Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Sukuma gang wanahaha....Huyi JK sijui kawafanya nini...
Hapo kwenye Dowans na Symbion umepuyanga kabisa...
Sukuma gang wanahaha....Huyi JK sijui kawafanya nini...
Hapo kwenye Dowans na Symbion umepuyanga kabisa...
Umeoneeh MTUMBUO HUMFANYA MTU KUPOTEZA MUELEKEOWatu wakitumbuliwa ndio wanaleta umbea
Mhhh sawa Wacha wale Mkuu kwani kuna tatizo? Maana hata wasipokula bado hizo keki kutufikia sisi wengine ni ngumu. Hivyo ni bora wale tu. Cha kujivunia mwisho wa siku wote ni....... kulamba Mchanga..... hapo Mungu Ashukuriwe Daima na Milele. Amina
Mkuu mbona mtaani tunasikia Mkapa(RIP) ndo alimpigania.
Mkuu mbona mtaani tunasikia Mkapa(RIP) ndo alimpigania.
Mkataba ile ulisainiwa kww vipengele vya kuifunga Tanesco isichomoke,
1: Mkataba ulikuwa inaitaka Tanesco itumie umeme wa Dowans/Symbion kwa Miaka yote,
2: Mkataba ulikuwa umeandika Tanesco watumie au wasitumie Umeme wa Dowans / Symbion wanapaswa kumlipa kila siku ,Kila Mwezi,maisha yote...
JPM alipouona akamteua Mkurugenzi DR Mwinuka Clean , Procurement clean man na wanasheria kadhaa ili wachambue waangalie weakness ilipo ili wauvunje,
Walipokaa walifanikiwa kupata vipengele vya kuwakamata Dowans/Symbion
1: Walipata Kuwa Dowans /Symbion hawakuwahi kulipa Kodi Miaka yote walikuwa wanadaiwa Trillion zaidi 40 ukwepaji kodi
2: Dowans/Symbion hawakuwa na Mitambo ya kuzalishia ,Kumbe walikuwa wanatumia Mitambo ya serikali kww Hiyo ikawa point Muhimu kuwa hawakuleta Mitambo mipya kama mkataba unavyo sema.
Matokeo yake:
JPM akawa amwakamata pabaya Dowans na Symbion ya JK Kikwete na Obama....
Wakaingia kwenye mazungumzo Symbion wakaona kwa vigezo hivyo hawachomoki
Bahati Mbaya Jpm akafariki wakiwa katikati kutaka kukimbia na kuachana kudai Serikali
Baadae Team Msoga ,Akiwemo Rostam na wenzake wakabuni mkakati wa namna ya kurudisha fedha ile
Wakajifanya kumzunguka Mama na kudanganya kuwa amteue Makamba,Mama bila kujua akamteua,
Makamba alipofika ili utekelezaji wa malipo Symbion ufanyinikiwe Makamba akaivunja Team yote ya Tanesco, akamtimua DR Mwinuka na team yake yote akamteua jamaa aliekuwepo DStv ambae hata calculation ya umeme hana uzoefu,
Akateua board ya Tanesco mpya wote wakiwemo wamiliki / CEO wa Dowans na Symbion na kubadilisha baadhi ya watalaamu ambao wamekutanishwa na wamiliki wa Dowans na Symbion Kule Dubai,JK Kikwete nadhani mmeona picha zile Kule Dubai wako pamoja linalojadiliwa hata Mama Samia hajui hata sisi wananchi hatujui
3: Lakini kubwa ni kuhakikisha Umeme wa Rufiji wanaletwa watu nyuma ya Pazia kununua Share na watajifanya wanaleta mitaji,watajifanya wanakuja kiwekeza lengo ni kuwa mradi Dowans na Symbion wapate cha kufanya
4: Mkakati mzima iliopo wametengeneza kumhujumu mama Samia 2025 watahakikisha hagombei na plan zao wanazopanga sasa hivi hatari lengo ili Makamba apate nafasi waendelee na Upigaji na utekelezaji
4 : Jambo mbaya mkakati mbaya uliopo ni Kuihujumu serikali ya Mama Samia
Nini kifanyike,
1: Mama Ondoa Makamba na team yote Nishati,
2: Mama asiruhusu uwekezaji wowote kwenye umeme ni bora tujenge Taratibu tutamaliza mradi umeme itarudi tena kawaida
3: Mama aangalie vizuri team yake ndani ya ofisi yake na Chama kww sababu JK anazidi kupandia mizizi
4: Mama asikubali kupangiwa na mtu yeyote na mama aache ushauri nje ya Idara ya Tiss ingawa na kwenye kunahitaji reshafle
5: Mama arudishe zile taskforce zilizowekwa na JPM kudhibiti maovu ikiwemo ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa mizigo Bandarini
6: Kuna watu wanauza Risiti za EFD kariakoo imepelekea kushuka kwa mapato,
7: Mama Ahakikishe vituo vya Mizani iwe ni sehemu ya kukagulia Kodi na Risiti za EFD atabaini mengi.
