gonorrhea na syphilis yalikuwepo...wakati ule mwamko kwenda kupata tiba ulikuwa mdogo...so pima madhara yake...waliokuwa wanajidai mastriker chamoto walikuwa wanakiona...!!!!!!!
Watanzania tunapenda kujichomeka hata pale tusipostahili. Jamani hizi picha sio za Tzania!!! Kama huamini basi GOOGLE mtu aitwaye Malick Sidibe au Abderramane Sakaly utajionea. Negative za picha hizi zimo kwenye BBC Documentay ya African Photographers, na nyingi ni za miaka ya 60's. Kama una muda ingia youtube ujionee.
Watanzania tunapenda kujichomeka hata pale tusipostahili. Jamani hizi picha sio za Tzania!!! Kama huamini basi GOOGLE mtu aitwaye Malick Sidibe au Abderramane Sakaly utajionea. Negative za picha hizi zimo kwenye BBC Documentay ya African Photographers, na nyingi ni za miaka ya 60's. Kama una muda ingia youtube ujionee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.