bila kuitaja Chadema wee mgonjwa wa stroke siku hainogi maada yahusu cuf Chadema imeingiaje hapaLipumba mwenyewe si hao hao waarabu waliomtoa alikokua akagombee Urais? Udini mbaya; na ukabila pia huko Chadema.
Walishindwaje ku prove nia ovu ya mzee wako i.e. mens rea? Alikuwa hajui kusoma? Kama ni msomi atasaini kitu bila kuelewa maana yake? Mimi ningeweza ku prove both actus reus and mens rea early in the morning during the hearing session of the courtNamfahamu fika Mzee James Mapalala, sisi tulikuwa tukiishi Driver In Flats, Mafleti yeye akiishi Morocco pale Polisi walipojenga, ile 1984 aliandaa petition na kuipitisha home kwa dingi ili isainiwe, dingi alisaini, mtiti ulipoanza signatories wote wa ile petition cha moto walikipata!. Wanaomjua Nyerere jamani mwacheni tuu apumzike kwa amani!, Huyu Mwalimu alikuwa no nonsense man, hana mchezo kabisa! . Dingi aliopolewa na Murtaza Lakha alijenga hoja waliosaini hawakujua wana saini nini, ili jinai iwepo lazima kuwepo kwa actus reus na mens rea!
Wengine waachiwa Mapalala akaendelea kushikiliwa.
Umemsahau Mabere Nyaucho Marando!James Mapalala, Chief Abdalah Fundikirira na Mchungali Mtikila walikuwa wanasiasa nyota sana enzi hizo ila hawakufanikiwa sana.
Hao ndio wanamapibduzi wa kweli. Akina mbowe ni untivirus wa mageuziJames Mapalala, Chief Abdalah Fundikirira na Mchungali Mtikila walikuwa wanasiasa nyota sana enzi hizo ila hawakufanikiwa sana.
Enzi hizo ilikuwa ni kwa mwendo wa presidential preventive detention orders, hakuna kesi na kwa wengine hakuna hata kuambiwa kosa, wakati huo Nyerere, alionekana kama mungu fulani and no lawyer dared to challenge Mwalimu isipokuwa Murtaza Lakha, kwanza ndiye aliyemchomoa Mzee wangu kwenye Kesi ya Mauaji Mwanza, kisha kwenye hilo la Mapalala, alimchomoa kwa Habeas Corpus.Walishindwaje ku prove nia ovu ya mzee wako i.e. mens rea? Alikuwa hajui kusoma? Kama ni msomi atasaini kitu bila kuelewa maana yake? Mimi ningeweza ku prove both actus reus and mens rea early in the morning during the hearing session of the court
Huyu Murtaza Lakha nilimfaidi kwenye kesi ya uhaini ya mwaka 1984! Wakati huo nilikuwa mdogo lakini nikisoma uendeshaji wa kesi hiyo kwenye magazeti ya Uhuru na Mzalendo. Kuna maswali alikuwa akimuuliza shahidi X hadi wakati nasoma kwenye gazeti nikawa naogopa!! Kama unavyosema enzi hizo ilikuwa hatari hata wakati unasoma gazeti unadhani wale jamaa wa co cabs wapo wanakuchungulia.Enzi hizo ilikuwa ni kwa mwendo wa presidential preventive detention orders, hakuna kesi na kwa wengine hakuna hata kuambiwa kosa, wakati huo Nyerere, alionekana kama mungu fulani and no lawyer dared to challenge Mwalimu isipokuwa Murtaza Lakha, kwanza ndiye aliyemchomoa Mzee wangu kwenye Kesi ya Mauaji Mwanza, kisha kwenye hilo la Mapalala, alimchomoa kwa Habeas Corpus.
The signing sheet ya petition ilikuwa na majina tuu bila covering letter ni petition ya nini, Lakha akatumia legal technicalities na sio matters of law, dingi akachomoka haswa kwa kuzingatia kabla ya hapo alikuwa RSO wa Mwanza, hivyo it was easy.
P
Pascal hapa umeniacha njia panda. Ninavyoelewa Mzee wako Mzee Mayalla (May His Soul Rest In Eternal Peace) alikua mtu wa 'Kitengo" kwa ngazi ya RSO.Namfahamu fika Mzee James Mapalala, sisi tulikuwa tukiishi Driver In Flats, Mafleti yeye akiishi Morocco pale Polisi walipojenga, ile 1984 aliandaa petition na kuipitisha home kwa dingi ili isainiwe, dingi alisaini, mtiti ulipoanza signatories wote wa ile petition cha moto walikipata!. Wanaomjua Nyerere jamani mwacheni tuu apumzike kwa amani!, Huyu Mwalimu alikuwa no nonsense man, hana mchezo kabisa! . Dingi aliopolewa na Murtaza Lakha alijenga hoja waliosaini hawakujua wana saini nini, ili jinai iwepo lazima kuwepo kwa actus reus na mens rea!
Wengine waachiwa Mapalala akaendelea kushikiliwa.
