Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Nina rafiki yangu tunafanya naye kazi;hivi karibu amebahatika kupata mtoto na mke wake wa ndoa lakini kwa kuwa wapo tu wawili na house girl ikabidi washauriane kuwa kwa kipindi chote cha siku arobaini aende kwao mpaka hapo atakapo malizi hiyo arobaini.
Kwa kipindi chote hicho amekuwa akienda kumwona mtoto na mama yake huku akimchukua kumpeleka hospital kwa ajili ya kumaattend kwa kuwa alijifungua kwa operation.
Kilichomshangaza na kinachomuuma huya ndugu ni kwamba baada ya arobain kuisha na yeye kuwa amesharicover kidonda chake alimwambia kuwa inabidi arudi nyumbani ili mtoto apazowe kabla ya kuanza kazi (maternity leave).Cha kushangaza jama alijibiwa kuwa walikubaliana na mama yake kuwa akae tena wiki nzima ndo aende.
baada ya jama kuambiwa hivyo ikabidi amuulize swali nani unatakiwa kukubaliana naye juu ya uamuzi wa kuendelea kukaa huko mimi mumeo au mama yako?Mwanamke hakujibu.
Siku mbili baada ya arobaini huku hako kamgogoro baridi kakiendelea kutotatuliwa jama alifanya tu surprize ya kwenda kumwona mtoto kama kawaida cha ajabu hakumkuta mkewe pale nyumbani na mtoto kamuachia housegirl wa mama yake na alipouliza alijibiwa kuwa amekwenda sokoni ambao pana umbali kama km 50 hivi.jama alipojaribu kumpigia simu simu yake ikawa haipatikani.
Muda wa saa kumi hivi akapiga simu ikawa inaita jama akamuuliza ukuwa wapi muda wote huo jama akajibiwa kuwa alienda sokono kutafuta nguo za mtoto na zake.Hapo ndo mgogoro ukawa umewaka.jama akamuuliza kwa nini ulikuwa umezima simu?na kwanini hukuniambia kuwa unasafari ya kwenda huko?jama hakupata jibu.
Mpaka hivi ninavyoongea mwanamke huyo anasema yeye haoni kama alifanya kosa na haombi msamaha.
Wakuu naomba msaada huyu jamaa amefikia sehemu japo ni mapema mno kuanza kuwa na wasiwasi na uhalali wa yeye kuitwa baba wa mtoto huyo kwani anaona hapewi heshima kama baba na mume wa mtu.
Cha ajabu kikubwa jama akamuuliza kama huoni umefanya kosa ulipomshikisha mam yako juu ya hili alikwambia kuwa siyo kosa,mke akamjibu kuwa alikaa kimya hakujibu kitu.
Hivi hapo jamaa yupo right kwa kureact hivyo au???
Au alichokifanya mkewe ni sawa?
jamani mpeni ushauri huyu ndugu maake mhhhhhhh kumbe hata wanawake nao tumooo!!!!!!!
Kwa kipindi chote hicho amekuwa akienda kumwona mtoto na mama yake huku akimchukua kumpeleka hospital kwa ajili ya kumaattend kwa kuwa alijifungua kwa operation.
Kilichomshangaza na kinachomuuma huya ndugu ni kwamba baada ya arobain kuisha na yeye kuwa amesharicover kidonda chake alimwambia kuwa inabidi arudi nyumbani ili mtoto apazowe kabla ya kuanza kazi (maternity leave).Cha kushangaza jama alijibiwa kuwa walikubaliana na mama yake kuwa akae tena wiki nzima ndo aende.
baada ya jama kuambiwa hivyo ikabidi amuulize swali nani unatakiwa kukubaliana naye juu ya uamuzi wa kuendelea kukaa huko mimi mumeo au mama yako?Mwanamke hakujibu.
Siku mbili baada ya arobaini huku hako kamgogoro baridi kakiendelea kutotatuliwa jama alifanya tu surprize ya kwenda kumwona mtoto kama kawaida cha ajabu hakumkuta mkewe pale nyumbani na mtoto kamuachia housegirl wa mama yake na alipouliza alijibiwa kuwa amekwenda sokoni ambao pana umbali kama km 50 hivi.jama alipojaribu kumpigia simu simu yake ikawa haipatikani.
Muda wa saa kumi hivi akapiga simu ikawa inaita jama akamuuliza ukuwa wapi muda wote huo jama akajibiwa kuwa alienda sokono kutafuta nguo za mtoto na zake.Hapo ndo mgogoro ukawa umewaka.jama akamuuliza kwa nini ulikuwa umezima simu?na kwanini hukuniambia kuwa unasafari ya kwenda huko?jama hakupata jibu.
Mpaka hivi ninavyoongea mwanamke huyo anasema yeye haoni kama alifanya kosa na haombi msamaha.
Wakuu naomba msaada huyu jamaa amefikia sehemu japo ni mapema mno kuanza kuwa na wasiwasi na uhalali wa yeye kuitwa baba wa mtoto huyo kwani anaona hapewi heshima kama baba na mume wa mtu.
Cha ajabu kikubwa jama akamuuliza kama huoni umefanya kosa ulipomshikisha mam yako juu ya hili alikwambia kuwa siyo kosa,mke akamjibu kuwa alikaa kimya hakujibu kitu.
Hivi hapo jamaa yupo right kwa kureact hivyo au???
Au alichokifanya mkewe ni sawa?
jamani mpeni ushauri huyu ndugu maake mhhhhhhh kumbe hata wanawake nao tumooo!!!!!!!