Jambo lililomtesa Hayati Dkt. Magufuli ni mkataba wa Dowans na Symbion ambao Mzee Kikwete alisaini wakati wake

Jk mtu muhimu sana nchi hii..

Bila JK magufuli u raisi angeusikia tu. Hata mama samia umakamu angeusikia tu

Magufuli akiwa waziri huku JK rais alikuwa anapewa upendeleo mkubwa kuliko mawaziri wote.

Na magufuli alikuwa anatia nchi hasara kama samaki wa uvuvi case ila jk anambeba tu.

Kwa mtu yeyote anaemsifia magufuli kwa uzalendo anapaswa amsifie JK kama mzalendo mkuu.. maana bila JK hakuna magufuli wala samia
Ficha ujinga Wako mpumbavu wewe! Mwambieni hii ni nchi sio shamba la babu yake
 
Acheni kupotosha watu, naamini mama anafanya kazi kwa utashi wake asilimia nyingi na kama anapata usaidizi ni kidogo sana kitu ambacho ni sahihi. Hakuna ubaya kwenda kuuliza au kujifunza kwa mtangulizi wako.

Mh. Makamba naye ni mtanzania wala hana sababu za kutopewa uwaziri, na kama swala ni mikataba hilo siyo la kulaumu mtu mmoja ni swala la mfumo tu.
Kama kweli hamuyataki yote hayo rekebisheni mfumo kwanza badae kila kitu kitaenda sawaa. Sababu kila kitu nchi hii ni siri ya utawala. Hivyo hata apewe nani bado atafanya maamuzi kadri ya utashi wake.

Rekebisheni katiba ya nchi, mfumo wa kuendesha nchi uwe wazi kwa kila mtu, Mihimiri iwe na uwezo wa kuwajibishana. Bila kufanya hivyo hakuna mtu atataka kuondoka bila uhakika wa maisha yake. Nani hataki maisha mazuri?, nani anaweza sahau ndugu na marafiki zake?,

Mambo ni mengi kwa kweli, Hivyo acha mzee wetu JK ale mema yake, wewe ni nani hadi utoe view ya uongoz mmoja peke yake. Mie naamini kila mtu anajua ni uongozi upi anaouchukia na haukuwa na faida kwake.
 
Mkataba ile ulisainiwa kww vipengele vya kuifunga Tanesco isichomoke,
1: Mkataba ulikuwa inaitaka Tanesco itumie umeme wa Dowans/Symbion kwa Miaka yote,

2: Mkataba ulikuwa umeandika Tanesco watumie au wasitumie Umeme wa Dowans / Symbion wanapaswa kumlipa kila siku ,Kila Mwezi,maisha yote...

JPM alipouona akamteua Mkurugenzi DR Mwinuka Clean , Procurement clean man na wanasheria kadhaa ili wachambue waangalie weakness ilipo ili wauvunje,

Walipokaa walifanikiwa kupata vipengele vya kuwakamata Dowans/Symbion

1: Walipata Kuwa Dowans /Symbion hawakuwahi kulipa Kodi Miaka yote walikuwa wanadaiwa Trillion zaidi 40 ukwepaji kodi

2: Dowans/Symbion hawakuwa na Mitambo ya kuzalishia ,Kumbe walikuwa wanatumia Mitambo ya serikali kww Hiyo ikawa point Muhimu kuwa hawakuleta Mitambo mipya kama mkataba unavyo sema.

Matokeo yake:
JPM akawa amwakamata pabaya Dowans na Symbion ya JK Kikwete na Obama....
Wakaingia kwenye mazungumzo Symbion wakaona kwa vigezo hivyo hawachomoki

Bahati Mbaya Jpm akafariki wakiwa katikati kutaka kukimbia na kuachana kudai Serikali

Baadae Team Msoga ,Akiwemo Rostam na wenzake wakabuni mkakati wa namna ya kurudisha fedha ile
Wakajifanya kumzunguka Mama na kudanganya kuwa amteue Makamba,Mama bila kujua akamteua,

Makamba alipofika ili utekelezaji wa malipo Symbion ufanyinikiwe Makamba akaivunja Team yote ya Tanesco, akamtimua DR Mwinuka na team yake yote akamteua jamaa aliekuwepo DStv ambae hata calculation ya umeme hana uzoefu,

Akateua board ya Tanesco mpya wote wakiwemo wamiliki / CEO wa Dowans na Symbion na kubadilisha baadhi ya watalaamu ambao wamekutanishwa na wamiliki wa Dowans na Symbion Kule Dubai,JK Kikwete nadhani mmeona picha zile Kule Dubai wako pamoja linalojadiliwa hata Mama Samia hajui hata sisi wananchi hatujui

