Jambo lililomtesa Hayati Dkt. Magufuli ni mkataba wa Dowans na Symbion ambao Mzee Kikwete alisaini wakati wake

Mkataba ile ulisainiwa kww vipengele vya kuifunga Tanesco isichomoke,
1: Mkataba ulikuwa inaitaka Tanesco itumie umeme wa Dowans/Symbion kwa Miaka yote,

2: Mkataba ulikuwa umeandika Tanesco watumie au wasitumie Umeme wa Dowans / Symbion wanapaswa kumlipa kila siku ,Kila Mwezi,maisha yote...

JPM alipouona akamteua Mkurugenzi DR Mwinuka Clean , Procurement clean man na wanasheria kadhaa ili wachambue waangalie weakness ilipo ili wauvunje,

Walipokaa walifanikiwa kupata vipengele vya kuwakamata Dowans/Symbion

1: Walipata Kuwa Dowans /Symbion hawakuwahi kulipa Kodi Miaka yote walikuwa wanadaiwa Trillion zaidi 40 ukwepaji kodi

2: Dowans/Symbion hawakuwa na Mitambo ya kuzalishia ,Kumbe walikuwa wanatumia Mitambo ya serikali kww Hiyo ikawa point Muhimu kuwa hawakuleta Mitambo mipya kama mkataba unavyo sema.

Matokeo yake:
JPM akawa amwakamata pabaya Dowans na Symbion ya JK Kikwete na Obama....
Wakaingia kwenye mazungumzo Symbion wakaona kwa vigezo hivyo hawachomoki

Bahati Mbaya Jpm akafariki wakiwa katikati kutaka kukimbia na kuachana kudai Serikali

Baadae Team Msoga ,Akiwemo Rostam na wenzake wakabuni mkakati wa namna ya kurudisha fedha ile
Wakajifanya kumzunguka Mama na kudanganya kuwa amteue Makamba,Mama bila kujua akamteua,

Makamba alipofika ili utekelezaji wa malipo Symbion ufanyinikiwe Makamba akaivunja Team yote ya Tanesco, akamtimua DR Mwinuka na team yake yote akamteua jamaa aliekuwepo DStv ambae hata calculation ya umeme hana uzoefu,

Akateua board ya Tanesco mpya wote wakiwemo wamiliki / CEO wa Dowans na Symbion na kubadilisha baadhi ya watalaamu ambao wamekutanishwa na wamiliki wa Dowans na Symbion Kule Dubai,JK Kikwete nadhani mmeona picha zile Kule Dubai wako pamoja linalojadiliwa hata Mama Samia hajui hata sisi wananchi hatujui

3: Lakini kubwa ni kuhakikisha Umeme wa Rufiji wanaletwa watu nyuma ya Pazia kununua Share na watajifanya wanaleta mitaji,watajifanya wanakuja kiwekeza lengo ni kuwa mradi Dowans na Symbion wapate cha kufanya

4: Mkakati mzima iliopo wametengeneza kumhujumu mama Samia 2025 watahakikisha hagombei na plan zao wanazopanga sasa hivi hatari lengo ili Makamba apate nafasi waendelee na Upigaji na utekelezaji

4 : Jambo mbaya mkakati mbaya uliopo ni Kuihujumu serikali ya Mama Samia

Nini kifanyike,

1: Mama Ondoa Makamba na team yote Nishati,

2: Mama asiruhusu uwekezaji wowote kwenye umeme ni bora tujenge Taratibu tutamaliza mradi umeme itarudi tena kawaida

3: Mama aangalie vizuri team yake ndani ya ofisi yake na Chama kww sababu JK anazidi kupandia mizizi

4: Mama asikubali kupangiwa na mtu yeyote na mama aache ushauri nje ya Idara ya Tiss ingawa na kwenye kunahitaji reshafle

5: Mama arudishe zile taskforce zilizowekwa na JPM kudhibiti maovu ikiwemo ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa mizigo Bandarini

6: Kuna watu wanauza Risiti za EFD kariakoo imepelekea kushuka kwa mapato,
7: Mama Ahakikishe vituo vya Mizani iwe ni sehemu ya kukagulia Kodi na Risiti za EFD atabaini mengi.