8: Symbion /Dowans wapelekwe Mahakamani kwa kukwepa kodi na uhujumu Uchumi.
9: JK Kikwete apunguziwe safari za nje maana wananchi wanahoji why mkwere kila siku safari budget anatoa wapi?
10: Mama atengue mkuu wa Mkoa Dar essalaam halafu Ras wa Dar awe mkuu wa Mkoa
11: Maeneo ya wazo wapewe Machinga na Mama Ntilie kwa muda wakati huo yanajengwa Majengo kwa ajili ya wamachinga...zoezi hili ni kwa Dar es salaam Kariakoo na Posts,
Walioko mbezi waachwe waendelee
12: Mama aende kwenye Mafuta kuna hujuma huko nyingi sana ....
13: Mama aachwe afanye kazi kww uhuru bila kuingiliwa na JK maana hamtakii mema.
Mkataba ile ulisainiwa kww vipengele vya kuifunga Tanesco isichomoke,
1: Mkataba ulikuwa inaitaka Tanesco itumie umeme wa Dowans/Symbion kwa Miaka yote,
2: Mkataba ulikuwa umeandika Tanesco watumie au wasitumie Umeme wa Dowans / Symbion wanapaswa kumlipa kila siku ,Kila Mwezi,maisha yote...
JPM alipouona akamteua Mkurugenzi DR Mwinuka Clean , Procurement clean man na wanasheria kadhaa ili wachambue waangalie weakness ilipo ili wauvunje,
Walipokaa walifanikiwa kupata vipengele vya kuwakamata Dowans/Symbion
1: Walipata Kuwa Dowans /Symbion hawakuwahi kulipa Kodi Miaka yote walikuwa wanadaiwa Trillion zaidi 40 ukwepaji kodi
2: Dowans/Symbion hawakuwa na Mitambo ya kuzalishia ,Kumbe walikuwa wanatumia Mitambo ya serikali kww Hiyo ikawa point Muhimu kuwa hawakuleta Mitambo mipya kama mkataba unavyo sema.
Matokeo yake:
JPM akawa amwakamata pabaya Dowans na Symbion ya JK Kikwete na Obama....
