Uchaguzi 2020 Jambo wanalopaswa kufahamu CHADEMA, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha

Kwani lini Hawa Malofa waliwahi kufanya Siasa Za kistaarabu?

Umesahau matusi Yao Kwa Rais Muungwana Kwa Kuwa tu alikuwa mstaarabu?

Sasa hivi wamepoa Kwa uoga Sio Kwa sababu ya ustaarabu wala hikma

Fursa ya kufanikiwa wameipoteza 2005-2015 Sasa hivi wavute subira Kwani Mvumilivu Hali mbichi
Jeuri dawa yake ni kiburi. JK alitukanwa na Mbowe akiambiwa kwamba anachokisema au anachokiahidi sicho anachokitenda. Ilikuwa ni kauli ya dharau kubwa sana kwa amiri jeshi wa nchi.

Mbatia nae akamkashifu JK licha ya ukweli kuwa ni yeye aliyemteua kuwa mbunge. JK hakutendewa haki hata kidogo.

Ngosha ukimfuata kistaarabu atakuchukulia kistaarabu, ukijifanya kichwa ngumu atakupiga kichwani kama mtu anayeua nyoka.
 
Mkuu Watanzania ndiyo wanaopiga kura na wao ndiyo wanaamua nani wamchague. Hata ukisema watu wamtenge mbunge anayehama chama, watamtenga vipi wakati wanakubaliana naye?? Nasema wanakubaliana naye maana hata uchaguzi ukirudiwa, yule anayehamia CCM ndiye anayeshinda, hiyo ni kilelezo tosha kuwa wananchi wa jimboni kwake wanakubaliana naye.

Tatizo ni CHADEMA kutokuwa na SERA za MAENDELEO KWA WANANCHI, na wananchi wamechoka na sera za maandamano kila siku, watu wanataka maendeleo kama anavyofanya Rais wao Magufuli.

Kwa taarifa yako hizi chaguzi za marudio zimedhibitisha ccm imechokwa ile mbaya. Imelazimisha kugeuza matokeo ya hao wapiga kura wachache kuwa wao ndio wameshinda. Kumefanyika uporaji wa wazi na uporaji huo uko wazi hata hap jukwaani. Mmewatumia mliowarubuni ili kuhadaa umma kwamba wanakubalika, lakini ndio wamepoteza ile mbaya.

Ni hivi ccm muda wake wa kukaa madarakani umeisha. Jeshi linaendelea kuangalia uhalisia wa ccm kukubalika na kipimo ni idadi ya wapiga kura na namna inavyoshinda. Lakini hakuna muda jeshi litachoka na litaiacha ccm ishindane kihalali, ndii maana umeona katibu mkuu wa ccm anajisifia kushinda lakini idadi ya wapuga kura kupungua imemtisha. Idadi ya wapiga kura ni kipimo cha kukubalika na hata kushinda.
 
Chama limejaa miwatu ya hovyo hovyo ndio tulipe nchi? Tangu wapokee mamvi waliekua wanamponda kutwa kucha niliona hamnazo hawa.
 
Jeuri dawa yake ni kiburi. JK alitukanwa na Mbowe akiambiwa kwamba anachokisema au anachokiahidi sicho anachokitenda. Ilikuwa ni kauli ya dharau kubwa sana kwa amiri jeshi wa nchi.

Mbatia nae akamkashifu JK licha ya ukweli kuwa ni yeye aliyemteua kuwa mbunge. JK hakutendewa haki hata kidogo.

Ngosha ukimfuata kistaarabu atakuchukulia kistaarabu, ukijifanya kichwa ngumu atakupiga kichwani kama mtu anayeua nyoka.

Ww ndio unawatetemekea marais kwakuwa maisha yako yanategemea uwepo wao. Hao marais ni wanasiasa tu na huo urais ni dhamana tu. Hakuna jinsi unaweza kuwatenga na vijembe vya kisiasa? Unawataja marais kama Miungu au watakatifu fulani ambao wao hawatukani wengine hivyo na wao wakijibiwa basi wamekashifiwa. Phillipo wewe ni mwanaume acha kauli za kujipendekeza kwa wanaume wenzio.
 