8: Symbion /Dowans wapelekwe Mahakamani kwa kukwepa kodi na uhujumu Uchumi.

9: JK Kikwete apunguziwe safari za nje maana wananchi wanahoji why mkwere kila siku safari budget anatoa wapi?

10: Mama atengue mkuu wa Mkoa Dar essalaam halafu Ras wa Dar awe mkuu wa Mkoa

11: Maeneo ya wazo wapewe Machinga na Mama Ntilie kwa muda wakati huo yanajengwa Majengo kwa ajili ya wamachinga...zoezi hili ni kwa Dar es salaam Kariakoo na Posts,

Walioko mbezi waachwe waendelee

12: Mama aende kwenye Mafuta kuna hujuma huko nyingi sana ....

13: Mama aachwe afanye kazi kww uhuru bila kuingiliwa na JK maana hamtakii mema.

Huyu mwamba kupotea kina Azory, Sanane, Lijenje nk. Kushambuliwa kina Lissu. Watu kuokotwa kwenye viroba. Kuuwawa kinyama kwa akina Mawazo.

Yote hayo hayakuwahi kuwa kitu kwake ila mkataba wa Dowans na Symbion?

Maajabu ya Mussa!

Watu wasiokuwa na mioyo ya kibinadamu kama huyo na wasipewe tena nafasi za uongozi.

Bure kabisa. Hakuelewa alikuwa na majukumu gani muhimu zaidi kama rais.
 
Katiba nyingine yenye maboresho mhimu ni dhahiri inahitajika Ili kupunguza baadhi ya mambo yanayoonekana kutajwa tajwa Sana. Wanaosema Haina maana , maendeleo kwanza watambue tutaendelea kusikia hayahaya miaka na miaka...hata JPM angeruhusu mchakato wa katiba mpya uishe saiv angetuacha ktk mazingira magumu...
 
Mbona munatuchanganya,tulikubaliana kua Mama kawekwa na Jk na ndio anamuenda.
Leo Jk anataka kumuangusha Mama tena 2025.
Hatujui tusimamie wapi sasa
 
hata yule mchora picha kukamatwa inaonyesha order imetoka kwa JK jicho la tatu.

JK itakuwa ana nguvu sana na part ya deep state
 
Mkataba ile ulisainiwa kww vipengele vya kuifunga Tanesco isichomoke,
1: Mkataba ulikuwa inaitaka Tanesco itumie umeme wa Dowans/Symbion kwa Miaka yote,

2: Mkataba ulikuwa umeandika Tanesco watumie au wasitumie Umeme wa Dowans / Symbion wanapaswa kumlipa kila siku ,Kila Mwezi,maisha yote...

JPM alipouona akamteua Mkurugenzi DR Mwinuka Clean , Procurement clean man na wanasheria kadhaa ili wachambue waangalie weakness ilipo ili wauvunje,

Walipokaa walifanikiwa kupata vipengele vya kuwakamata Dowans/Symbion

1: Walipata Kuwa Dowans /Symbion hawakuwahi kulipa Kodi Miaka yote walikuwa wanadaiwa Trillion zaidi 40 ukwepaji kodi

2: Dowans/Symbion hawakuwa na Mitambo ya kuzalishia ,Kumbe walikuwa wanatumia Mitambo ya serikali kww Hiyo ikawa point Muhimu kuwa hawakuleta Mitambo mipya kama mkataba unavyo sema.

