Think Hard
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 318
- 303
Yani Mwanaume jinsi alivyo na upendo kwa wanawake...!!! Hivi unajua mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 100 achague mmoja kati yao!! Hata akichagua mzuri kupita wote bado roho itamuuma sana kuwaacha wale 99 waliobaki!!!??
Jamani acha tu Mungu awabariki sana wanaume kwa upendo wa aina hii waliyonayo!!! Na ninyi wanawake jaribuni hata basi kuiga hata angalau robo tu....!!
Jamani acha tu Mungu awabariki sana wanaume kwa upendo wa aina hii waliyonayo!!! Na ninyi wanawake jaribuni hata basi kuiga hata angalau robo tu....!!