Wakaingia kwenye mazungumzo Symbion wakaona kwa vigezo hivyo hawachomoki
Bahati Mbaya Jpm akafariki wakiwa katikati kutaka kukimbia na kuachana kudai Serikali
Baadae Team Msoga ,Akiwemo Rostam na wenzake wakabuni mkakati wa namna ya kurudisha fedha ile
Wakajifanya kumzunguka Mama na kudanganya kuwa amteue Makamba,Mama bila kujua akamteua,
Makamba alipofika ili utekelezaji wa malipo Symbion ufanyinikiwe Makamba akaivunja Team yote ya Tanesco, akamtimua DR Mwinuka na team yake yote akamteua jamaa aliekuwepo DStv ambae hata calculation ya umeme hana uzoefu,
Akateua board ya Tanesco mpya wote wakiwemo wamiliki / CEO wa Dowans na Symbion na kubadilisha baadhi ya watalaamu ambao wamekutanishwa na wamiliki wa Dowans na Symbion Kule Dubai,JK Kikwete nadhani mmeona picha zile Kule Dubai wako pamoja linalojadiliwa hata Mama Samia hajui hata sisi wananchi hatujui
3: Lakini kubwa ni kuhakikisha Umeme wa Rufiji wanaletwa watu nyuma ya Pazia kununua Share na watajifanya wanaleta mitaji,watajifanya wanakuja kiwekeza lengo ni kuwa mradi Dowans na Symbion wapate cha kufanya
4: Mkakati mzima iliopo wametengeneza kumhujumu mama Samia 2025 watahakikisha hagombei na plan zao wanazopanga sasa hivi hatari lengo ili Makamba apate nafasi waendelee na Upigaji na utekelezaji
4 : Jambo mbaya mkakati mbaya uliopo ni Kuihujumu serikali ya Mama Samia
Nini kifanyike,
1: Mama Ondoa Makamba na team yote Nishati,
2: Mama asiruhusu uwekezaji wowote kwenye umeme ni bora tujenge Taratibu tutamaliza mradi umeme itarudi tena kawaida
3: Mama aangalie vizuri team yake ndani ya ofisi yake na Chama kww sababu JK anazidi kupandia mizizi
4: Mama asikubali kupangiwa na mtu yeyote na mama aache ushauri nje ya Idara ya Tiss ingawa na kwenye kunahitaji reshafle
5: Mama arudishe zile taskforce zilizowekwa na JPM kudhibiti maovu ikiwemo ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa mizigo Bandarini
6: Kuna watu wanauza Risiti za EFD kariakoo imepelekea kushuka kwa mapato,
7: Mama Ahakikishe vituo vya Mizani iwe ni sehemu ya kukagulia Kodi na Risiti za EFD atabaini mengi.
8: Symbion /Dowans wapelekwe Mahakamani kwa kukwepa kodi na uhujumu Uchumi.
9: JK Kikwete apunguziwe safari za nje maana wananchi wanahoji why mkwere kila siku safari budget anatoa wapi?
10: Mama atengue mkuu wa Mkoa Dar essalaam halafu Ras wa Dar awe mkuu wa Mkoa
11: Maeneo ya wazo wapewe Machinga na Mama Ntilie kwa muda wakati huo yanajengwa Majengo kwa ajili ya wamachinga...zoezi hili ni kwa Dar es salaam Kariakoo na Posts,
Walioko mbezi waachwe waendelee
12: Mama aende kwenye Mafuta kuna hujuma huko nyingi sana ....
13: Mama aachwe afanye kazi kww uhuru bila kuingiliwa na JK maana hamtakii mema.wa.
Huyu mwanamke hayana ujasiri wa kufanya haya yote,isitoshe ni team moja na kikweteMkataba ile ulisainiwa kww vipengele vya kuifunga Tanesco isichomoke,
1: Mkataba ulikuwa inaitaka Tanesco itumie umeme wa Dowans/Symbion kwa Miaka yote,
2: Mkataba ulikuwa umeandika Tanesco watumie au wasitumie Umeme wa Dowans / Symbion wanapaswa kumlipa kila siku ,Kila Mwezi,maisha yote...
JPM alipouona akamteua Mkurugenzi DR Mwinuka Clean , Procurement clean man na wanasheria kadhaa ili wachambue waangalie weakness ilipo ili wauvunje,
Walipokaa walifanikiwa kupata vipengele vya kuwakamata Dowans/Symbion
1: Walipata Kuwa Dowans /Symbion hawakuwahi kulipa Kodi Miaka yote walikuwa wanadaiwa Trillion zaidi 40 ukwepaji kodi
2: Dowans/Symbion hawakuwa na Mitambo ya kuzalishia ,Kumbe walikuwa wanatumia Mitambo ya serikali kww Hiyo ikawa point Muhimu kuwa hawakuleta Mitambo mipya kama mkataba unavyo sema.
Matokeo yake:
JPM akawa amwakamata pabaya Dowans na Symbion ya JK Kikwete na Obama....
Wakaingia kwenye mazungumzo Symbion wakaona kwa vigezo hivyo hawachomoki
Bahati Mbaya Jpm akafariki wakiwa katikati kutaka kukimbia na kuachana kudai Serikali
Baadae Team Msoga ,Akiwemo Rostam na wenzake wakabuni mkakati wa namna ya kurudisha fedha ile
Wakajifanya kumzunguka Mama na kudanganya kuwa amteue Makamba,Mama bila kujua akamteua,
Makamba alipofika ili utekelezaji wa malipo Symbion ufanyinikiwe Makamba akaivunja Team yote ya Tanesco, akamtimua DR Mwinuka na team yake yote akamteua jamaa aliekuwepo DStv ambae hata calculation ya umeme hana uzoefu,
Akateua board ya Tanesco mpya wote wakiwemo wamiliki / CEO wa Dowans na Symbion na kubadilisha baadhi ya watalaamu ambao wamekutanishwa na wamiliki wa Dowans na Symbion Kule Dubai,JK Kikwete nadhani mmeona picha zile Kule Dubai wako pamoja linalojadiliwa hata Mama Samia hajui hata sisi wananchi hatujui
3: Lakini kubwa ni kuhakikisha Umeme wa Rufiji wanaletwa watu nyuma ya Pazia kununua Share na watajifanya wanaleta mitaji,watajifanya wanakuja kiwekeza lengo ni kuwa mradi Dowans na Symbion wapate cha kufanya
4: Mkakati mzima iliopo wametengeneza kumhujumu mama Samia 2025 watahakikisha hagombei na plan zao wanazopanga sasa hivi hatari lengo ili Makamba apate nafasi waendelee na Upigaji na utekelezaji
4 : Jambo mbaya mkakati mbaya uliopo ni Kuihujumu serikali ya Mama Samia
Nini kifanyike,
1: Mama Ondoa Makamba na team yote Nishati,
2: Mama asiruhusu uwekezaji wowote kwenye umeme ni bora tujenge Taratibu tutamaliza mradi umeme itarudi tena kawaida
3: Mama aangalie vizuri team yake ndani ya ofisi yake na Chama kww sababu JK anazidi kupandia mizizi
4: Mama asikubali kupangiwa na mtu yeyote na mama aache ushauri nje ya Idara ya Tiss ingawa na kwenye kunahitaji reshafle
5: Mama arudishe zile taskforce zilizowekwa na JPM kudhibiti maovu ikiwemo ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa mizigo Bandarini
6: Kuna watu wanauza Risiti za EFD kariakoo imepelekea kushuka kwa mapato,
7: Mama Ahakikishe vituo vya Mizani iwe ni sehemu ya kukagulia Kodi na Risiti za EFD atabaini mengi.
8: Symbion /Dowans wapelekwe Mahakamani kwa kukwepa kodi na uhujumu Uchumi.
9: JK Kikwete apunguziwe safari za nje maana wananchi wanahoji why mkwere kila siku safari budget anatoa wapi?
10: Mama atengue mkuu wa Mkoa Dar essalaam halafu Ras wa Dar awe mkuu wa Mkoa
11: Maeneo ya wazo wapewe Machinga na Mama Ntilie kwa muda wakati huo yanajengwa Majengo kwa ajili ya wamachinga...zoezi hili ni kwa Dar es salaam Kariakoo na Posts,
Walioko mbezi waachwe waendelee
12: Mama aende kwenye Mafuta kuna hujuma huko nyingi sana ....
13: Mama aachwe afanye kazi kww uhuru bila kuingiliwa na JK maana hamtakii mema.
Huyu mtu sioDuh,Kila kitu JK,Hebu muacheni rais wetu mstaafu apumzike.Kweli nimeamini uongozi ni kalala.Hebu tuwe na staha na viongozi wetu,
Huyu mtu sio,kayiDuh,Kila kitu JK,Hebu muacheni rais wetu mstaafu apumzike.Kweli nimeamini uongozi ni kalala.Hebu tuwe na staha na viongozi wetu,
Nchi ngumu hiiMkataba ile ulisainiwa kww vipengele vya kuifunga Tanesco isichomoke,
1: Mkataba ulikuwa inaitaka Tanesco itumie umeme wa Dowans/Symbion kwa Miaka yote,
2: Mkataba ulikuwa umeandika Tanesco watumie au wasitumie Umeme wa Dowans / Symbion wanapaswa kumlipa kila siku ,Kila Mwezi,maisha yote...