3: Lakini kubwa ni kuhakikisha Umeme wa Rufiji wanaletwa watu nyuma ya Pazia kununua Share na watajifanya wanaleta mitaji,watajifanya wanakuja kiwekeza lengo ni kuwa mradi Dowans na Symbion wapate cha kufanya

4: Mkakati mzima iliopo wametengeneza kumhujumu mama Samia 2025 watahakikisha hagombei na plan zao wanazopanga sasa hivi hatari lengo ili Makamba apate nafasi waendelee na Upigaji na utekelezaji

4 : Jambo mbaya mkakati mbaya uliopo ni Kuihujumu serikali ya Mama Samia

Nini kifanyike,

1: Mama Ondoa Makamba na team yote Nishati,

2: Mama asiruhusu uwekezaji wowote kwenye umeme ni bora tujenge Taratibu tutamaliza mradi umeme itarudi tena kawaida

3: Mama aangalie vizuri team yake ndani ya ofisi yake na Chama kww sababu JK anazidi kupandia mizizi

4: Mama asikubali kupangiwa na mtu yeyote na mama aache ushauri nje ya Idara ya Tiss ingawa na kwenye kunahitaji reshafle

5: Mama arudishe zile taskforce zilizowekwa na JPM kudhibiti maovu ikiwemo ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa mizigo Bandarini

6: Kuna watu wanauza Risiti za EFD kariakoo imepelekea kushuka kwa mapato,
7: Mama Ahakikishe vituo vya Mizani iwe ni sehemu ya kukagulia Kodi na Risiti za EFD atabaini mengi.

8: Symbion /Dowans wapelekwe Mahakamani kwa kukwepa kodi na uhujumu Uchumi.

9: JK Kikwete apunguziwe safari za nje maana wananchi wanahoji why mkwere kila siku safari budget anatoa wapi?

10: Mama atengue mkuu wa Mkoa Dar essalaam halafu Ras wa Dar awe mkuu wa Mkoa

11: Maeneo ya wazo wapewe Machinga na Mama Ntilie kwa muda wakati huo yanajengwa Majengo kwa ajili ya wamachinga...zoezi hili ni kwa Dar es salaam Kariakoo na Posts,

Walioko mbezi waachwe waendelee

12: Mama aende kwenye Mafuta kuna hujuma huko nyingi sana ....

13: Mama aachwe afanye kazi kww uhuru bila kuingiliwa na JK maana hamtakii mema.
Sawa RAS wa Dar tumekusikia tutalifikisha uongozi wa juu kwa maamuzi
 
Jk kila furushi la mavi anatupiwa yeye ajabu wakati wake karibu watu wote walikua na furaha ukiachana na maudhi ya kibinadamu...Polepole punguza gubu
Huenda ndie?maana kama kuna za jikoni jikoni hivi si kwa uchambuzi huu mwe
 
Mhhh sawa Wacha wale Mkuu kwani kuna tatizo? Maana hata wasipokula bado hizo keki kutufikia sisi wengine ni ngumu. Hivyo ni bora wale tu. Cha kujivunia mwisho wa siku wote ni....... kulamba Mchanga..... hapo Mungu Ashukuriwe Daima na Milele. Amina
Kwa kweli mkuu
 
niliuliza hapa siku moja kama huyu jk alishawahi kukataa mimba za watu wakati wa ujana wake ili tujue kinachoendelea na tunyamaze maana si kwa chuki hizo dhidi yake, sijajibiwa mpaka leo. Ajabu ni kuwa jamaa anaendelea kujaa tabasamu tu huku wamchukiao na kumchafua na kumzushia, kwa matumaini ya kumuathiri, ndiyo kwanza wanazidi kuchakaa wao na kumalizika.

Saikolojia ya jamaa iko vema sana.....kama mlishindwa kummaliza kipindi mlichokuwa na mfadhili na mlinzi kabisa wa kuwalipa na kuwalinda kina musiba ili mumchafue jk na kummaliza; mtaweza sasa hv ambapo hakuna anayepoteza nguvu na fedha kwa ajili ya mambo hayo?!!!
 
Mkataba ile ulisainiwa kww vipengele vya kuifunga Tanesco isichomoke,
1: Mkataba ulikuwa inaitaka Tanesco itumie umeme wa Dowans/Symbion kwa Miaka yote,

2: Mkataba ulikuwa umeandika Tanesco watumie au wasitumie Umeme wa Dowans / Symbion wanapaswa kumlipa kila siku ,Kila Mwezi,maisha yote...

