Jamani Wanaume ninao ujumbe wetu hapa

Simu haina charge nikifika kama kuna umeme nitakupigia (umeliwa)

Naenda kumsalimia Shangazi sema kwake hakuna umeme (umeliwa)

Leo nawahi kulala kesho jumuia (umeliwa)

Unatumiwa good night saa moja usiku(umeliwa)

Jana nilipitiwa na usingizi simu ilikua silent (Umeliwa)
Nilichogundua mapenzi na izo drama ni upotezaji wa mda,mapenzi ni kama utajiri na umasikini sio jambo la kila mtu ukijua haupo uko tafuna hizo mbususu na usepe tu hizo drama ni kwa watu wenye matatizo ya akili refer MAPENZI NI UGONJWA WA AKILI!!!
 
Simu haina charge nikifika kama kuna umeme nitakupigia (umeliwa)

Naenda kumsalimia Shangazi sema kwake hakuna umeme (umeliwa)

Leo nawahi kulala kesho jumuia (umeliwa)

Unatumiwa good night saa moja usiku(umeliwa)

Jana nilipitiwa na usingizi simu ilikua silent (Umeliwa)
Asante kwa kututonya.
 
Yana umri wake hayo, ukishakufikisha zaidi ya 45, 47, 48.............50 na kiendelea wala hata huna muda nayo hayo, ni mwendo wa kupasua kichwa miradi yako uikazanie namna gani ili izidi kunenepa kwa faida hasa ya wale uliowaleta duniani
 
Yana umri wake hayo, ukishakufikisha zaidi ya 45, 47, 48.............50 na kiendelea wala hata huna muda nayo hayo, ni mwendo wa kupasua kichwa miradi yako uikazanie namna gani ili izidi kunenepa kwa faida hasa ya wale uliowaleta duniani
Basi uzi ufungwe tu sasa. Eti mtu ameenda kugawa mbususu yake huko kwa maamuzi yake mwenyewe kabisa wewe huku unahangaika; why? Hata kama ungemfungia ndani na funguo ukaondoka nazo kama ni wa kuchapwa nje atachapwa tu. Ukishavuka 40 tu huko unaanza kuona mambo haya kuwa ni utopolo tu na hayakupotezei muda tena....

#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#Kuchapiwanisiriyandani
 
Basi uzi ufungwe tu sasa. Eti mtu ameenda kugawa mbususu yake huko kwa maamuzi yake mwenyewe kabisa wewe huku unahangaika; why? Hata kama ungemfungia ndani na funguo ukaondoka nazo kama ni wa kuchapwa nje atachapwa tu. Ukishavuka 40 tu huko unaanza kuona mambo haya kuwa ni utopolo tu na hayakupotezei muda tena....

#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#Kuchapiwanisiriyandani
Exactly!!

Ujanani kunakuwa na ujinga mwingi ambao ukikumbuka kwenye utu uzima unajiona ilikuwa ni ufala tu
 
Back
Top Bottom