JPM alipouona akamteua Mkurugenzi DR Mwinuka Clean , Procurement clean man na wanasheria kadhaa ili wachambue waangalie weakness ilipo ili wauvunje,
Walipokaa walifanikiwa kupata vipengele vya kuwakamata Dowans/Symbion
1: Walipata Kuwa Dowans /Symbion hawakuwahi kulipa Kodi Miaka yote walikuwa wanadaiwa Trillion zaidi 40 ukwepaji kodi
2: Dowans/Symbion hawakuwa na Mitambo ya kuzalishia ,Kumbe walikuwa wanatumia Mitambo ya serikali kww Hiyo ikawa point Muhimu kuwa hawakuleta Mitambo mipya kama mkataba unavyo sema.
Matokeo yake:
JPM akawa amwakamata pabaya Dowans na Symbion ya JK Kikwete na Obama....
Wakaingia kwenye mazungumzo Symbion wakaona kwa vigezo hivyo hawachomoki
Bahati Mbaya Jpm akafariki wakiwa katikati kutaka kukimbia na kuachana kudai Serikali
Baadae Team Msoga ,Akiwemo Rostam na wenzake wakabuni mkakati wa namna ya kurudisha fedha ile
Wakajifanya kumzunguka Mama na kudanganya kuwa amteue Makamba,Mama bila kujua akamteua,
Makamba alipofika ili utekelezaji wa malipo Symbion ufanyinikiwe Makamba akaivunja Team yote ya Tanesco, akamtimua DR Mwinuka na team yake yote akamteua jamaa aliekuwepo DStv ambae hata calculation ya umeme hana uzoefu,
Akateua board ya Tanesco mpya wote wakiwemo wamiliki / CEO wa Dowans na Symbion na kubadilisha baadhi ya watalaamu ambao wamekutanishwa na wamiliki wa Dowans na Symbion Kule Dubai,JK Kikwete nadhani mmeona picha zile Kule Dubai wako pamoja linalojadiliwa hata Mama Samia hajui hata sisi wananchi hatujui
3: Lakini kubwa ni kuhakikisha Umeme wa Rufiji wanaletwa watu nyuma ya Pazia kununua Share na watajifanya wanaleta mitaji,watajifanya wanakuja kiwekeza lengo ni kuwa mradi Dowans na Symbion wapate cha kufanya
4: Mkakati mzima iliopo wametengeneza kumhujumu mama Samia 2025 watahakikisha hagombei na plan zao wanazopanga sasa hivi hatari lengo ili Makamba apate nafasi waendelee na Upigaji na utekelezaji
4 : Jambo mbaya mkakati mbaya uliopo ni Kuihujumu serikali ya Mama Samia
Nini kifanyike,
1: Mama Ondoa Makamba na team yote Nishati,
2: Mama asiruhusu uwekezaji wowote kwenye umeme ni bora tujenge Taratibu tutamaliza mradi umeme itarudi tena kawaida
3: Mama aangalie vizuri team yake ndani ya ofisi yake na Chama kww sababu JK anazidi kupandia mizizi
4: Mama asikubali kupangiwa na mtu yeyote na mama aache ushauri nje ya Idara ya Tiss ingawa na kwenye kunahitaji reshafle
5: Mama arudishe zile taskforce zilizowekwa na JPM kudhibiti maovu ikiwemo ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa mizigo Bandarini
6: Kuna watu wanauza Risiti za EFD kariakoo imepelekea kushuka kwa mapato,
7: Mama Ahakikishe vituo vya Mizani iwe ni sehemu ya kukagulia Kodi na Risiti za EFD atabaini mengi.