Matokeo yake:
JPM akawa amwakamata pabaya Dowans na Symbion ya JK Kikwete na Obama....
Wakaingia kwenye mazungumzo Symbion wakaona kwa vigezo hivyo hawachomoki

Bahati Mbaya Jpm akafariki wakiwa katikati kutaka kukimbia na kuachana kudai Serikali

Baadae Team Msoga ,Akiwemo Rostam na wenzake wakabuni mkakati wa namna ya kurudisha fedha ile
Wakajifanya kumzunguka Mama na kudanganya kuwa amteue Makamba,Mama bila kujua akamteua,

Makamba alipofika ili utekelezaji wa malipo Symbion ufanyinikiwe Makamba akaivunja Team yote ya Tanesco, akamtimua DR Mwinuka na team yake yote akamteua jamaa aliekuwepo DStv ambae hata calculation ya umeme hana uzoefu,

Akateua board ya Tanesco mpya wote wakiwemo wamiliki / CEO wa Dowans na Symbion na kubadilisha baadhi ya watalaamu ambao wamekutanishwa na wamiliki wa Dowans na Symbion Kule Dubai,JK Kikwete nadhani mmeona picha zile Kule Dubai wako pamoja linalojadiliwa hata Mama Samia hajui hata sisi wananchi hatujui

3: Lakini kubwa ni kuhakikisha Umeme wa Rufiji wanaletwa watu nyuma ya Pazia kununua Share na watajifanya wanaleta mitaji,watajifanya wanakuja kiwekeza lengo ni kuwa mradi Dowans na Symbion wapate cha kufanya

4: Mkakati mzima iliopo wametengeneza kumhujumu mama Samia 2025 watahakikisha hagombei na plan zao wanazopanga sasa hivi hatari lengo ili Makamba apate nafasi waendelee na Upigaji na utekelezaji

4 : Jambo mbaya mkakati mbaya uliopo ni Kuihujumu serikali ya Mama Samia

Nini kifanyike,

1: Mama Ondoa Makamba na team yote Nishati,

2: Mama asiruhusu uwekezaji wowote kwenye umeme ni bora tujenge Taratibu tutamaliza mradi umeme itarudi tena kawaida

3: Mama aangalie vizuri team yake ndani ya ofisi yake na Chama kww sababu JK anazidi kupandia mizizi

4: Mama asikubali kupangiwa na mtu yeyote na mama aache ushauri nje ya Idara ya Tiss ingawa na kwenye kunahitaji reshafle

5: Mama arudishe zile taskforce zilizowekwa na JPM kudhibiti maovu ikiwemo ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa mizigo Bandarini

6: Kuna watu wanauza Risiti za EFD kariakoo imepelekea kushuka kwa mapato,
7: Mama Ahakikishe vituo vya Mizani iwe ni sehemu ya kukagulia Kodi na Risiti za EFD atabaini mengi.

8: Symbion /Dowans wapelekwe Mahakamani kwa kukwepa kodi na uhujumu Uchumi.

9: JK Kikwete apunguziwe safari za nje maana wananchi wanahoji why mkwere kila siku safari budget anatoa wapi?

10: Mama atengue mkuu wa Mkoa Dar essalaam halafu Ras wa Dar awe mkuu wa Mkoa

11: Maeneo ya wazo wapewe Machinga na Mama Ntilie kwa muda wakati huo yanajengwa Majengo kwa ajili ya wamachinga...zoezi hili ni kwa Dar es salaam Kariakoo na Posts,

Walioko mbezi waachwe waendelee

12: Mama aende kwenye Mafuta kuna hujuma huko nyingi sana ....

13: Mama aachwe afanye kazi kww uhuru bila kuingiliwa na JK maana hamtakii mema.
Mtajijua wenyewe, sisi kila siku tunapigia kelele KATIBA MPYA mnatuona wasumbufu. Pambaneni na hali zenu tu.
 
Mkataba ile ulisainiwa kww vipengele vya kuifunga Tanesco isichomoke,
1: Mkataba ulikuwa inaitaka Tanesco itumie umeme wa Dowans/Symbion kwa Miaka yote,

2: Mkataba ulikuwa umeandika Tanesco watumie au wasitumie Umeme wa Dowans / Symbion wanapaswa kumlipa kila siku ,Kila Mwezi,maisha yote...

