James Mbatia amuwakia vikali Rais Samia, asema nchi haina uongozi

Elitwege

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
5,154
10,809
Mwenyekiti wa chama cha Nccr Mageuzi James Mbatia leo ameitisha waandishi wa habari na kumuwakia vikali rais Samia kutokana na upandaji holela wa bei huku rais akiwa amekaa kimya bila kuingilia kati.

Mbatia amehoji huu upandaji wa bei unalenga kumunufaisha nani ikiwa wanyonge wa nchi hii wanateseka bila kutetewa na viongozi.

Pia amesema haiwezekani serikali ya awamu ya kwanza isumbuliwe na upungufu wa sukari na serikali ya awamu ya 6 ambayo imepatikana baada ya miaka 60 nayo isumbuliwe na tatizo la sukari lazima kutakuwa na tatizo la kiuongozi.

My take.
Ni Mbatia huyuhuyu alisema mama anatuponya majeraha ,anaupiga mwingi.

Leo hata mwaka haujaisha anamuwakia tena kwamba Tanzania haina kiongozi?

Hivi tutaacha lini unafiki?

 
Tufanye yafuatayo;tshs yetu tuipandikize kwenye BWP na tuondoe kwenye mzunguko noti zote za kuanzia 1000 hadi 10 000(tubakiwe na 100 tu,hili linawezekana Zambia walifanya hili)extra taxes kuhusiana na bei ya mafuta ziondolewe na zibakizwe zile muhimu tu,watumiaji wa barabara tujenge road tolls ili gharama za hizi barabara zipatikane humo;free market tuimarishe ila tulinde viwanda vya ndani;serikali yetu ni kubwa mno we just need 15 Departments;mikoa 20 tu na wilaya 70 tu,wananchi wanahitaji services delivery sio utitiri wa wilaya na mwisho tufanye kazi kwa uadilifu!TRA na TBS ya sasa ni vikwazo mno kwa wajasiria mali ni super bussiness people's wanaonufaika na taasisi hizi.
 
Tufanye yafuatayo;tshs yetu tuipandikize kwenye BWP na tuondoe kwenye mzunguko noti zote za kuanzia 1000 hadi 10 000(tubakiwe na 100 tu,hili linawezekana Zambia walifanya hili)extra taxes kuhusiana na bei ya mafuta ziondolewe na zibakizwe zile muhimu tu,watumiaji wa barabara tujenge road tolls ili gharama za hizi barabara zipatikane humo;free market tuimarishe ila tulinde viwanda vya ndani;serikali yetu ni kubwa mno we just need 15 Departments;mikoa 20 tu na wilaya 70 tu,wananchi wanahitaji services delivery sio utitiri wa wilaya na mwisho tufanye kazi kwa uadilifu!TRA na TBS ya sasa ni vikwazo mno kwa wajasiria mali ni super bussiness people's wanaonufaika na taasisi hizi.
Tujenge road tolls ili gharama za hizi tozo la road toll liko kwenye mafuta
 
Mbona kawa mkali, au nanihii hakuacha faili lenye maelekezo ya zile nafasi za wabunge alizoahidiwa

20211129_121728.jpg
 
22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom