Naomba mnisaidie, nina shoga angu ameniomba nmshauri nami cnabudi kulileta kwenu.Rafiki yangu ana boyfriend wake kwa muda mrefu sana,bt kwa sasa hawaelewan kwa kua huyo shemeji yangu amekuta sms ya mwanaume mwingine ambae anamfuatilia kwenye cmu ya rafiki yangu.tatizo n kwmb huyo shemeji yangu anazidi kumuuliza yule n nani yake,kila akimuelewesha shemeji yangu hataki kuelewa anamwambia n bwana ake sasa shoga angu ata aelewi afanyeje.