Rais wa CCM na CCM yake, na polisi wake na wateule wake na vyombo vingine vya kisheria na dola, hawaamini katika demokrasia. Wao wakisikia Chadema wanachukulia kama ni waasi au magaidi. Kwa hiyo wanapambana kwa njia zote zisizo za kidemokrasia, bila kujali dhuluma wanayofanya kwa wananchi wanaotumia muda wao mwingi kwenye kwenye mikutano ya kampeni na kwenye foleni, wakisubiri kupiga kura. Mbaya zaidi, CCM wako tayari kufanya mauaji kwa viongozi na wafuasi wa Chadema, tena wakishirikiana na vyombo vya dola na viongozi wa serikali ya CCM.
Jambo wanalopaswa kufahamu Chadema, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha.
Sikuwahi kukubaliana na wanaosema Watanzania hatuwezi kuheshimiana kwa sababu hatukuwahi kumwaga damu wenyewe kwa wenyewe, lakini sasa nakubaliana nawo. Sihamasishi kumwaga damu, lakini nakubali kwamba dhuluma inafanyika kwa sababu hatuheshimiani, na hatuheshimiani kwa sababu hatujatoana damu.
Dhuluma wanayofanyiwa Chadema itaendelea, kama wao wataendelea kusubiri siku ambayo CCM watakubali kukaa mezani, hiyo siku haiwezi kutokea. Hakuna mazungumzo kati ya mtu anayepoteza (looser) na mtu anayefaidika (beneficiary). Mazungumzo na suluhu vitakuja vyenyewe ikiwa wote mnapoteza.

Kila kukicha tunasikia kiongozi wa CDM amechinjwa, mara amepotea, mara amekatwa katwa mapanga na kutupwa mtaroni, mwingine ametiwa ndani kwa amri ya mkuu wa wilaya, wengine wanachomwa visu....hatusikii wa CCM wakifanyiwa hayo. Kwa hali hiyo, hakuna suluhu, kwa sababu anayepoteza (CDM) analialia, mnufaika (CCM) anafurahi. Lakini kama wote watalia, suluhu itakuja bila kuitwa.

Jambo wanalopaswa kufanya Chadema ni kujiandaa kifedha na kiintelijensia kabla ya 2020, la sivyo hawatapata jimbo hata moja.
Kujiandaa kifedha ni rahisi kuliko kujiandaa kiintelijensia. CCM hawana intelijensia zaidi ya kutegemea vyombo vya kiserikali. Lakini kama Chadema itawekeza kiuhakika kwenye intelijensia, ni Jeshi la wananchi pekee ndio litaweza kuidhibiti. "Jeshi" tu ndio chombo cha kogopa, na kuheshimu kiasi.
Idara ya usalama imejaa 'corrupts' na 'ignorant'. Wachache wanaojitambua hawawezi kufanya ujinga wa CCM, na hata wakirubuniwa hawawezi kufanya ujinga wa CCM kwa ufanisi wa kutosha. "Mtu anayefanya kazi kwa kurubuniwa au kulazimishwa hawezi kuifanya kwa ufanisi wa kutosha".
Zaidi wanaojitambua ndani ya vyombo vya dola, watakuwa radhi kutoa ushirikiano kwa Chadema kuliko CCM.
Na kwa hiyo, Chadema ikitaka kuunda intelijensia imara, itahitaji watu wa kujitolea. Ogopa mtu anayejitolea kupambana. Lakini pia anayejitolea anaweza kuwa 'ametumwa'.
Anyway! Jambo la msingi ndio hilo, kujiandaa. La sivyo, hakuna jimbo litaenda Chadema mwaka 2020. Kwanza hakutakuwa na uchaguzi zaidi ya vituko, na kama kweli Chadema wanataka kuirudisha nchi kwenye mstari, ni vema kujiandaa na vituko hivyo. Haipaswi hata kidogo kusubiri "Rais Mstaarabu" ili kupambana, hapana. Anayestahili "kupigwa" ni mtu asiye na ustaarabu. Mwaka 2020 unapaswa kuwa mwaka wa kukomesha vitendo visivyo vya kistaarabu tunavyofanyiana watanzania wenyewe kwa wenyewe. Na njia pekee iliyobaki ya kukomesha vitendo visivyo vya kistaarabu, ni kuwafanyia hao wahusika, vitendo visivyo vya kistaarabu.

Msimamizi anayetangaza matokeo ya uongo, halafu akaendelea kuishi kwa raha mustarehe, atarudia tena.

Mkuu wa polisi anayetuma polisi kutishia watu, kupiga raia na kusaidia CCM, akiachwa aendelee kula maisha kwa raha mustarehe, atarudia tena.

Kila kiumbe kinachofanya ujinga, kikaachwa kiendelee kuishi kwa raha mustarehe, kitarudia ujinga wake.

Kiongozi wa tume ya uchaguzi anayetumiwa na CCM kudhulumu demokrasia akiachwa aendelee kula maisha, atarudia tena.

Hao, wanatakiwa kukomeshwa, ili iwe funzo kwao na kwa wengine wenye tabia kama zao, na iwe funzo kwa anayewatuma.
Ukitaka kuua Nyoka, kata kichwa, ukishindwa, kata hata mkia, uwezekano ni kuwa atakimbia lakini tayari umempumguzia nguvu.

Nani mwenye uwezo wa kuwakomesha, bila kujiingiza katika mgogoro wa kisheria? Ndio hapo pa kuandaa intelijensia imara. Lawama ni bora kuliko fedheha, na katika hili anayestahili lawama ni CCM, na fedheha ni kwa Chadema. Mwaka 2020, Chadema ni vema walaumiwe kuliko kufedheheka.

Hata hivyo viongozi wakubwa wa Chadema hawapaswi kujiingiza katika hayo, kwasababu watakamatwa na kufungwa mara moja.
Na sisi wengine, tu waumini wa ubinadamu, ni rahisi zaidi kuachana na siasa kuliko kufanya hayo, hatuwezi hayo.

mr mkiki.
Kwanini haya unayoyasema humu yoote usiyafanye wewe na mkeo na familia yako ili kama hiyo damu mmwage ya kwenu?? Hakuna mwananchi mwenye akili timamu ambaye hafaidiki na uchadema wenu utamuona kukuunga mkono katika huu upuuzi wako. Halafu mnalazimisha kutuongoza wananchi wakati hatuwataki mbona mnashangaza nyie chadema?? Kwani lazima kuongoza nchi?? Kama mmeshindwa siasa si geuzeni hicho CHAMA KUA BENDI YA MUZIKI kwani shida iko wapi mpaka kuanza kuwaza hayo ya kumwaga damu sijui kupambana na nani sijui yani mmeishiwa hoja kiasi hiki?? Dah mnaelekea kubaya
 
Ww ndio unawatetemekea marais kwakuwa maisha yako yanategemea uwepo wao. Hao marais ni wanasiasa tu na huo urais ni dhamana tu. Hakuna jinsi unaweza kuwatenga na vijembe vya kisiasa? Unawataja marais kama Miungu au watakatifu fulani ambao wao hawatukani wengine hivyo na wao wakijibiwa basi wamekashifiwa. Phillipo wewe ni mwanaume acha kauli za kujipendekeza kwa wanaume wenzio.
Mkuu tindo, rais anaweza kukupoteza wewe na mimi ndani ya dakika yoyote. JK hakutendewa haki, wanasiasa hawana shukrani.

Wamejaa malalamiko na lawama, JK alijitahidi kuwa muungwana akaishia kutukanwa. Bora huyu wa sasa awe kauzu tu. Afanye analoona linafaa, wenye hekima watampongeza, wasio na hekima ambao kwao shukrani ni matusi watamtusi na kumkejeli kadri watakavyojisikia.

Vitabu vya dini vinatukumbusha kila siku, juu ya umuhimu wa kuheshimu mamlaka halali zilizopo. Ukishindana na mamlaka halali unajitafutia kuumia.
 
Huu ni uongo wa wazi wazi. Jana, leo au hata juzi kiongozi gani wa CDM amechinjwa?
Hivi Mawazo kwako akifanywaje mchana kweupe ?! Saa 8 yuko wapi?! Wale Vijana pale Tarime walifanywa Je?! Hananasifu yule katibu cdm alifanywaje ?! Kule Olassiti Arusha watu wanne walifanywaje mchana kweupe?!

Ni lini umewahi kusikia wapinzani wamewaua wana CCM ?!
 