JPM alipouona akamteua Mkurugenzi DR Mwinuka Clean , Procurement clean man na wanasheria kadhaa ili wachambue waangalie weakness ilipo ili wauvunje,

Walipokaa walifanikiwa kupata vipengele vya kuwakamata Dowans/Symbion

1: Walipata Kuwa Dowans /Symbion hawakuwahi kulipa Kodi Miaka yote walikuwa wanadaiwa Trillion zaidi 40 ukwepaji kodi

2: Dowans/Symbion hawakuwa na Mitambo ya kuzalishia ,Kumbe walikuwa wanatumia Mitambo ya serikali kww Hiyo ikawa point Muhimu kuwa hawakuleta Mitambo mipya kama mkataba unavyo sema.

Matokeo yake:
JPM akawa amwakamata pabaya Dowans na Symbion ya JK Kikwete na Obama....
Wakaingia kwenye mazungumzo Symbion wakaona kwa vigezo hivyo hawachomoki

Bahati Mbaya Jpm akafariki wakiwa katikati kutaka kukimbia na kuachana kudai Serikali

Baadae Team Msoga ,Akiwemo Rostam na wenzake wakabuni mkakati wa namna ya kurudisha fedha ile
Wakajifanya kumzunguka Mama na kudanganya kuwa amteue Makamba,Mama bila kujua akamteua,

Makamba alipofika ili utekelezaji wa malipo Symbion ufanyinikiwe Makamba akaivunja Team yote ya Tanesco, akamtimua DR Mwinuka na team yake yote akamteua jamaa aliekuwepo DStv ambae hata calculation ya umeme hana uzoefu,

Akateua board ya Tanesco mpya wote wakiwemo wamiliki / CEO wa Dowans na Symbion na kubadilisha baadhi ya watalaamu ambao wamekutanishwa na wamiliki wa Dowans na Symbion Kule Dubai,JK Kikwete nadhani mmeona picha zile Kule Dubai wako pamoja linalojadiliwa hata Mama Samia hajui hata sisi wananchi hatujui

3: Lakini kubwa ni kuhakikisha Umeme wa Rufiji wanaletwa watu nyuma ya Pazia kununua Share na watajifanya wanaleta mitaji,watajifanya wanakuja kiwekeza lengo ni kuwa mradi Dowans na Symbion wapate cha kufanya

4: Mkakati mzima iliopo wametengeneza kumhujumu mama Samia 2025 watahakikisha hagombei na plan zao wanazopanga sasa hivi hatari lengo ili Makamba apate nafasi waendelee na Upigaji na utekelezaji

4 : Jambo mbaya mkakati mbaya uliopo ni Kuihujumu serikali ya Mama Samia

Nini kifanyike,

1: Mama Ondoa Makamba na team yote Nishati,

2: Mama asiruhusu uwekezaji wowote kwenye umeme ni bora tujenge Taratibu tutamaliza mradi umeme itarudi tena kawaida

3: Mama aangalie vizuri team yake ndani ya ofisi yake na Chama kww sababu JK anazidi kupandia mizizi

4: Mama asikubali kupangiwa na mtu yeyote na mama aache ushauri nje ya Idara ya Tiss ingawa na kwenye kunahitaji reshafle

5: Mama arudishe zile taskforce zilizowekwa na JPM kudhibiti maovu ikiwemo ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa mizigo Bandarini

6: Kuna watu wanauza Risiti za EFD kariakoo imepelekea kushuka kwa mapato,
7: Mama Ahakikishe vituo vya Mizani iwe ni sehemu ya kukagulia Kodi na Risiti za EFD atabaini mengi.

8: Symbion /Dowans wapelekwe Mahakamani kwa kukwepa kodi na uhujumu Uchumi.

9: JK Kikwete apunguziwe safari za nje maana wananchi wanahoji why mkwere kila siku safari budget anatoa wapi?

