Jamani wanaume wana upendo sana kwa wanawake!

Thanks alot Smart911 love sijui hata nisemeje yani unanipa amani kiasi kwamba dahhhhhhhhhhhhhh..........


I feel blessed having you Smart911 in my hands

I love you forever and ever swirly

Bakinamimi bebiii
Hapa najifunza kitu,naona mambo mubashara
mahondaw wangu... Hapo kuna mapenzi na tamaa...

Kuwa na mmoja na kubaki nae huyo huyo kati ya hao 100 ni upendo...

Kuwa na mmoja na ukaendelea kutamani waliyobaki kati ya hao 100 ni tamaa, wala siyo upendo...


Smart911 love mahondaw sana... Haoni, hasikii anyone apart from my lady mahondaw...
 
Back
Top Bottom