Huyu LOFA anasema hatuwezi kuheshimiana hadi tumwage damu. Ndiyo maana Mzee Ben aliwaita malofa na wapumbavu,
Sijui anaandika tu bila fikilio, haya mwaga hiyo damu kama wanaume kweli, Ukuta mlishindwa maandamano ya fesibuku mmeshindwa alafu unaongea kumwaga damu.

Hili taifa tulikuwa tunataka maeendeleo tu na si siasa hata Chadema walikuwa wakihubili maendeleo ya nchi yetu tulianza kuwaamini tukashangaa baadaye wanapinga kilakitu hata Elimu bule ambayo ilikuwa sera yao wanaipinga.

Naomba vyombo vya usalama vimkamate huyu jamaa aunganishwe na akina Freeman mboye ktk kesi yao maana Mboe alisema lazima wafe watu 100 au 200 sasa yupo ktk kesi hili apate kujifunza.
Una akili ndogo sana !!
 
Mkuu vita unaijua au unaisikia tu kwa wenzako?? Haya mambo siyo ya kushabikia shabikia tu kama mpira vile. Ukitaka kuijua vita au harufu ya vita hebu safiri mpaka Syria ukaone kinachotokea kisha ndio utajua vita ni nini.

Mimi naamini kuna namna zingine za kupata solution kwenye mitafaruku lakini siyo vita, vita iacheni tu kwa majirani lakini siyo hapa kwetu.
Onyesha sasa hiyo njia na solution kwa mujibu wako!!
 
Hivi Mawazo kwako akifanywaje mchana kweupe ?! Saa 8 yuko wapi?! Wale Vijana pale Tarime walifanywa Je?! Hananasifu yule katibu cdm alifanywaje ?! Kule Olassiti Arusha watu wanne walifanywaje mchana kweupe?!

Ni lini umewahi kusikia wapinzani wamewaua wana CCM ?!
Acha ujinga sasa. Huyo jamaa niliyemjibu amedai kuwa kila kukicha viongozi wa CDM wanachinjwa. Sasa mimi nauliza jana au juzi ni kiongozi gani wa CDM amechinjwa. Wewe unaleta habari ya huyo Mawazo. Ndio huyo kiongozi aliyechinjwa jana? Nimeshakuambia sipendi longolongo.
 
Mkuu tindo, rais anaweza kukupoteza wewe na mimi ndani ya dakika yoyote. JK hakutendewa haki, wanasiasa hawana shukrani.

Wamejaa malalamiko na lawama, JK alijitahidi kuwa muungwana akaishia kutukanwa. Bora huyu wa sasa awe kauzu tu. Afanye analoona linafaa, wenye hekima watampongeza, wasio na hekima ambao kwao shukrani ni matusi watamtusi na kumkejeli kadri watakavyojisikia.

Vitabu vya dini vinatukumbusha kila siku, juu ya umuhimu wa kuheshimu mamlaka halali zilizopo. Ukishindana na mamlaka halali unajitafutia kuumia.

Mku narudia tena, rais ni mwanasiasa kama wanasiasa wengine na sio Mungu. Hivyo mashumbulizi ya kisiasa toka wanasiasa wenzake si jambo la ajabu. Tatizo mnaotoa maoni kwa kujipendekeza mnauficha ukweli huu. Yeye pia rais anatusi na kukejeli wengine hivyo naye kukutana na kejeli ni balance of nature. Kama ww ndio ingekuw amri yako ungetaka rais asiende choo, asisikie joto kali, asinyeshewe mvua kisa ni rais. Rais awa Marekani anakutana na kejeli na hapotezi mtu itakuw rais wa Tanzania?

Phillipo tuache kuwapa binadamu wenzetu utukufu usio na sababu hata kama wana madaraka. Ukiona rais kakejeliwa lazima kuna sababu, na nyie mnaowategemea kupoteza watu hamko tayari kusikia wakikutana na tabia za kibinadamu kwani mnawaona ni Miungu. Hizi hofu mnazowapa ndio mnawafanya wanalewa madaraka kwa kuwapa umungu usio na sababu.
 
Mtoa mada unahamasisha vurugu wakati huo ukijitetea kuwa hauhamasishi virugu na haupendi vurugu!

Tueleze, hadi utumie kauli gani zaidi ya maneno uliyoyatumia katika kuwasilisha mada yako hii ndiyo yaonekane ni ya uchonganishi ama uchochezi?