10: Mama atengue mkuu wa Mkoa Dar essalaam halafu Ras wa Dar awe mkuu wa Mkoa

11: Maeneo ya wazo wapewe Machinga na Mama Ntilie kwa muda wakati huo yanajengwa Majengo kwa ajili ya wamachinga...zoezi hili ni kwa Dar es salaam Kariakoo na Posts,

Walioko mbezi waachwe waendelee

12: Mama aende kwenye Mafuta kuna hujuma huko nyingi sana ....

13: Mama aachwe afanye kazi kww uhuru bila kuingiliwa na JK maana hamtakii mema.
Tafsiri yake ni kuwa JPM alikua mnafiki akashindwa mdhibiti bwana huyu....bro hapa umepuyanga na conspiracy zako za kijinga
 
Mkataba ile ulisainiwa kww vipengele vya kuifunga Tanesco isichomoke,
1: Mkataba ulikuwa inaitaka Tanesco itumie umeme wa Dowans/Symbion kwa Miaka yote,

2: Mkataba ulikuwa umeandika Tanesco watumie au wasitumie Umeme wa Dowans / Symbion wanapaswa kumlipa kila siku ,Kila Mwezi,maisha yote...

JPM alipouona akamteua Mkurugenzi DR Mwinuka Clean , Procurement clean man na wanasheria kadhaa ili wachambue waangalie weakness ilipo ili wauvunje,

Walipokaa walifanikiwa kupata vipengele vya kuwakamata Dowans/Symbion

1: Walipata Kuwa Dowans /Symbion hawakuwahi kulipa Kodi Miaka yote walikuwa wanadaiwa Trillion zaidi 40 ukwepaji kodi

2: Dowans/Symbion hawakuwa na Mitambo ya kuzalishia ,Kumbe walikuwa wanatumia Mitambo ya serikali kww Hiyo ikawa point Muhimu kuwa hawakuleta Mitambo mipya kama mkataba unavyo sema.

Matokeo yake:
JPM akawa amwakamata pabaya Dowans na Symbion ya JK Kikwete na Obama....
Wakaingia kwenye mazungumzo Symbion wakaona kwa vigezo hivyo hawachomoki

Bahati Mbaya Jpm akafariki wakiwa katikati kutaka kukimbia na kuachana kudai Serikali

Baadae Team Msoga ,Akiwemo Rostam na wenzake wakabuni mkakati wa namna ya kurudisha fedha ile
Wakajifanya kumzunguka Mama na kudanganya kuwa amteue Makamba,Mama bila kujua akamteua,

Makamba alipofika ili utekelezaji wa malipo Symbion ufanyinikiwe Makamba akaivunja Team yote ya Tanesco, akamtimua DR Mwinuka na team yake yote akamteua jamaa aliekuwepo DStv ambae hata calculation ya umeme hana uzoefu,

Akateua board ya Tanesco mpya wote wakiwemo wamiliki / CEO wa Dowans na Symbion na kubadilisha baadhi ya watalaamu ambao wamekutanishwa na wamiliki wa Dowans na Symbion Kule Dubai,JK Kikwete nadhani mmeona picha zile Kule Dubai wako pamoja linalojadiliwa hata Mama Samia hajui hata sisi wananchi hatujui

3: Lakini kubwa ni kuhakikisha Umeme wa Rufiji wanaletwa watu nyuma ya Pazia kununua Share na watajifanya wanaleta mitaji,watajifanya wanakuja kiwekeza lengo ni kuwa mradi Dowans na Symbion wapate cha kufanya

4: Mkakati mzima iliopo wametengeneza kumhujumu mama Samia 2025 watahakikisha hagombei na plan zao wanazopanga sasa hivi hatari lengo ili Makamba apate nafasi waendelee na Upigaji na utekelezaji

4 : Jambo mbaya mkakati mbaya uliopo ni Kuihujumu serikali ya Mama Samia

Nini kifanyike,

1: Mama Ondoa Makamba na team yote Nishati,

2: Mama asiruhusu uwekezaji wowote kwenye umeme ni bora tujenge Taratibu tutamaliza mradi umeme itarudi tena kawaida

