Hata Gadafi alikuwa nalo.Laurent Gbagbo vile vile.Wako wapi?Endelea kujidanganya mkuu, hii nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria. Tena inalo jeshi la ulinzi lililo imara kweli kweli, watu kama ninyi mtashughulikiwa na hamtajua nani amewashughulikia.
Fanyeni siasa, mambo ya vita hamuyawezi hata kidogo.