8: Symbion /Dowans wapelekwe Mahakamani kwa kukwepa kodi na uhujumu Uchumi.
9: JK Kikwete apunguziwe safari za nje maana wananchi wanahoji why mkwere kila siku safari budget anatoa wapi?
10: Mama atengue mkuu wa Mkoa Dar essalaam halafu Ras wa Dar awe mkuu wa Mkoa
11: Maeneo ya wazo wapewe Machinga na Mama Ntilie kwa muda wakati huo yanajengwa Majengo kwa ajili ya wamachinga...zoezi hili ni kwa Dar es salaam Kariakoo na Posts,
Walioko mbezi waachwe waendelee
12: Mama aende kwenye Mafuta kuna hujuma huko nyingi sana ....
13: Mama aachwe afanye kazi kww uhuru bila kuingiliwa na JK maana hamtakii mema.
Kumbuka hata jiwe alilileta yeyeJk kila furushi la mavi anatupiwa yeye ajabu wakati wake karibu watu wote walikua na furaha ukiachana na maudhi ya kibinadamu...Polepole punguza gubu
nyie wasukuma hebu muacheni mzee wa watu apumzike, kikwete amewakosea nini?? kwani nani amewaambia anasafiri kwa kodi zenu?? mzee yupo kwenye bodi nyingi duniani na haendi huko kwa shughuli za nchi anaenda kwa mambo yake binafsi napp mnaona wivu, mnafikiri ameanza kusafiri baada ya kuupata urais?? acheni ushamba wenu kama nchi mlishindwa kuomgoza ni kwa uarrogant wenu, msisingizie watu, kwanza unahusianisha vitu visivyoeleweka kuwa dubai kwa kikwete na wamiliki wa dowans vinahusian nnMkataba ile ulisainiwa kww vipengele vya kuifunga Tanesco isichomoke,
1: Mkataba ulikuwa inaitaka Tanesco itumie umeme wa Dowans/Symbion kwa Miaka yote,
2: Mkataba ulikuwa umeandika Tanesco watumie au wasitumie Umeme wa Dowans / Symbion wanapaswa kumlipa kila siku ,Kila Mwezi,maisha yote...
JPM alipouona akamteua Mkurugenzi DR Mwinuka Clean , Procurement clean man na wanasheria kadhaa ili wachambue waangalie weakness ilipo ili wauvunje,
Walipokaa walifanikiwa kupata vipengele vya kuwakamata Dowans/Symbion
1: Walipata Kuwa Dowans /Symbion hawakuwahi kulipa Kodi Miaka yote walikuwa wanadaiwa Trillion zaidi 40 ukwepaji kodi
2: Dowans/Symbion hawakuwa na Mitambo ya kuzalishia ,Kumbe walikuwa wanatumia Mitambo ya serikali kww Hiyo ikawa point Muhimu kuwa hawakuleta Mitambo mipya kama mkataba unavyo sema.
Matokeo yake:
JPM akawa amwakamata pabaya Dowans na Symbion ya JK Kikwete na Obama....