3: Mama aangalie vizuri team yake ndani ya ofisi yake na Chama kww sababu JK anazidi kupandia mizizi

4: Mama asikubali kupangiwa na mtu yeyote na mama aache ushauri nje ya Idara ya Tiss ingawa na kwenye kunahitaji reshafle

5: Mama arudishe zile taskforce zilizowekwa na JPM kudhibiti maovu ikiwemo ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa mizigo Bandarini

6: Kuna watu wanauza Risiti za EFD kariakoo imepelekea kushuka kwa mapato,
7: Mama Ahakikishe vituo vya Mizani iwe ni sehemu ya kukagulia Kodi na Risiti za EFD atabaini mengi.

8: Symbion /Dowans wapelekwe Mahakamani kwa kukwepa kodi na uhujumu Uchumi.

9: JK Kikwete apunguziwe safari za nje maana wananchi wanahoji why mkwere kila siku safari budget anatoa wapi?

10: Mama atengue mkuu wa Mkoa Dar essalaam halafu Ras wa Dar awe mkuu wa Mkoa

11: Maeneo ya wazo wapewe Machinga na Mama Ntilie kwa muda wakati huo yanajengwa Majengo kwa ajili ya wamachinga...zoezi hili ni kwa Dar es salaam Kariakoo na Posts,

Walioko mbezi waachwe waendelee

12: Mama aende kwenye Mafuta kuna hujuma huko nyingi sana ....

13: Mama aachwe afanye kazi kww uhuru bila kuingiliwa na JK maana hamtakii mema.
Kuna mama mmoja ana kampuni ya mawakili kampuni yake ilikuwa inawatetea Dowans na kesi hata haijaisha lkn cha ajabu serikali hii imemteua kuwa kati ya menejimenti ya tanesco cjui ni kukosea au mpango mkakati hv kweli adui yako unamueka jikoni kweli? Huko.mbeleni sijui umeme wetu utakuwaje Mungu ibariki Tanzania tuendelee kuiombea Nchi yeTu.
 
Jk mtu muhimu sana nchi hii..

Bila JK magufuli u raisi angeusikia tu. Hata mama samia umakamu angeusikia tu

Magufuli akiwa waziri huku JK rais alikuwa anapewa upendeleo mkubwa kuliko mawaziri wote.

Na magufuli alikuwa anatia nchi hasara kama samaki wa uvuvi case ila jk anambeba tu.

Kwa mtu yeyote anaemsifia magufuli kwa uzalendo anapaswa amsifie JK kama mzalendo mkuu.. maana bila JK hakuna magufuli wala samia
Samia alitetewa na Jeshi asingekuwa Mkuu wa Majeshi kusema wao wanazingatia katiba angetupwa mbali! Hakuwa JK, kwani hata kwenye Kamati Kuu hakuingia, na akiingia ni mwalikwa tu.

Kikwete huwezi mtenga na JPM hawa walijuana. Nyakati za uongozi wa Kikwete hasa awamu ya pili Magufuli aliwekwa karibu sana na Kikwete. Hata kama mnakumbuka alie mpa ushauri wakati anaumwa Kikwete alikuwa ni JPM. Kikwete alikuwa ana muandaa JPM. Watu wanadhani ati iliibuka tu.

Nachojua Kikwete anaonewa sana. Kikwete si kiongozi fisadi na hakulelewa hivyo. Na hakuwahi kuiibia nchi. Yule mzee wanamuonea tu. Walioiba ni watu waliokuwa wanajifanya wapo karibu na Kikwete, lakini Kikwete wa watu ni moja ya watu poa sana. Kikwete angetaka iba angekuwa moja ya tajiri mkubwa sana. Kwani kakaa serikali tena wizara nyeti kwa miaka mingi.

Tuache wivu wa kike, tumuache asafiri, anahitaji kumwakilisha rais ktk sehemu kadha wa kadha. Lakini pia Kikwete ana nyazifa bado za kimataifa huko. Na kusafiri uongeza kuishi kwa muda mrefu kwa msio tambua hilo.

