Jambo la muhimu kwa CHADEMA

Oct 31, 2013
14
13
CHADEMA tunavyotaka kuchukua dola hili ni muhimu lifanyiwe kazi.CHADEMA tumetegemea sana watu binafsi na hili linaweza kutugharimu.Mfano sio jambo la kujivunia kusema ofisi ya mkoa ya CHADEMA ilikuwa sebuleni kwa mtu.Viongozi jitahidi kwa hekima muhakikishe chama kina ofisi zinazoeleweka kuanzia ngazi ya chini mpaka juu. Lakini pia tuangalie suala lingine mfano wilaya ninayokaa mimi CHADEMA ni k.m inaendeshwa na mtu mmoja kwa sababu yeye mara nyingi ndio mfadhili mkuu wa chama.Kwa hiyo hilo linampa nguvu ya kuweza kuamua lolote na viongozi wakatii kwa sababu ya nguvu ya pesa.Je siku ikitokea naye akaasi?Kwa hiyo tuangalie vizuri misaada ya watu binafsi isikigharimu chama. Pia ni kweli kabisa tumewasahau viongozi wetu wa ngazi za chini na nahisi ndio maana wanatumiwa na C.C.M na watu wengine wenye masilahi yao.Viongozi wengi wa ngazi za chini wanajituma sana lakini wana njaa sana.Mfano C.C.M haiwalipi viongozi wake wa ngazi za chini lakini imewajengea mazingira ya rushwa ambayo wameridhika nayo.Mfano ukienda mahala una shida na balozi anataka umpe hela ndipo akuhudumie. Mimi nina rafiki yangu ambaye ni kiongozi wa CHADEMA Ambaye anajituma sana kukitumikia chama.Lakini juzi kakimbiwa na mke wake kisa maisha magumu.Nawaomba kama tunavyopigania haki za walimu,madaktari,polisi na wengine pia tuwaangalie viongozi wa chama kuanzia ngazi ya chini.Hii itatutofautisha na vyama vingine. MAWAZO YANGU NI KWA AJILI YA KUBORESHA NA SI KUBOMOA.
 
Nawapongeza vijana wanaofanya kazi kwa dhati bila kuwaza rushwa na kununuliwa na maCCM. Kujituma kwenu si bure na Mungu awapiganie...Atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeshinda.
 
Mtachukua mapaka paund dola peke yake haitawatosha chama gani kila kitu kinadanya.
 
Nawapongeza vijana wanaofanya kazi kwa dhati bila kuwaza rushwa na kununuliwa na maCCM. Kujituma kwenu si bure na Mungu awapiganie...Atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeshinda.
Viongozi wa makao wanajilipa zaidi ya milioni 12 kila mmoja halafu unawadanya vijana wajitolee kivipi.
 
Nashangaa sana hiki chama,chama gani kimejijenga mkoa mmoja tu?tena kilipozaliwa,lkn mikoani hakuna katibu wala wenyeviti wote njaa tupu,angalia wao wanavyojilipa mamilioni,kisha mpewe dola,labda na rupia sio dola tu,mkipata hiyo dola si mtawalaza na njaa wakuu wa mikoa na wilaya??chadema kwisha zake na majimbo uchaguzi ujao yatapungua maana tumewashtukizia kuwa chama cha wachagaaaa.
 
CHADEMA tunavyotaka kuchukua dola hili ni muhimu lifanyiwe kazi.CHADEMA tumetegemea sana watu binafsi na hili linaweza kutugharimu.Mfano sio jambo la kujivunia kusema ofisi ya mkoa ya CHADEMA ilikuwa sebuleni kwa mtu.Viongozi jitahidi kwa hekima muhakikishe chama kina ofisi zinazoeleweka kuanzia ngazi ya chini mpaka juu. Lakini pia tuangalie suala lingine mfano wilaya ninayokaa mimi CHADEMA ni k.m inaendeshwa na mtu mmoja kwa sababu yeye mara nyingi ndio mfadhili mkuu wa chama.Kwa hiyo hilo linampa nguvu ya kuweza kuamua lolote na viongozi wakatii kwa sababu ya nguvu ya pesa.Je siku ikitokea naye akaasi?Kwa hiyo tuangalie vizuri misaada ya watu binafsi isikigharimu chama. Pia ni kweli kabisa tumewasahau viongozi wetu wa ngazi za chini na nahisi ndio maana wanatumiwa na C.C.M na watu wengine wenye masilahi yao.Viongozi wengi wa ngazi za chini wanajituma sana lakini wana njaa sana.Mfano C.C.M haiwalipi viongozi wake wa ngazi za chini lakini imewajengea mazingira ya rushwa ambayo wameridhika nayo.Mfano ukienda mahala una shida na balozi anataka umpe hela ndipo akuhudumie. Mimi nina rafiki yangu ambaye ni kiongozi wa CHADEMA Ambaye anajituma sana kukitumikia chama.Lakini juzi kakimbiwa na mke wake kisa maisha magumu.Nawaomba kama tunavyopigania haki za walimu,madaktari,polisi na wengine pia tuwaangalie viongozi wa chama kuanzia ngazi ya chini.Hii itatutofautisha na vyama vingine. MAWAZO YANGU NI KWA AJILI YA KUBORESHA NA SI KUBOMOA.

Hata Tanzania Daima ni gazeti la Mbowe lakini linatumia jina la Chadema kumwingizia kipato Mbowe.
sixgates alishauri Chadema ianzishe gazeti Mbowe akawa mkali kwelikweli akipinga hilo...
 
Last edited by a moderator:
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom