donaldson don
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 624
- 415
Habari wanajukwaa, Naombeni msaada wa ushauri toka kwenu, mimi nimekuwa katika uhusiano wakimapenzi na msichana mmoja hivi kwa takiribani 3years ivi but na nimekuwa nikumhudumia kama mke ninae ishi nae.
Lakini mwisho wa siku akawa anaignore hata kumeet na mimi akidai yuko busy ilihali yuko kwa dadaake amelala mda kwavile yeye anaishi kwa dadaake anasingizia yuko busy chakushangaza kwenye mizunguko yake hasemi kama yuko busy kwa simu ananipigia sana pamoja nakutuma txt isipokuwa swala lakumeet tu ndo anapiga chenga.
Akija nyumbani kwangu yupo kwenye period anakuta nishapika tunakula story za hapa na pale then anaondoka but mwisho wa siku nimechoka kuhudumia bila namimi kuhudumiwa nikamwambia adai niendelee tu kuvumilia nikamwambia basi naomba uniambie kama unamwingine nijue kama wewe sio wangu niwapishe wenzangu na sitoweza tena kuendelea kuwasiliana nawewe wala kushirikiana kwa lolote.
Akawa anadhani maskhara mpaka now ninakata week sasa sijawasiliana nae japo yeye alinipigia simu ananiplz eti kwa usumbufu wakunipigia simu lakini pia wakuu nimeumia sana maana nimemhudumia mpaka dadaake anashangaa pamoja na kakaake akija nashida namsaidia mwezi wa tano alifiwa na babaake nikampa zaidi ya laki mbili kwenda kwao mwanza pamoja na kakaake.
Nashida ndogo za elfu 20,30,40,50,60,70 kibao hata hazihesabiki maana from 2013 adi sasa nikitambo kdogo sasa wakuu naombeni ushauri niachane nae nitafute mwingine au nijilazimishe kuwa nae japo yeye inaonesha kapata mwingine.. plz jamani nina areji na MATUSI ukiona sio ignore it.. samahani japo kwa ufupi maana ni historia ndefu
Lakini mwisho wa siku akawa anaignore hata kumeet na mimi akidai yuko busy ilihali yuko kwa dadaake amelala mda kwavile yeye anaishi kwa dadaake anasingizia yuko busy chakushangaza kwenye mizunguko yake hasemi kama yuko busy kwa simu ananipigia sana pamoja nakutuma txt isipokuwa swala lakumeet tu ndo anapiga chenga.
Akija nyumbani kwangu yupo kwenye period anakuta nishapika tunakula story za hapa na pale then anaondoka but mwisho wa siku nimechoka kuhudumia bila namimi kuhudumiwa nikamwambia adai niendelee tu kuvumilia nikamwambia basi naomba uniambie kama unamwingine nijue kama wewe sio wangu niwapishe wenzangu na sitoweza tena kuendelea kuwasiliana nawewe wala kushirikiana kwa lolote.
Akawa anadhani maskhara mpaka now ninakata week sasa sijawasiliana nae japo yeye alinipigia simu ananiplz eti kwa usumbufu wakunipigia simu lakini pia wakuu nimeumia sana maana nimemhudumia mpaka dadaake anashangaa pamoja na kakaake akija nashida namsaidia mwezi wa tano alifiwa na babaake nikampa zaidi ya laki mbili kwenda kwao mwanza pamoja na kakaake.
Nashida ndogo za elfu 20,30,40,50,60,70 kibao hata hazihesabiki maana from 2013 adi sasa nikitambo kdogo sasa wakuu naombeni ushauri niachane nae nitafute mwingine au nijilazimishe kuwa nae japo yeye inaonesha kapata mwingine.. plz jamani nina areji na MATUSI ukiona sio ignore it.. samahani japo kwa ufupi maana ni historia ndefu