baloz89
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 1,054
- 1,443
LooUnaonekana Wewe Sio Domo Zege Ila Akili Zako Mbovu.Umejiunga 27th March 2015 Halafu Unajitetea Wewe Ni Member Wa Siku Nyingi.Inaonekana Tatizo Lako Akili Zako Hazijatimia.
Labda Utuambie Ulikua Unatumia Id Gani Kabla Ya Hii Mpya.Na Kwanini Umebadili Id.Au Uliona Aibu Kuposti Huu Utumbo Na Id Ya Zamani?[/QUOTE
Kumbe mmenikamata kirahisi but jina nlokuaga nalitumia ni walter mtaki sema nimesahau password baada ya kupata simu nyingine ......hapa ni kwa ufupi na nipo humu jamvini almost ka miaka miwili ka sijakosea na nimekua ni mfuatiliaji wa mambo mengi tuuu na nlishaanzisha thread moja tuuu hapo kwa kifupi mkuuu
Naomba maujanja niachane na kasumba inayonisibu
umejaribu soap???.....,no usumbufu kabsaaaa