Unadhani kila mtu nchi hii anapenda sana vurugu ama visasi?

Kwa mfano wa maelezo yako ni kama mzazi umekuta mtoto wako na wa jirani wakigombana, tayari wakwako kakolewa konzi, halafu wewe kwa uchungu umshikilie mtoto wa jirani kisha umuamru mwanao naye aje alipize kisasi, kisha useme kuwa sasa ni sawa kwa sababu naye kamkoa!

Hapo utakuwa umewaamua au umeendeleza ugomvi na uhasama?

Unapokaa kati kama mpatanishi usije kuegemea upande!
Maana utaonekana upo upande unaotetea.

Kwa hiyo kwa muktadha wa mada hii, wewe kama ni mchadema damdam, usichochee ukiwa nyuma ya keyboard.
Jitokeze hadharani kwa utambulisho halisi, utoe dukuduku na ushuhuda wako huo kuthibitishia umma kama kweli wewe ni mfurukutwa #1 na vipaumbele unavyohamasisha watu kufanya ubayoyaona ni swadakta.

Vinginevyo wewe utakuwa ni Mange Kimambi mwenyewe uliyebadili Id na kuja kivingine.
 
Rais wa CCM na CCM yake, na polisi wake na wateule wake na vyombo vingine vya kisheria na dola, hawaamini katika demokrasia. Wao wakisikia Chadema wanachukulia kama ni waasi au magaidi. Kwa hiyo wanapambana kwa njia zote zisizo za kidemokrasia, bila kujali dhuluma wanayofanya kwa wananchi wanaotumia muda wao mwingi kwenye kwenye mikutano ya kampeni na kwenye foleni, wakisubiri kupiga kura. Mbaya zaidi, CCM wako tayari kufanya mauaji kwa viongozi na wafuasi wa Chadema, tena wakishirikiana na vyombo vya dola na viongozi wa serikali ya CCM.
Jambo wanalopaswa kufahamu Chadema, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha.
Sikuwahi kukubaliana na wanaosema Watanzania hatuwezi kuheshimiana kwa sababu hatukuwahi kumwaga damu wenyewe kwa wenyewe, lakini sasa nakubaliana nawo. Sihamasishi kumwaga damu, lakini nakubali kwamba dhuluma inafanyika kwa sababu hatuheshimiani, na hatuheshimiani kwa sababu hatujatoana damu.
Dhuluma wanayofanyiwa Chadema itaendelea, kama wao wataendelea kusubiri siku ambayo CCM watakubali kukaa mezani, hiyo siku haiwezi kutokea. Hakuna mazungumzo kati ya mtu anayepoteza (looser) na mtu anayefaidika (beneficiary). Mazungumzo na suluhu vitakuja vyenyewe ikiwa wote mnapoteza.

Kila kukicha tunasikia kiongozi wa CDM amechinjwa, mara amepotea, mara amekatwa katwa mapanga na kutupwa mtaroni, mwingine ametiwa ndani kwa amri ya mkuu wa wilaya, wengine wanachomwa visu....hatusikii wa CCM wakifanyiwa hayo. Kwa hali hiyo, hakuna suluhu, kwa sababu anayepoteza (CDM) analialia, mnufaika (CCM) anafurahi. Lakini kama wote watalia, suluhu itakuja bila kuitwa.

