Mshindo
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 478
- 186
UNCONCIOUSLY umeunga mkono hoja ya mwanzisha uzi kwa hoja nzito tuu!!!
RED: Inajieleza yenyewe vizuri
BULUU: Imagine challenge/mzigo uliokuwepo
KIJANI: Maana haswa ya kiongozi. Iliondoka na Sokoine na mwishowe Nyerere mwenyewe. Sijui kama itazaliwa tena!
ZAMBARAU: Contrast iliyopo kati yake na hawa "wapole" na "wasikivu" waliopelekea magenge ya wanyang'anyi kuhamia ikulu na kuwa ndio source ya inputs
RED: Inajieleza yenyewe vizuri
BULUU: Imagine challenge/mzigo uliokuwepo
KIJANI: Maana haswa ya kiongozi. Iliondoka na Sokoine na mwishowe Nyerere mwenyewe. Sijui kama itazaliwa tena!
ZAMBARAU: Contrast iliyopo kati yake na hawa "wapole" na "wasikivu" waliopelekea magenge ya wanyang'anyi kuhamia ikulu na kuwa ndio source ya inputs
Nyerere alikuwa na muda kuchange plan zote za economic, pale tu alipoona hazina maendeleo na Taifa. Kwa mfano, plan yake ya agriculture ilkuwa ni kuwahamisha Wananchi kwa nguvu, na kuwapeleka vijijini bila ya mpango maalum wa maendeleo. Utalima vipi wakati huna maji? nyenzo muhimu za kilimo, nk.
Pili, huwezi kusema kama Nyerere libebeshwa mzingo mkubwa wakati ni yeye mwenyewe Nyerere ndiyo alikuwa anataka kuimplement kila law ya nchi. Viongozi wengine hawakuweza kuinput chochote kwa Nyerere, kutokana na ubabe aliokuwa nao.