James Mapalala: Mwanzilishi wa mageuzi aliyeishia kwenye mikosi

Namfahamu fika Mzee James Mapalala, sisi tulikuwa tukiishi Driver In Flats, Mafleti yeye akiishi Morocco pale Polisi walipojenga, ile 1984 aliandaa petition na kuipitisha home kwa dingi ili isainiwe, dingi alisaini, mtiti ulipoanza signatories wote wa ile petition cha moto walikipata!. Wanaomjua Nyerere jamani mwacheni tuu apumzike kwa amani!, Huyu Mwalimu alikuwa no nonsense man, hana mchezo kabisa! . Dingi aliopolewa na Murtaza Lakha alijenga hoja waliosaini hawakujua wana saini nini, ili jinai iwepo lazima kuwepo kwa actus reus na mens rea!
Wengine waachiwa Mapalala akaendelea kushikiliwa.
Haahahahhaa dah kumbe dingi wako alishaisoma namba kitambo.
Pole yake
 
Mbowe ndio mwana mageuzi aliyefanikiwa kupita wote.Fundikira , Mtikila na Mapalala hawakuwa na msukumo katika saisa za nchi. Ata Mrema ni sufuri.Mbowe kupitia kambi maalumu ya upinzani ameweza kuibana serikali na kuchochea maendeleo.Bila upinzani kamwe hatuwezi kupata maendeleo Chanya.Nyerere alitawala bila upinzani kwa miaka 30 na hatukupata maendeleo yoyote.
Du! Soma historia ya Mtikila utamjua ni nani....kama ni mabadiliko huyu kafanya mengi sana
 
Du! Soma historia ya Mtikila utamjua ni nani....kama ni mabadiliko huyu kafanya mengi sana
Dkt.Mtikila alipambana sana mahakamani.Alikuwa ni mzalendo ila nadhani kabla ya umauti wake alianza kuharibu.

Ila chama chake hakikuwahi kupata wabunge wala diwani kama CHADEMA.Pia dosari nyingine ni kuwa hakuamini katika muungano wa vyama vya uoinzani.
 
Dkt.Mtikila alipambana sana mahakamani.Alikuwa ni mzalendo ila nadhani kabla ya umauti wake alianza kuharibu.

Ila chama chake hakikuwahi kupata wabunge wala diwani kama CHADEMA.Pia dosari nyingine ni kuwa hakuamini katika muungano wa vyama vya uoinzani.
Kwanza lazima ujue DP ilisajiliwa rasmi mwaka 2002 kwasababu ya misimamo yake ya kutokutaka Muungano, kwahiyo DP imefanya chaguzi tatu tu...siasa za majukwaani Mtikila alizifanya miaka ya tsini kipindi cha magabacholi eakati ule ndiye aliyekuwa mwanasiasa mwenye nguvu sana kwa wapinzani, pamoja na kwamba hakuwahi kupata uwakilishi bunveni lakini yeye na chama chake wanajivunia mafanikio mengi tu waliyoyapata kupitia mahakama ambayo vyma vyenye uwakilishi bungeni havijapata.

Mtikila aliona mbali sana suala la miungano ya vyama japo yeye alikuwa ndiye haswa muwakilishi wa ukawa....siku anajitoa kwenye ukawa alisema kuwa ameona wenzake wapo kwa ajili ya kugawana madaraka na si kuwapigania wananchi hivyo haoni tija ya huo muungano...kile alichokisema ndicho kilichotokea..leo ukawa ipo wapi? Mtikila alisema kabisa Magufuli hatufai ataongoza hii nchi kwa jazba na hasira ndicho kinachotokea japo yeye alisema bora magufuli kuliko lowasa...na akasema ule mwaka tulipata hasara kwasababu wagombea wa vyama vikubwa wote walikuwa hawafai
 
Hawa wa Kanda ya ziwa huwa wanafafana wakiongoza nchi huwa masikini sana,wanachukia matajiri, wana nyota za kimasikini,nyota za kushindwa kwenye uchumi,naona kombe lisiwe linaenda huko.
mnaendelea kutuogopesha tu na maandiko kama Haya ya kikabila/kikanda.Tangu uhuru mlishika idara nyeti lkn mambo yamekuwa hivi wananchi wengi ni masikini wa kutupwa.
 