Jambo wanalopaswa kufanya Chadema ni kujiandaa kifedha na kiintelijensia kabla ya 2020, la sivyo hawatapata jimbo hata moja.
Kujiandaa kifedha ni rahisi kuliko kujiandaa kiintelijensia. CCM hawana intelijensia zaidi ya kutegemea vyombo vya kiserikali. Lakini kama Chadema itawekeza kiuhakika kwenye intelijensia, ni Jeshi la wananchi pekee ndio litaweza kuidhibiti. "Jeshi" tu ndio chombo cha kogopa, na kuheshimu kiasi.
Idara ya usalama imejaa 'corrupts' na 'ignorant'. Wachache wanaojitambua hawawezi kufanya ujinga wa CCM, na hata wakirubuniwa hawawezi kufanya ujinga wa CCM kwa ufanisi wa kutosha. "Mtu anayefanya kazi kwa kurubuniwa au kulazimishwa hawezi kuifanya kwa ufanisi wa kutosha".
Zaidi wanaojitambua ndani ya vyombo vya dola, watakuwa radhi kutoa ushirikiano kwa Chadema kuliko CCM.
Na kwa hiyo, Chadema ikitaka kuunda intelijensia imara, itahitaji watu wa kujitolea. Ogopa mtu anayejitolea kupambana. Lakini pia anayejitolea anaweza kuwa 'ametumwa'.
Anyway! Jambo la msingi ndio hilo, kujiandaa. La sivyo, hakuna jimbo litaenda Chadema mwaka 2020. Kwanza hakutakuwa na uchaguzi zaidi ya vituko, na kama kweli Chadema wanataka kuirudisha nchi kwenye mstari, ni vema kujiandaa na vituko hivyo. Haipaswi hata kidogo kusubiri "Rais Mstaarabu" ili kupambana, hapana. Anayestahili "kupigwa" ni mtu asiye na ustaarabu. Mwaka 2020 unapaswa kuwa mwaka wa kukomesha vitendo visivyo vya kistaarabu tunavyofanyiana watanzania wenyewe kwa wenyewe. Na njia pekee iliyobaki ya kukomesha vitendo visivyo vya kistaarabu, ni kuwafanyia hao wahusika, vitendo visivyo vya kistaarabu.

Msimamizi anayetangaza matokeo ya uongo, halafu akaendelea kuishi kwa raha mustarehe, atarudia tena.

Mkuu wa polisi anayetuma polisi kutishia watu, kupiga raia na kusaidia CCM, akiachwa aendelee kula maisha kwa raha mustarehe, atarudia tena.

Kila kiumbe kinachofanya ujinga, kikaachwa kiendelee kuishi kwa raha mustarehe, kitarudia ujinga wake.

Kiongozi wa tume ya uchaguzi anayetumiwa na CCM kudhulumu demokrasia akiachwa aendelee kula maisha, atarudia tena.

Hao, wanatakiwa kukomeshwa, ili iwe funzo kwao na kwa wengine wenye tabia kama zao, na iwe funzo kwa anayewatuma.
Ukitaka kuua Nyoka, kata kichwa, ukishindwa, kata hata mkia, uwezekano ni kuwa atakimbia lakini tayari umempumguzia nguvu.

Nani mwenye uwezo wa kuwakomesha, bila kujiingiza katika mgogoro wa kisheria? Ndio hapo pa kuandaa intelijensia imara. Lawama ni bora kuliko fedheha, na katika hili anayestahili lawama ni CCM, na fedheha ni kwa Chadema. Mwaka 2020, Chadema ni vema walaumiwe kuliko kufedheheka.

Hata hivyo viongozi wakubwa wa Chadema hawapaswi kujiingiza katika hayo, kwasababu watakamatwa na kufungwa mara moja.
Na sisi wengine, tu waumini wa ubinadamu, ni rahisi zaidi kuachana na siasa kuliko kufanya hayo, hatuwezi hayo.

mr mkiki.
Laiti track,laiti wei fowadii
 
Ni lini chadema walifanya siasa za kistaarabu? Au zile za kumuita kikwete rais legelege? Zile siasa za kutukana?

Huyo anawadanganya wenzake waumie. Huu si ule wakati wa kujaribu viongozi na vyombo vya dola, mtaumia kweli. Jipangeni upya, siasa za matusi na vitendo vya kigaidi hakuna tena Tz. Big up ACT, NCCR,CUF kwa kusoma alama za nyakati
 
Mtoa mada unahamasisha vurugu wakati huo ukijitetea kuwa hauhamasishi virugu na haupendi vurugu!

Tueleze, hadi utumie kauli gani zaidi ya maneno uliyoyatumia katika kuwasilisha mada yako hii ndiyo yaonekane ni ya uchonganishi ama uchochezi?

Unadhani kila mtu nchi hii anapenda sana vurugu ama visasi?

Kwa mfano wa maelezo yako ni kama mzazi umekuta mtoto wako na wa jirani wakigombana, tayari wakwako kakolewa konzi, halafu wewe kwa uchungu umshikilie mtoto wa jirani kisha umuamru mwanao naye aje alipize kisasi, kisha useme kuwa sasa ni sawa kwa sababu naye kamkoa!

