johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Mwaka 2015 CCM ilipasuka vipande vipande baada ya mzee Lowassa kuhamia Chadema na mzee Membe kununa.
Hayati Magufuli alipokabidhiwa chama alifanikisha kuwarejesha kundini wanachama wote waliokimbia CCM akiwemo mzee Lowassa mwenyewe na kundi lake lowe wakiwemo Ole milya, Masha, Dr Mollel, Mgeja nk nk
Lakini pia Magufuli aliongeza mtaji kwa CCM kwa kuwapokea wanachama lukuki wa Chadema na ACT wazalendo waliounga mkono juhudi akiwemo Katibu mkuu wa Chadema Dr Mashinji na mwenyekiti wa Bavicha Patrobas Katambi.
Nawatakia Sabato yenye baraka!
Hayati Magufuli alipokabidhiwa chama alifanikisha kuwarejesha kundini wanachama wote waliokimbia CCM akiwemo mzee Lowassa mwenyewe na kundi lake lowe wakiwemo Ole milya, Masha, Dr Mollel, Mgeja nk nk
Lakini pia Magufuli aliongeza mtaji kwa CCM kwa kuwapokea wanachama lukuki wa Chadema na ACT wazalendo waliounga mkono juhudi akiwemo Katibu mkuu wa Chadema Dr Mashinji na mwenyekiti wa Bavicha Patrobas Katambi.
Nawatakia Sabato yenye baraka!