mr mkwawa
Senior Member
- Jul 29, 2018
- 141
- 283
Simu haina charge nikifika kama kuna umeme nitakupigia (umeliwa)
Naenda kumsalimia Shangazi sema kwake hakuna umeme (umeliwa)
Leo nawahi kulala kesho jumuia (umeliwa)
Unatumiwa good night saa moja usiku umeliwa)
Jana nilipitiwa na usingizi simu ilikua silent (Umeliwa)
Naenda kumsalimia Shangazi sema kwake hakuna umeme (umeliwa)
Leo nawahi kulala kesho jumuia (umeliwa)
Unatumiwa good night saa moja usiku umeliwa)
Jana nilipitiwa na usingizi simu ilikua silent (Umeliwa)