Hapo utakuwa umewaamua au umeendeleza ugomvi na uhasama?

Unapokaa kati kama mpatanishi usije kuegemea upande!
Maana utaonekana upo upande unaotetea.

Kwa hiyo kwa muktadha wa mada hii, wewe kama ni mchadema damdam, usichochee ukiwa nyuma ya keyboard.
Jitokeze hadharani kwa utambulisho halisi, utoe dukuduku na ushuhuda wako huo kuthibitishia umma kama kweli wewe ni mfurukutwa #1 na vipaumbele unavyohamasisha watu kufanya ubayoyaona ni swadakta.

Vinginevyo wewe utakuwa ni Mange Kimambi mwenyewe uliyebadili Id na kuja kivingine.

Hii busara yako ulipaswa kuona kwamba huu mchezo wa kupora ushindi wa wengine utapelekea mleta uzi alichosema. Fumbia macho uovu halafu ujifanye kutetea ujinga ukidhani bila binadamu anaweza kuvumilia kuporwa haki yake. Hiki alichosema mleta mada lazima kitokee kwani kinachoendelea kiko wazi.
 
Huyo anawadanganya wenzake waumie. Huu si ule wakati wa kujaribu viongozi na vyombo vya dola, mtaumia kweli. Jipangeni upya, siasa za matusi na vitendo vya kigaidi hakuna tena Tz. Big up ACT, NCCR,CUF kwa kusoma alama za nyakati

Acheni kufundisha watu woga. Huu uporaji wa kura mnadhani watu hawauoni hata kama wako kimya kwa kudhibiti vyombo vya habari?. Unasifia nguvu ya vyombo vya dola ukimaanisha ndio wanaoratibu huu uovu? Kwa maneno marahisi hata hao cdm wakiporw ushindi ni sawa kwakuwa uporwaji huo una baraka ya vyombo vya dola?
 
Naunga mkono hoja mkono kwa 100%..
Kuandaliwe utaratibu pia wa makundi "salama" kama telegram ili tuweze kuchangia kwa hali na mali....

Ni hakika wengine yatatukuta makubwa, lkn hakuna namna yeyote ya kuiotesha mbegu bila kuifukia ioze ndipo itazaa matunda.

Hii nchi hata mwalimu liwahi kutuusia kuwa tusiwe wapumbavu na waoga tutatawaliwa na madikteta......
Alienda mbali zaidi na kutuambia tuwe tayari kulipa gharama za kupinga uongozi wa kishetani!

Hatuna jinsi jamani!
 
Niko Fonti Feji.
Ila ukweli ndio huo, Chadem ni magaidi tu nao halali yao ni kupigwa tu. Tutawapiga na kuwapiga kila pale mtakapokuwa mnaenda kinyumé na taratibu za Nchi. Chadema hawana haki na nchi yetu.
Mhmhmh!!!!!!???
 
Mkuu tindo, rais anaweza kukupoteza wewe na mimi ndani ya dakika yoyote. JK hakutendewa haki, wanasiasa hawana shukrani.

Wamejaa malalamiko na lawama, JK alijitahidi kuwa muungwana akaishia kutukanwa. Bora huyu wa sasa awe kauzu tu. Afanye analoona linafaa, wenye hekima watampongeza, wasio na hekima ambao kwao shukrani ni matusi watamtusi na kumkejeli kadri watakavyojisikia.

Vitabu vya dini vinatukumbusha kila siku, juu ya umuhimu wa kuheshimu mamlaka halali zilizopo. Ukishindana na mamlaka halali unajitafutia kuumia.
JK wala hakuwahi kusema hajatendewa haki, tena alienda mbali zaidi akawa anakutana na washindani wake kisiasa!

Huyu mlevi, nduli mnasema analeta maendeleo, yepi hayo?
Kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa kwao?
 
Idara ya usalama imejaa 'corrupts' na 'ignorant'.
chadema mnapenda sana kudanganyana kuhusu hii idara.Mmejaribu sana kuiingilia mmeshendwa.
Unawataka chadema wawekeze kwenye pesa,sijui unaota au unatani
Ruzuku yote inatumika kumlipa sultani,pesa itatoka wapi
 
Back
Top Bottom