mkomatembo
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 1,477
- 816
Nilikuwa naangalia BBC, wikiLeaks Director "Julian Assange" alikuwa akieleza HUKU AKILIA , jinsi wamarekani walivo polute MTO " RIVER" ambao unatumiwa ku destibute maji eneo moja kule Iraq wali polute kwa sumu mto ule na watu wakanywa , kilichotokea hiroshima ndio kinachotokea huko! watoto wanazaliwa vilema dah! siwezi kuendelea nataka kulia!