Mkuu jamaa kasema mzee alitiwa ndani na Lakha akaenda mahakamani kuomba mtuhumiwa aletwe mahakamani kwa ile kitu inaitwa Habeus Corpus. Hii hutumika kuiomba mahakama iamuru mtu anayeshikiliwa na vyombo vya dola afikishwe mahakamani ili asomewe shitaka ama kama hakuna shitaka basi aachiwe huru.Pascal hapa umeniacha njia panda. Ninavyoelewa Mzee wako Mzee Mayalla (May His Soul Rest In Eternal Peace) alikua mtu wa 'Kitengo" kwa ngazi ya RSO.
Kumbukumbu zangu zaniambia jambo lililomletea msukosuko mkubwa mpaka wenzake kufukuzwa kazi na kuishia mahakamani kama sikosei huku yeye akiponea kwenye tundu la sindano ni yale mateso waliyoyatoa kwa washukiwa wa mauwaji ya vikongwe walikokua wanashutumiwa na kutuhumiwa na wananchi kwa uchawi
Huo msukosuko alioupata kwa ku sign petition ya Mapalala ndio kwanza nausikia. Na kama Murtaza Lakha alihusika inamaana issue ilifika mahakamani. Sasa unaweza kutufungua macho zaidi maana kama jambo lilishawahi kua mahakamani sio siri tena
Wasiwasi wangu ni kua yawezekana marehemu Mzee Mayalla alikua anajua fika mchezo woote kuhusiana na hiyo petition ya Mapalala, na kwamba yeye kushiriki kwake ku sign alikukua yupo "kazini" kuhakikisha hilo halifanikiwi na kama usemavyo moto uliwaka na hatimaye wahusika wote kutiwa mbaroni. Hilo la Wakili Lakha kuwaokoa ilikua ni kiini macho tu
Mwalim Nyerere alikua bingwa na mahiri wa intelijensia. Aliwaficha watendaji wa kitengo kwa namna ambayo wengine hushiriki katika jambo fulani mwanzo mwisho lakini kumbe kuna wanaotafutwa. Siku hizi mambo yameparaganyika na kila mtu anawajua kuanzia mkuu wa kitengo, naibu wake viongozi hasa wa wilaya na watendaji wengine
Oooh hapo sawa mkuu ingawa pia kipindi hicho sheria ya Presidential Preventive Detention Order ilikua in force na pia kama kweli Mwalimu angekua amejiridhisha pasiposhaka uhusika wa ex spy wake kwenye hiyo petition Lakha angepata tabu sana kumchomoaMkuu jamaa kasema mzee alitiwa ndani na Lakha akaenda mahakamani kuomba mtuhumiwa aletwe mahakamani kwa ile kitu inaitwa Habeus Corpus. Hii hutumika kuiomba mahakama iamuru mtu anayeshikiliwa na vyombo vya dola afikishwe mahakamani ili asomewe shitaka ama kama hakuna shitaka basi aachiwe huru.
Mapinduzi gani ya kweli aliyofanya Mapalala?!Au hilo neno Mapinduzi halina maana yoyote kwako?!Hao ndio wanamapibduzi wa kweli. Akina mbowe ni untivirus wa mageuzi
Mbowe ndio mwana mageuzi aliyefanikiwa kupita wote.Fundikira , Mtikila na Mapalala hawakuwa na msukumo katika saisa za nchi. Ata Mrema ni sufuri.Mbowe kupitia kambi maalumu ya upinzani ameweza kuibana serikali na kuchochea maendeleo.Bila upinzani kamwe hatuwezi kupata maendeleo Chanya.Nyerere alitawala bila upinzani kwa miaka 30 na hatukupata maendeleo yoyote.Hao ndio wanamapibduzi wa kweli. Akina mbowe ni untivirus wa mageuzi
Mkuu huwezi kuongelea harakati za mageuzi katika nchi hii ukaacha kuwataja watu kama akina Mzee Kasanga Tumbo, Mzee James Mapalala na Mzee Chifu Fundikira. Hawa wamekuwa wanamageuzi tangia miaka ya 60! Kassanga Tumbo amefariki akiwa ni mwanamageuzi.Mapinduzi gani ya kweli aliyofanya Mapalala?!Au hilo neno Mapinduzi halina maana yoyote kwako?!
Mageuzi ya nini?! Wamegeuza nini?! Siasa za vyama vingi haukuwa utashi wao binafsi bali ni KATIBA ya nchi. Hao uliowataja ni wachache waliochangamkia fursa hiyo.Mkuu huwezi kuongelea harakati za mageuzi katika nchi hii ukaacha kuwataja watu kama akina Mzee Kasanga Tumbo, Mzee James Mapalala na Mzee Chifu Fundikira. Hawa wamekuwa wanamageuzi tangia miaka ya 60! Kassanga Tumbo amefariki akiwa ni mwanamageuzi.
Msalimiee na Angela mapalalaMsalimie sana Bernard mapalala
Ova