denooJ JF-Expert Member Mar 31, 2020 18,511 68,141 Aug 28, 2021 #21 Hii nchi naona hata CCM wameshachoka kuitawala, ni kama vile wanamtafuta mtu wamkodishie, akili zao zime-stuck ndio wakome kuiba kura.
Hii nchi naona hata CCM wameshachoka kuitawala, ni kama vile wanamtafuta mtu wamkodishie, akili zao zime-stuck ndio wakome kuiba kura.
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Nov 25, 2010 62,204 128,020 Aug 28, 2021 #22 Mama Samia anaelekeza kushoto lakini jeshi la Sirro linapiga kulia. Je, kuna maagizo mengine huwa anayatoa chemba punde baada ya hutuba yake? Kwa nini maelekezo ya Rais yanapuuzwa na polisi lakini hakuna anayewajibishwa?
Mama Samia anaelekeza kushoto lakini jeshi la Sirro linapiga kulia. Je, kuna maagizo mengine huwa anayatoa chemba punde baada ya hutuba yake? Kwa nini maelekezo ya Rais yanapuuzwa na polisi lakini hakuna anayewajibishwa?