Mbowe ndio mwana mageuzi aliyefanikiwa kupita wote.Fundikira , Mtikila na Mapalala hawakuwa na msukumo katika saisa za nchi. Ata Mrema ni sufuri.Mbowe kupitia kambi maalumu ya upinzani ameweza kuibana serikali na kuchochea maendeleo.Bila upinzani kamwe hatuwezi kupata maendeleo Chanya.Nyerere alitawala bila upinzani kwa miaka 30 na hatukupata maendeleo yoyote.
Unamdharau baba wa taifa una akili kweli mababu zako si walikuwa wakivaa ngozi Leo hii wanavaa angalau kaniki.
 
Kuna haja ya kukusanya taarifa hizi tamu na kuandika kitabu. Kiandikwe kitabu ili watoto na wajukuu wetu wapate kujifunza historia ya ukombozi wa taifa lao. Mnishirikishe
 
Nimekuja kugundua....Life is a game of chess....sasa wewe cheza checkers uone!

Wengine we dont play any game.....Hapo sasa!
 
Namfahamu fika Mzee James Mapalala, sisi tulikuwa tukiishi Driver In Flats, Mafleti yeye akiishi Morocco pale Polisi walipojenga, ile 1984 aliandaa petition na kuipitisha home kwa dingi ili isainiwe, dingi alisaini, mtiti ulipoanza signatories wote wa ile petition cha moto walikipata!. Wanaomjua Nyerere jamani mwacheni tuu apumzike kwa amani!, Huyu Mwalimu alikuwa no nonsense man, hana mchezo kabisa! . Dingi aliopolewa na Murtaza Lakha alijenga hoja waliosaini hawakujua wana saini nini, ili jinai iwepo lazima kuwepo kwa actus reus na mens rea!
Wengine waachiwa Mapalala akaendelea kushikiliwa.
Mapalala huyu sie yule aliingia mitini na Mil 5 za ruzuku ya mgombea Urais wa CUF wa 1995?
 
Mkuu huwezi kuongelea harakati za mageuzi katika nchi hii ukaacha kuwataja watu kama akina Mzee Kasanga Tumbo, Mzee James Mapalala na Mzee Chifu Fundikira. Hawa wamekuwa wanamageuzi tangia miaka ya 60! Kassanga Tumbo amefariki akiwa ni mwanamageuzi.
Vipi kuhudu Oscar Kambona?
 
Nilisikia Mzee alimdhamini mkopo wa milioni 12 Advocate Maira toka savings and Finance commercial bank ambayo sasa hivi ni NIC Bank Tanzania,Maira hakulipaga deni benki ikauza kiwanja pale Morocco mil.110 top nasikia hata mke wa Mapalala alikuwa haujui huu mkopo, Inachekesha sana
Mzee mapalala nae wakati mwingine haeleweki!
Ilikuwaje advct maira alimuingiza kingi!
Naona kiwanja chke watu wmeki subdivide sahv anatokea nyumaa ya obay police....
Wkt mwingine mzee huyu anajichanganya mwenyewe kwenye mambo anayofanya

Ova
 
Nilisikia Mzee alimdhamini mkopo wa milioni 12 Advocate Maira toka savings and Finance commercial bank ambayo sasa hivi ni NIC Bank Tanzania,Maira hakulipaga deni benki ikauza kiwanja pale Morocco mil.110 top nasikia hata mke wa Mapalala alikuwa haujui huu mkopo, Inachekesha sana
Kweli ...ila adv maira alimchezea mchezo
Huyu mzee hashauriki hata watoto wake wamenyoosha mikono juu
Ona tu walivyommega kiwanja....zamani alikuwa anatokea mbele sahvi hapo kwake anatokea nyuma

Ova
 
Back
Top Bottom