Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,627
Hii inchi mamlaka zake zina mambo ya kifala, sasa laki tano ya nini, hiyo YouTube walitengeneza wao?!Anhaa kufungua ni lazima uwe na email ya gmail na uingie katika mtandao wa youtube utafata hatua,lakini pia TCRA wanataka uwalipe laki 5 ya leseni kila mwaka.