JPM alipouona akamteua Mkurugenzi DR Mwinuka Clean , Procurement clean man na wanasheria kadhaa ili wachambue waangalie weakness ilipo ili wauvunje,

Walipokaa walifanikiwa kupata vipengele vya kuwakamata Dowans/Symbion

1: Walipata Kuwa Dowans /Symbion hawakuwahi kulipa Kodi Miaka yote walikuwa wanadaiwa Trillion zaidi 40 ukwepaji kodi

2: Dowans/Symbion hawakuwa na Mitambo ya kuzalishia ,Kumbe walikuwa wanatumia Mitambo ya serikali kww Hiyo ikawa point Muhimu kuwa hawakuleta Mitambo mipya kama mkataba unavyo sema.

Matokeo yake:
JPM akawa amwakamata pabaya Dowans na Symbion ya JK Kikwete na Obama....
Wakaingia kwenye mazungumzo Symbion wakaona kwa vigezo hivyo hawachomoki

Bahati Mbaya Jpm akafariki wakiwa katikati kutaka kukimbia na kuachana kudai Serikali

Baadae Team Msoga ,Akiwemo Rostam na wenzake wakabuni mkakati wa namna ya kurudisha fedha ile
Wakajifanya kumzunguka Mama na kudanganya kuwa amteue Makamba,Mama bila kujua akamteua,

Makamba alipofika ili utekelezaji wa malipo Symbion ufanyinikiwe Makamba akaivunja Team yote ya Tanesco, akamtimua DR Mwinuka na team yake yote akamteua jamaa aliekuwepo DStv ambae hata calculation ya umeme hana uzoefu,

Akateua board ya Tanesco mpya wote wakiwemo wamiliki / CEO wa Dowans na Symbion na kubadilisha baadhi ya watalaamu ambao wamekutanishwa na wamiliki wa Dowans na Symbion Kule Dubai,JK Kikwete nadhani mmeona picha zile Kule Dubai wako pamoja linalojadiliwa hata Mama Samia hajui hata sisi wananchi hatujui

3: Lakini kubwa ni kuhakikisha Umeme wa Rufiji wanaletwa watu nyuma ya Pazia kununua Share na watajifanya wanaleta mitaji,watajifanya wanakuja kiwekeza lengo ni kuwa mradi Dowans na Symbion wapate cha kufanya

4: Mkakati mzima iliopo wametengeneza kumhujumu mama Samia 2025 watahakikisha hagombei na plan zao wanazopanga sasa hivi hatari lengo ili Makamba apate nafasi waendelee na Upigaji na utekelezaji

4 : Jambo mbaya mkakati mbaya uliopo ni Kuihujumu serikali ya Mama Samia

Nini kifanyike,

1: Mama Ondoa Makamba na team yote Nishati,

2: Mama asiruhusu uwekezaji wowote kwenye umeme ni bora tujenge Taratibu tutamaliza mradi umeme itarudi tena kawaida

3: Mama aangalie vizuri team yake ndani ya ofisi yake na Chama kww sababu JK anazidi kupandia mizizi

4: Mama asikubali kupangiwa na mtu yeyote na mama aache ushauri nje ya Idara ya Tiss ingawa na kwenye kunahitaji reshafle

5: Mama arudishe zile taskforce zilizowekwa na JPM kudhibiti maovu ikiwemo ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa mizigo Bandarini

6: Kuna watu wanauza Risiti za EFD kariakoo imepelekea kushuka kwa mapato,
7: Mama Ahakikishe vituo vya Mizani iwe ni sehemu ya kukagulia Kodi na Risiti za EFD atabaini mengi.

8: Symbion /Dowans wapelekwe Mahakamani kwa kukwepa kodi na uhujumu Uchumi.

9: JK Kikwete apunguziwe safari za nje maana wananchi wanahoji why mkwere kila siku safari budget anatoa wapi?

10: Mama atengue mkuu wa Mkoa Dar essalaam halafu Ras wa Dar awe mkuu wa Mkoa

11: Maeneo ya wazo wapewe Machinga na Mama Ntilie kwa muda wakati huo yanajengwa Majengo kwa ajili ya wamachinga...zoezi hili ni kwa Dar es salaam Kariakoo na Posts,

Walioko mbezi waachwe waendelee

12: Mama aende kwenye Mafuta kuna hujuma huko nyingi sana ....

13: Mama aachwe afanye kazi kww uhuru bila kuingiliwa na JK maana hamtakii mema.
Ndugu huu upupu ulioandika fanya utafiti vizuri,safari za nje za jakaya,zipo kwa mujibu wa sheria na ni ile idadi tu iliyoandikwa,zingine ni kwa juhudi zake tu,hazilipiwi na serikali,mpe muda makamba utaona matunda yake na utakuha hapa kukiri mwenyewe,the guy is so intelligent

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Mkataba ile ulisainiwa kww vipengele vya kuifunga Tanesco isichomoke,
1: Mkataba ulikuwa inaitaka Tanesco itumie umeme wa Dowans/Symbion kwa Miaka yote,

2: Mkataba ulikuwa umeandika Tanesco watumie au wasitumie Umeme wa Dowans / Symbion wanapaswa kumlipa kila siku ,Kila Mwezi,maisha yote...

JPM alipouona akamteua Mkurugenzi DR Mwinuka Clean , Procurement clean man na wanasheria kadhaa ili wachambue waangalie weakness ilipo ili wauvunje,

Walipokaa walifanikiwa kupata vipengele vya kuwakamata Dowans/Symbion

1: Walipata Kuwa Dowans /Symbion hawakuwahi kulipa Kodi Miaka yote walikuwa wanadaiwa Trillion zaidi 40 ukwepaji kodi

2: Dowans/Symbion hawakuwa na Mitambo ya kuzalishia ,Kumbe walikuwa wanatumia Mitambo ya serikali kww Hiyo ikawa point Muhimu kuwa hawakuleta Mitambo mipya kama mkataba unavyo sema.

Matokeo yake:
JPM akawa amwakamata pabaya Dowans na Symbion ya JK Kikwete na Obama....
Wakaingia kwenye mazungumzo Symbion wakaona kwa vigezo hivyo hawachomoki

Bahati Mbaya Jpm akafariki wakiwa katikati kutaka kukimbia na kuachana kudai Serikali

Baadae Team Msoga ,Akiwemo Rostam na wenzake wakabuni mkakati wa namna ya kurudisha fedha ile
Wakajifanya kumzunguka Mama na kudanganya kuwa amteue Makamba,Mama bila kujua akamteua,

Makamba alipofika ili utekelezaji wa malipo Symbion ufanyinikiwe Makamba akaivunja Team yote ya Tanesco, akamtimua DR Mwinuka na team yake yote akamteua jamaa aliekuwepo DStv ambae hata calculation ya umeme hana uzoefu,

Akateua board ya Tanesco mpya wote wakiwemo wamiliki / CEO wa Dowans na Symbion na kubadilisha baadhi ya watalaamu ambao wamekutanishwa na wamiliki wa Dowans na Symbion Kule Dubai,JK Kikwete nadhani mmeona picha zile Kule Dubai wako pamoja linalojadiliwa hata Mama Samia hajui hata sisi wananchi hatujui

3: Lakini kubwa ni kuhakikisha Umeme wa Rufiji wanaletwa watu nyuma ya Pazia kununua Share na watajifanya wanaleta mitaji,watajifanya wanakuja kiwekeza lengo ni kuwa mradi Dowans na Symbion wapate cha kufanya

4: Mkakati mzima iliopo wametengeneza kumhujumu mama Samia 2025 watahakikisha hagombei na plan zao wanazopanga sasa hivi hatari lengo ili Makamba apate nafasi waendelee na Upigaji na utekelezaji

4 : Jambo mbaya mkakati mbaya uliopo ni Kuihujumu serikali ya Mama Samia

Nini kifanyike,

1: Mama Ondoa Makamba na team yote Nishati,

2: Mama asiruhusu uwekezaji wowote kwenye umeme ni bora tujenge Taratibu tutamaliza mradi umeme itarudi tena kawaida

3: Mama aangalie vizuri team yake ndani ya ofisi yake na Chama kww sababu JK anazidi kupandia mizizi

4: Mama asikubali kupangiwa na mtu yeyote na mama aache ushauri nje ya Idara ya Tiss ingawa na kwenye kunahitaji reshafle

5: Mama arudishe zile taskforce zilizowekwa na JPM kudhibiti maovu ikiwemo ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa mizigo Bandarini

6: Kuna watu wanauza Risiti za EFD kariakoo imepelekea kushuka kwa mapato,
7: Mama Ahakikishe vituo vya Mizani iwe ni sehemu ya kukagulia Kodi na Risiti za EFD atabaini mengi.

8: Symbion /Dowans wapelekwe Mahakamani kwa kukwepa kodi na uhujumu Uchumi.

9: JK Kikwete apunguziwe safari za nje maana wananchi wanahoji why mkwere kila siku safari budget anatoa wapi?

10: Mama atengue mkuu wa Mkoa Dar essalaam halafu Ras wa Dar awe mkuu wa Mkoa

11: Maeneo ya wazo wapewe Machinga na Mama Ntilie kwa muda wakati huo yanajengwa Majengo kwa ajili ya wamachinga...zoezi hili ni kwa Dar es salaam Kariakoo na Posts,

Walioko mbezi waachwe waendelee

12: Mama aende kwenye Mafuta kuna hujuma huko nyingi sana ....

13: Mama aachwe afanye kazi kww uhuru bila kuingiliwa na JK maana hamtakii mema.
Dikteta alikuwa kubwa la mafisadi
 
Back
Top Bottom