EBU TUMWACHE RAIS KIKWETE APUMZIKE.
 
Umeanza mapema kuchafua watu, kundi ulilonalo la 2025 jipangeni jinsi ya kuwatoa watu kwenye reli si kwa uzi huo ulioandika. Siku hizi kila kitu JK, akienda nje ya nchi hele kapewa na nani? Kawa waziri, Raisi awezi kendesha maisha yake kwa kipato chake? Huu mnyukano wa maslahi mepesi ndio unatupotezea mwelekeo.
 
Samia alitetewa na Jeshi asingekuwa Mkuu wa Majeshi kusema wao wanazingatia katiba angetupwa mbali! Hakuwa JK, kwani hata kwenye Kamati Kuu hakuingia, na akiingia ni mwalikwa tu.

Kikwete huwezi mtenga na JPM hawa walijuana. Nyakati za uongozi wa Kikwete hasa awamu ya pili Magufuli aliwekwa karibu sana na Kikwete. Hata kama mnakumbuka alie mpa ushauri wakati anaumwa Kikwete alikuwa ni JPM. Kikwete alikuwa ana muandaa JPM. Watu wanadhani ati iliibuka tu.

Nachojua Kikwete anaonewa sana. Kikwete si kiongozi fisadi na hakulelewa hivyo. Na hakuwahi kuiibia nchi. Yule mzee wanamuonea tu. Walioiba ni watu waliokuwa wanajifanya wapo karibu na Kikwete, lakini Kikwete wa watu ni moja ya watu poa sana. Kikwete angetaka iba angekuwa moja ya tajiri mkubwa sana. Kwani kakaa serikali tena wizara nyeti kwa miaka mingi.

Tuache wivu wa kike, tumuache asafiri, anahitaji kumwakilisha rais ktk sehemu kadha wa kadha. Lakini pia Kikwete ana nyazifa bado za kimataifa huko. Na kusafiri uongeza kuishi kwa muda mrefu kwa msio tambua hilo.

EBU TUMWACHE RAIS KIKWETE APUMZIKE.
Na yeye atuachie Nchi yetu ameshatunyonya vya kutosha atuache tuijenge nchi tuliyoachiwa na Mzalendo wa kweli, Mtetezi wa Wanyonge Mpinga ufisadi wa wazi wazi
 
Hivu Ni kweli kikwete Ni mbaya kiasi hiki?? Kama Ni kweli kikwete na washikaji zake Ni wabaya na wezi kiasi hiki..kwanini wasituhurumie..?
Hawa Wana mentality Ile ya kiarabu ya kuwa na sultan tokea dunia kuumbwa mpaka kiama. Kumbuka sultan said seyyid Koo yake bado no tajiri huko uarabuni na ndio hao hao wanatawala tokea biashara ya utumwa.
 
Mkataba ile ulisainiwa kww vipengele vya kuifunga Tanesco isichomoke

1: Mkataba ulikuwa inaitaka Tanesco itumie umeme wa Dowans/Symbion kwa Miaka yote,

2: Mkataba ulikuwa umeandika Tanesco watumie au wasitumie Umeme wa Dowans / Symbion wanapaswa kumlipa kila siku ,Kila Mwezi, maisha yote.

JPM alipouona akamteua Mkurugenzi DR Mwinuka Clean , Procurement clean man na wanasheria kadhaa ili wachambue waangalie weakness ilipo ili wauvunje,

Walipokaa walifanikiwa kupata vipengele vya kuwakamata Dowans/Symbion

1: Walipata Kuwa Dowans /Symbion hawakuwahi kulipa Kodi Miaka yote walikuwa wanadaiwa Trillion zaidi 40 ukwepaji kodi

2: Dowans/Symbion hawakuwa na Mitambo ya kuzalishia, kumbe walikuwa wanatumia Mitambo ya serikali kww hiyo ikawa point Muhimu kuwa hawakuleta Mitambo mipya kama mkataba unavyo sema.

