kabisa coz kunawatu hata ukiwaambia hii rangi ni nyeusi hawakubali kabisa kwa sababu ya mahaba ya kijinga. Kila mtu ale alikopeleka mbogaMimi nikipata riziki zangu inatosha.kila ntu apambane na Hali zake
Taja mfano wa ambacho kaagiza hajasikilizwa..Ombwe la uongozi ni kubwa, hakuna anae msikiliza Samia ilikuwa ni suala la muda tu kabla hamjaanza kujionea mauza uza, hatuna serious kiongozi, lakini pia tusimlaumu sana ni average president anaefanya vitu vya kawaida.
Wapi Rais aligiza kushushwa bei ya mafuta? Mafuta yanazalishwa Tzn?Bei ya mafuta imeshuka ?
Mwenyekiti wa chama cha Nccr Mageuzi James Mbatia leo ameitisha waandishi wa habari na kumuwakia vikali rais Samia kutokana na upandaji holela wa bei huku rais akiwa amekaa kimya bila kuingilia kati.
Mbatia amehoji huu upandaji wa bei unalenga kumunufaisha nani ikiwa wanyonge wa nchi hii wanateseka bila kutetewa na viongozi.
Pia amesema haiwezekani serikali ya awamu ya kwanza isumbuliwe na upungufu wa sukari na serikali ya awamu ya 6 ambayo imepatikana baada ya miaka 60 nayo isumbuliwe na tatizo la sukari lazima kutakuwa na tatizo la kiuongozi.
My take.
Ni Mbatia huyuhuyu alisema mama anatuponya majeraha ,anaupiga mwingi.
Leo hata mwaka haujaisha anamuwakia tena kwamba Tanzania haina kiongozi?
Hivi tutaacha lini unafiki?
Hii code ya tumbili nmeshindwa ku unlockCCM wanawasifia kimya kimya kwenye vikao vyao vya ndaani ndani huko na kutuma kina pole pole na Makonda kwenda kuwanunua.
Angalia wote waliorubuniwa na kujiunga na CCM Ni watu waziri mpaka wanapewa madaraka makubwa serikalini. Mitano michache.
1. Yule mpenda bia baridi
2. Sidiriande
3. Tumbili
4. Jamaa yake tumbili
5. Jotokali
6. Mkuu wa wilaya moja pembezoni
7. Mzee mdee and co.
8. Kikumbo
Kapigwa kitu kizito na wanywa urojo..pale jambiani.Alisifia alijua teuzi zikija atakuwemo,kuja kushituka wakojani wamejaza nafasi.
Sasa kaamua kuonyesha rangi yake halisi.
Waanze na bunge la mazuzu..idadi yao ipunguze..na mishahara yao ipunguzwe..magari ya serikali na chama v8 zisitumike tutumie rand lover.Nchi hii mambo ya utawala yana cost kuliko budget ya maendeleo ya yet wanasiasa wanataka mikoa na wilaya ziongezwe naunga mkono hoja mikoa na wilaya zipunguzwe na serikali iongeze budget ya maendeleo
Na mamako eeh
Wachaga siyo wa kuwaamini labda yule Augustino Lyatonga Mrema!
Ha ha shida ya msenge ni kutokunwa,mbatia hajakunwa longi basha wake kazikwaMwenyekiti wa chama cha Nccr Mageuzi James Mbatia leo ameitisha waandishi wa habari na kumuwakia vikali rais Samia kutokana na upandaji holela wa bei huku rais akiwa amekaa kimya bila kuingilia kati.
Mbatia amehoji huu upandaji wa bei unalenga kumunufaisha nani ikiwa wanyonge wa nchi hii wanateseka bila kutetewa na viongozi.
Pia amesema haiwezekani serikali ya awamu ya kwanza isumbuliwe na upungufu wa sukari na serikali ya awamu ya 6 ambayo imepatikana baada ya miaka 60 nayo isumbuliwe na tatizo la sukari lazima kutakuwa na tatizo la kiuongozi.
My take.
Ni Mbatia huyuhuyu alisema mama anatuponya majeraha ,anaupiga mwingi.
Leo hata mwaka haujaisha anamuwakia tena kwamba Tanzania haina kiongozi?
Hivi tutaacha lini unafiki?