Asante Sana mkuu Pascal MayallaMkuu Sexless , japo sijabahatika kuiona charge sheet, lakini Mbatia has a point.
1. Katiba imetoa maelekezo Spika akijiuzulu barua anapeleka kwa nani?. Hili halijufanyika!. Why?. Mahakama itajibu.
2. CCM ndio imeliarifu Bunge, na Bunge likakubali!. Who is mightier kati ya Bunge na CCM?. I thought enzi za party supremacy are over!.
3. Kuna watu wamezuiwa kugombea Uspika, wametajwa mawaziri, manaibu mawaziri na viongozi wengine wanaotajwa na katiba. Tulia kagombea bila kwanza kujiuzulu unaibu Spika, kasema Naibu Spika hatatajwa!.
Mahakama itajibu.
P