Matokeo yake:
JPM akawa amwakamata pabaya Dowans na Symbion ya JK Kikwete na Obama.
Wakaingia kwenye mazungumzo Symbion wakaona kwa vigezo hivyo hawachomoki

Bahati Mbaya Jpm akafariki wakiwa katikati kutaka kukimbia na kuachana kudai Serikali

Baadae Team Msoga ,Akiwemo Rostam na wenzake wakabuni mkakati wa namna ya kurudisha fedha ile
Wakajifanya kumzunguka Mama na kudanganya kuwa amteue Makamba,Mama bila kujua akamteua,

Makamba alipofika ili utekelezaji wa malipo Symbion ufanyinikiwe Makamba akaivunja Team yote ya Tanesco, akamtimua DR Mwinuka na team yake yote akamteua jamaa aliekuwepo DStv ambae hata calculation ya umeme hana uzoefu.

Akateua board ya Tanesco mpya wote wakiwemo wamiliki / CEO wa Dowans na Symbion na kubadilisha baadhi ya watalaamu ambao wamekutanishwa na wamiliki wa Dowans na Symbion Kule Dubai,JK Kikwete nadhani mmeona picha zile Kule Dubai wako pamoja linalojadiliwa hata Mama Samia hajui hata sisi wananchi hatujui

3: Lakini kubwa ni kuhakikisha Umeme wa Rufiji wanaletwa watu nyuma ya Pazia kununua Share na watajifanya wanaleta mitaji, watajifanya wanakuja kiwekeza lengo ni kuwa mradi Dowans na Symbion wapate cha kufanya

4: Mkakati mzima iliopo wametengeneza kumhujumu mama Samia 2025 watahakikisha hagombei na plan zao wanazopanga sasa hivi hatari lengo ili Makamba apate nafasi waendelee na Upigaji na utekelezaji

4 : Jambo mbaya mkakati mbaya uliopo ni Kuihujumu serikali ya Mama Samia

Nini kifanyike,

1: Mama Ondoa Makamba na team yote Nishati,

2: Mama asiruhusu uwekezaji wowote kwenye umeme ni bora tujenge Taratibu tutamaliza mradi umeme itarudi tena kawaida

3: Mama aangalie vizuri team yake ndani ya ofisi yake na Chama kww sababu JK anazidi kupandia mizizi

4: Mama asikubali kupangiwa na mtu yeyote na mama aache ushauri nje ya Idara ya Tiss ingawa na kwenye kunahitaji reshafle

5: Mama arudishe zile taskforce zilizowekwa na JPM kudhibiti maovu ikiwemo ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa mizigo Bandarini

6: Kuna watu wanauza Risiti za EFD kariakoo imepelekea kushuka kwa mapato

7: Mama Ahakikishe vituo vya Mizani iwe ni sehemu ya kukagulia Kodi na Risiti za EFD atabaini mengi.

8: Symbion /Dowans wapelekwe Mahakamani kwa kukwepa kodi na uhujumu Uchumi.

9: JK Kikwete apunguziwe safari za nje maana wananchi wanahoji why mkwere kila siku safari budget anatoa wapi?

10: Mama atengue mkuu wa Mkoa Dar essalaam halafu Ras wa Dar awe mkuu wa Mkoa

11: Maeneo ya wazo wapewe Machinga na Mama Ntilie kwa muda wakati huo yanajengwa Majengo kwa ajili ya wamachinga...zoezi hili ni kwa Dar es salaam Kariakoo na Posts

Walioko mbezi waachwe waendelee

12: Mama aende kwenye Mafuta kuna hujuma huko nyingi sana

13: Mama aachwe afanye kazi kww uhuru bila kuingiliwa na JK maana hamtakii mema.
HAKUNA mkataba wa maana uliosainiwa na awamu ya Kikwete, viongozi wote waliokuwa wanasaini ile mikataba walikuwa wapiga dili. Kwa kweli Kikwete is the most useless President Tanzania has ever had.
 
Back
Top Bottom