Wakaingia kwenye mazungumzo Symbion wakaona kwa vigezo hivyo hawachomoki
Bahati Mbaya Jpm akafariki wakiwa katikati kutaka kukimbia na kuachana kudai Serikali
Baadae Team Msoga ,Akiwemo Rostam na wenzake wakabuni mkakati wa namna ya kurudisha fedha ile
Wakajifanya kumzunguka Mama na kudanganya kuwa amteue Makamba,Mama bila kujua akamteua,
Makamba alipofika ili utekelezaji wa malipo Symbion ufanyinikiwe Makamba akaivunja Team yote ya Tanesco, akamtimua DR Mwinuka na team yake yote akamteua jamaa aliekuwepo DStv ambae hata calculation ya umeme hana uzoefu,
Akateua board ya Tanesco mpya wote wakiwemo wamiliki / CEO wa Dowans na Symbion na kubadilisha baadhi ya watalaamu ambao wamekutanishwa na wamiliki wa Dowans na Symbion Kule Dubai,JK Kikwete nadhani mmeona picha zile Kule Dubai wako pamoja linalojadiliwa hata Mama Samia hajui hata sisi wananchi hatujui
3: Lakini kubwa ni kuhakikisha Umeme wa Rufiji wanaletwa watu nyuma ya Pazia kununua Share na watajifanya wanaleta mitaji,watajifanya wanakuja kiwekeza lengo ni kuwa mradi Dowans na Symbion wapate cha kufanya
4: Mkakati mzima iliopo wametengeneza kumhujumu mama Samia 2025 watahakikisha hagombei na plan zao wanazopanga sasa hivi hatari lengo ili Makamba apate nafasi waendelee na Upigaji na utekelezaji
4 : Jambo mbaya mkakati mbaya uliopo ni Kuihujumu serikali ya Mama Samia
Nini kifanyike,
1: Mama Ondoa Makamba na team yote Nishati,
2: Mama asiruhusu uwekezaji wowote kwenye umeme ni bora tujenge Taratibu tutamaliza mradi umeme itarudi tena kawaida
3: Mama aangalie vizuri team yake ndani ya ofisi yake na Chama kww sababu JK anazidi kupandia mizizi
4: Mama asikubali kupangiwa na mtu yeyote na mama aache ushauri nje ya Idara ya Tiss ingawa na kwenye kunahitaji reshafle
5: Mama arudishe zile taskforce zilizowekwa na JPM kudhibiti maovu ikiwemo ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa mizigo Bandarini
6: Kuna watu wanauza Risiti za EFD kariakoo imepelekea kushuka kwa mapato,
7: Mama Ahakikishe vituo vya Mizani iwe ni sehemu ya kukagulia Kodi na Risiti za EFD atabaini mengi.
8: Symbion /Dowans wapelekwe Mahakamani kwa kukwepa kodi na uhujumu Uchumi.
9: JK Kikwete apunguziwe safari za nje maana wananchi wanahoji why mkwere kila siku safari budget anatoa wapi?
10: Mama atengue mkuu wa Mkoa Dar essalaam halafu Ras wa Dar awe mkuu wa Mkoa
11: Maeneo ya wazo wapewe Machinga na Mama Ntilie kwa muda wakati huo yanajengwa Majengo kwa ajili ya wamachinga...zoezi hili ni kwa Dar es salaam Kariakoo na Posts,
Walioko mbezi waachwe waendelee
12: Mama aende kwenye Mafuta kuna hujuma huko nyingi sana ....
13: Mama aachwe afanye kazi kww uhuru bila kuingiliwa na JK maana hamtakii mema.
Alikua anamuogopa sana. Mtu kama aliwahi kua boss wako hata kama akiachia ngazi. Bado utakuona kama boss tu. Afu kumbuka jamaa kwa wakati huo alikua kastaafu lakini bado kaacha watu wake wengi ndani ya serikali ambao walikua bado wanamtii/ loyality. So nafikiri kitu kama hicho pia kilimwogopesha mwendazakeHuyo JPM kama alijua JK ndio kafanya yote hayo mbona alikuwa anamwalika na kupiga nae stori wakicheka ikulu kama si unafiki ni nini?
Yaani nyie mkidhulumiana huko ndio mnaanza kutunga mambo si mlisema Hom boy wangu Tundu Lisu ndio msaliti wa hii nchi kumbe wasaliti mnao ndani humo humo.
Pumbavu sana nyie watu.
Matunda yake kwamba umeme tutakua tunanunua unit 1/2Tsh.Au ni matunda gani wamaanishaNdugu huu upupu ulioandika fanya utafiti vizuri,safari za nje za jakaya,zipo kwa mujibu wa sheria na ni ile idadi tu iliyoandikwa,zingine ni kwa juhudi zake tu,hazilipiwi na serikali,mpe muda makamba utaona matunda yake na utakuha hapa kukiri mwenyewe,the guy is so intelligent
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kwamba ieleweke kuwa tunatawaliwa na mali zetu zote ni za mtawala kuliko kuaminishana uzalendo wakati wanaofaidi ni wachache!What a Fu cking country !? Bora wa wangeendelea kutawala tu