mimi nadhan hili ndo litakua solution,
nchi zenye vita sio kwamba hawapendi amani ni kutokana na watu kuchoka uonevu!!
bora vita tu itokee.
Wewe lete hiyo namna nyingine.Wadai kinachostahili kwa njia ya VITA??? Hakuna namna nyingine ya kutafuta haki bila machafuko???
Son of Gamba kwa mfano wewe unadhani njia gari bora itumike wakati njia zote za kidemokrasia zimeshindikana? hili ni jukwaa huru labda utuambie kwa mtazamom wako wewe ni njia gani inafaa? usikimbilie kwenye kutishia vita tu na ukadhani watu wanatishika kaka, weka hapa ni njia gani unadhani wewe zinafaa? mr mkiki nadhani umetumia maneno ya sitiari kidogo kuficha ukakasi wa bandiko lako, lakini kauli nzuri ni kuwa CHADEMA na muungano wote wa vyama watafute mbadala wa njia gani za kukabiliana na Jeshi la polisi. Hio hasa ndio ilikuwa kauli sahihi kutumia. Uchaguzi wa juzi Buyungu mgombea anasema walipelekwa Field Force 400 tena usiku mnene na Katibu mkuu CCM anasema vita ni wakati wote, sasa hapo unadhani kuna nini tena? kwenye bandiko lako ondoa neno intelijensia weka neno "Techniques za kupambana na jeshi la polisi na tume yake"
Huyo na Alphonce Mawazo au Ben Saanane nani afadhali.View attachment 836139
Haya ni maisha?! ya kitumwa huko libya.
Q..a weweMkuu nani kasema njia zote za "kidemokrasia" zimeshindikana? Mimi naamini njia za halali za Kidemokrasia hazijashindikana bado. Tatizo ni CHADEMA wenyewe, kila uchaguzi wakishindwa wanakuja na visingizio kuwa "wamehujumiwa", hata siku moja hawajawahi kukubali kushindwa kistaarabu.
Suluhisho ni CHADEMA wakae chini wajitafakari upya na siasa zao, Watanzania wamechoka siasa za matukio, sasa hivi wanataka maendeleo na hayo wanaona kwa macho yao jinsi Rais wao anavyojitahidi kuwaletea maendeleo. Ndiyo maana kila uchaguzi wa marudio unapofanyika Watanzania wanachagua CCM sababu imewahakikishia maendeleo wanayotaka.
Sasa ili CHADEMA waweze kushinda kwenye chaguzi zijazo na wao waje na SERA na MIKAKATI ya KIMAENDELEO itakayowavutia Watanzania hata waweze kuwachagua na siyo kubakia kulia lia tu na kusema wameibiwa kura.
Ndio unataka kuanzisha ugaidi?!Huyo na Alphonce Mawazo au Ben Saanane nani afadhali.
Haki haiombwiNdugu zangu, tusifike huko
Wewe umeshawahi "kufa" hadi useme ni furaha kufa?????
Mkuu mimi ninapojadili uzi huwa najadili kwa hoja na siyo matusi. Kama wewe hoja zimekuishia kaa kimya na siyo kuanza kutukana watu, siku zote ukiona mtu ana kimbilia kutukana fahamu kwamba mtu huyo uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana.ndugu
inaonesha wew ndo mgeni kweny hii nchi
kama huwajuu walompiga tundu lisu risasi 38 vungaaa
inaonesha unaongea while umekalia m....o
Bule = bureHuyu LOFA anasema hatuwezi kuheshimiana hadi tumwage damu. Ndiyo maana Mzee Ben aliwaita malofa na wapumbavu,
Sijui anaandika tu bila fikilio, haya mwaga hiyo damu kama wanaume kweli, Ukuta mlishindwa maandamano ya fesibuku mmeshindwa alafu unaongea kumwaga damu.
Hili taifa tulikuwa tunataka maeendeleo tu na si siasa hata Chadema walikuwa wakihubili maendeleo ya nchi yetu tulianza kuwaamini tukashangaa baadaye wanapinga kilakitu hata Elimu bule ambayo ilikuwa sera yao wanaipinga.
Naomba vyombo vya usalama vimkamate huyu jamaa aunganishwe na akina Freeman mboye ktk kesi yao maana Mboe alisema lazima wafe watu 100 au 200 sasa yupo ktk kesi hili apate kujifunza.
CCM haishindi uchaguzi inapora uchaguziMkuu Watanzania ndiyo wanaopiga kura na wao ndiyo wanaamua nani wamchague. Hata ukisema watu wamtenge mbunge anayehama chama, watamtenga vipi wakati wanakubaliana naye?? Nasema wanakubaliana naye maana hata uchaguzi ukirudiwa, yule anayehamia CCM ndiye anayeshinda, hiyo ni kilelezo tosha kuwa wananchi wa jimboni kwake wanakubaliana naye.
Tatizo ni CHADEMA kutokuwa na SERA za MAENDELEO KWA WANANCHI, na wananchi wamechoka na sera za maandamano kila siku, watu wanataka maendeleo kama anavyofanya Rais wao Magufuli.
Endelea kujidanganya mkuu, hii nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria. Tena inalo jeshi la ulinzi lililo imara kweli kweli, watu kama ninyi mtashughulikiwa na hamtajua nani amewashughulikia.
Fanyeni siasa, mambo ya vita hamuyawezi hata kidogo.
Haya bhanaHiyo avatar ya kigaidi ndio msimamo wa chadema.
Mkuu mimi ninapojadili uzi huwa najadili kwa hoja na siyo matusi. Kama wewe hoja zimekuishia kaa kimya na siyo kuanza kutukana watu, siku zote ukiona mtu ana kimbilia kutukana fahamu kwamba mtu huyo uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana.
Sina haja ya kuendelea kujadiliana na wewe sababu huna hoja za msingi, bali umejawa na matusi.
Cc. Moderator