Afate katiba we kiazi ,zama za kufata matakwa zimeisha jikiteni kwenye katibaAjiuzulu bila kosa lolote kwa kuwa tu Ufipa wanataka? Nyie watu ni nyumbxxxxx.
Hapo patamu maana alishasahau bei umeme, maji, petrol, chakula, mavazi n.k shida anaziona kwenye tv pekeeBaada ya Mh. Rais Samia kumteua Bw. Mpango aliyekuwa waziri wa fedha katika serikali ya Magufuli ni vema ukaonyesha mfano kwa wewe na Baraza zima la mawaziri mkajiuzulu ili kumpa Rais Samia wigo mpana zaidi wa kuunda serikali yake. Sasa hivi mnamlazimisha Mh. Rais kuziba kiraka cha Mpango katika wizara ya fedha tu na ninyi kubaki katika nafasi zenu.
Kujiuzulu kwako haina maana hawezi kukuteua tena bali ni kulinda heshima yako na ukiteuliwa tena itakupa wewe uhalali wa kufanya kazi zako kwa uhuru zaidi. Kuendelea kung'ang'ania hiyo nafasi kunaweza kusababisha ukaondolewa kwa fedheha.
Asikuambie mtu, mtaani ni kugumu
Hujawajua hawa watu wanataka nini? Wanajalibu kubahatisha kama mama atapovunja baraza la mawaziri labda mama anaweza kuwakubuka kwenye teuziMnampotosha huyu mama, mnatafutia vita huyu mama CCM ni hile hile na watu ni wale wale au mnataka akalete mawaziri Zanzibar kwao?
yeye ni Vp Hilo balaza la mawaziri wakati linaundwa si alikuepo kwenye huo utawala
ACHA WIVU NA CHUKI UTAKUFA MASIKINIKabisa ili mama aongoze nchi bila kufunikwa na kivuli cha Magufuli, inabidi avunje hilo baraza haraka. Ma hata hao mawaziri hilo wanalijua, lakini wanalazimisha kuwepo ili kumtisha huyo mama asiwaguse. Na kwenye kuunda baraza lake ahakishe Majaliwa, Kabudi, Mwigulu na Jafo wasiwepo. Wale wate waliokuwa wanajipendekeza wazi wazi kwa Magufuli awapige chini haraka maana ndio watamkwamisha. Hao waliokuwa mawaziri wa wizara nyingine, awageuze kuwa manaibu mawaziri.
Naona Sasa wafanya kazi wanaanza kupangia boss cha kufanya au mnataka avunje baraza nanyi awakumbuke kwenye teuzi?Mhe:Rais Mama yetu Samia Suluhu Hassan chondechonde vunja baraza lote la mawaziri. Teua wachapa kazi na Waape kiapo cha utii mbele yako. Pia nakupongeza kwa uteuzi wa Dr. Philip Isdory Mpango kuwa Makamu wa Rais. Pia nakupongeza kwa kuanza vizuri na ATCL, TPA na BOT/HAZINA.
Tembea zaidi TAMISEMI, TRA, LOAN BOARD (HESLB), Mpe msimamo Speaker wa Bunge Job Ndugai wito wa kuwaondoa Wabunge hewa19, Fanya Special Auditing ya Miradi mikubwa ya JPM hata Ubungo Interchange, Busisi Bridge, Nyerere Hydro Power Project, na mwisho toa Ajira mpya.
Mungu akulinde na akuongoze Mama. Kila la Kheri.
pambana atakukumbuka kwenye teuzi!Baada ya Mh. Rais Samia kumteua Bw. Mpango aliyekuwa waziri wa fedha katika serikali ya Magufuli ni vema ukaonyesha mfano kwa wewe na Baraza zima la mawaziri mkajiuzulu ili kumpa Rais Samia wigo mpana zaidi wa kuunda serikali yake. Sasa hivi mnamlazimisha Mh. Rais kuziba kiraka cha Mpango katika wizara ya fedha tu na ninyi kubaki katika nafasi zenu.
Kujiuzulu kwako haina maana hawezi kukuteua tena bali ni kulinda heshima yako na ukiteuliwa tena itakupa wewe uhalali wa kufanya kazi zako kwa uhuru zaidi. Kuendelea kung'ang'ania hiyo nafasi kunaweza kusababisha ukaondolewa kwa fedheha.
basi sawa Kama mambo yapo vile PM Hana ulazima wa kujiuzulu,tulishajua mnachotaka baraza livunje ili nanyi awakumbuke kwenye teuziWakati unampigia kura magufuli,ni wakati huo huo ulimchagua na Makamu wake.
Naona ww ndie afisa habari wezi wa kujibu hoja za watu wote JF.Naona Sasa wafanya kazi wanaanza kupangia boss cha kufanya au mnataka avunje baraza nanyi awakumbuke kwenye teuzi?
ACHA WIVU NA CHUKI UTAKUFA MASIKINI
Toka lini Nchemba ni mwanasheria nguli?Huo ni uchochezi sasa
Mwanasheria nguli Dr Mwigullu Nchemba alishatoa ufafanuzi!