Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,701
- 36,120
Habari wapendwa!
Mimi si mwandishi mzuri na huwa ni mzito kuandika jumbe ndefu. Habari ni kwamba viongozi wa kisiasa chini ya serikali ya CCM hawawezi kushitakiwa kwa makosa yao waliyotenda kipindi cha uongozi wao.
Wanawaza kuwajibishwaa kwa namna tofauti ila sio kuwapandisha kizimbani. CCM ni kama wameapa kulindana.
Hamtakuja kusikia Sabaya , Kangi Lugola na wengine wamepandishwa kizimbani.
Mimi si mwandishi mzuri na huwa ni mzito kuandika jumbe ndefu. Habari ni kwamba viongozi wa kisiasa chini ya serikali ya CCM hawawezi kushitakiwa kwa makosa yao waliyotenda kipindi cha uongozi wao.
Wanawaza kuwajibishwaa kwa namna tofauti ila sio kuwapandisha kizimbani. CCM ni kama wameapa kulindana.
Hamtakuja kusikia Sabaya , Kangi Lugola na wengine wamepandishwa kizimbani.