Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
WanaJF;
Habari za uhakika nilizopata kutoka New Habari ni kwamba Rostam kalinunua gazeti la Jambo Leo kuanzia jana. Utayarishaji wa hilo gazeti unahamia Sinza katika newsroom za New Habari na litakuwa linamilikiwa na kampuni hiyo.
Nawasiliasha!
Habari za uhakika nilizopata kutoka New Habari ni kwamba Rostam kalinunua gazeti la Jambo Leo kuanzia jana. Utayarishaji wa hilo gazeti unahamia Sinza katika newsroom za New Habari na litakuwa linamilikiwa na kampuni hiyo.
Nawasiliasha!