Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Unajua siasa, Wanasiasa wote wanakuwa na plan nzuri za miundo mbinu. Tatizo linakuja kwenye utekelezaji. Hapo ndipo utakapoona viongozi wetu especially in Africa si watekelezaji akiwemo Nyerere.
Kama unataka kumjaji Nyerere kwa nyakati, sawa. Lakini, I hope conclusion yako itakuwa, Nyerere alishindwa kuliondoa taifa ktk ujinga, umskini uliopita mipaka.
Mkuu by the time mwalimu anaondoka madarakani literacy rate in Tanzania ilikuwa one of the highest in Africa, nadhani ya kwanza au ya pili.