Jamani WanaJF! Hili la CHANDARUA kukaa miaka 5 bila ya kuwekwa dawa

mkuu hapa umenena...najua wavivu wengi wa kufikiri hawatataka hata kusoma hii post yako na wao kuanza ku support maujinga tu bila sababu..kama ishu ya kuharibiwa ikulu au mambo mengine yoyote mabaya kuna njia nyingi sana zingeweza kutumika za siri kutumaliza ambazo ndio kimbilio kubwa sana kwa wabongo...mfano mitumba...maana kama wanaweza kuweka dawa ndani ya nyuzi kabisa kisha nyuzi zitumike kwa chandarua watashindwa vipi kutengeneza nguo kabisa zenye dawa ya kufanya hayo..na unajua wabogo wanavyopenda vya ulaya ulaya...halafu ni kweli hata kama wanataka kuja kutawala tena africa ili iweje...mbona kila wanachotaka saiz wanachukua tena mchana kweupeee.!?? kama ni kuja kuishi tu mbona wapo wengi wanaishi tena raha mstarehe bila kutumia taratibu zozote za nchi...!?? yaani tufunguke kwa kweli..

Unajua wabongo wengi wanaongea sana lakini ukiwaomba kudhibitisha hayo wanayosema, kila mtu anatoka na lake. Ni wepesi kushupalia mambo ambayo hawana udhibitisho wake. Utasikia tu 'Nimesikia wa watu wakisema hivi' Leo hii ukiwauliza nani kasema, utakuta ni mlolongo mrefu ambao hauna mwisho.

Kwa mfano issue hii haieleweki hata imeanzia wapi, ila wote tunaona hapa kuna watu wanapinga tena kwa hoja nyepesi kabisa.

But all-in-all tuko pamoja mkuu. Big up.
 
Asante mkuu na majibu yako.Nadhani unaielewa vizuri hiyo dawa ya DDT.Kwenye hayo maswali uliyoniuliza cpingani sana na ww kwenye yale maelezo yako ya mwanzo.Tatizo liko hapo kwenye DDT...Hivi ukilinganisha wa2 wanaokufa na maralia kila cku na endapo utapulizia hiyo DDT,wapi wanakufa wengi?

Naielewa vizuri tu hiyo dawa na ndio maana nimeitolea mfano kwa kuwa watu wengi pia wanaifahamu.
Ndugu yangu naogopa kuzungumzia sana insecticides kwa kuwa sio hoja ya msingi tunayozungumzia hapa.
Tatizo ninaloona hapa, wewe unakwepa kujibu hoja zangu na badala yake unataka kuhamisha kutoka kwenye mada.

1. Tuambie njia mbadala ya kutumia ili tusiathirike na hii dawa ya kizungu inayotiwa kwenye net.
2. Tudhibitishie usalama wa bidhaa zingine zinazotoka ulaya ambazo tunazitumia kila uchao.

Kama utashindwa hili, am off.
 
From scientific point of view inawezekana sana. Tatizo langu mi nilipata hicho chandarua lakini ndani ya week kulikuwa na ushirikiano mzuri tu kati ya mbu na chandarua mbu wanaingia na kutoka kama kawa sasa sijui ni uchakachuaji au hakina uwezo sijui but my experience hiyo ndogo inanitia mashaka kama those nets real stand for what they are claimed to be able to deal with. I stand to be corrected
 
From scientific point of view inawezekana sana. Tatizo langu mi nilipata hicho chandarua lakini ndani ya week kulikuwa na ushirikiano mzuri tu kati ya mbu na chandarua mbu wanaingia na kutoka kama kawa sasa sijui ni uchakachuaji au hakina uwezo sijui but my experience hiyo ndogo inanitia mashaka kama those nets real stand for what they are claimed to be able to deal with. I stand to be corrected

Mkuu umeeleweka vizuri tu. Ila hoja hapa sio ubora bali ni juu ya madhara ya dawa iliyowekwa kwenye vyandarua hivi. What is your stand?
 
TENA UKITUMIA CHANDARUA MUDA MREFU, MZEE , AU JOGOO ANASHINDWA KUWIKA. Taarifa hizo mnazo wa JF?
 
Tena nawasihi kama unaweza kuishi bila chandarua, fanya hivyo, hivi mzungu alivyo na uchu wa kuchuma afrika, anaona uchungu gani wa kuwaletea chandarua ili msidhurike na mbu???

Bi binafsi nadhani kuna madhara, na pia najua lazima watufanyizie tuwe mazezeta ili waje wachume uranium yetu bila jasho, si mmeona amekuja kuweka mambo sawa na kuna tetesi kuwa tayari malori yamesha anza kubeba na kupeleka marekani!!
 
Tena nawasihi kama unaweza kuishi bila chandarua, fanya hivyo, hivi mzungu alivyo na uchu wa kuchuma afrika, anaona uchungu gani wa kuwaletea chandarua ili msidhurike na mbu????
Bi binafsi nadhani kuna madhara, na pia najua lazima watufanyizie tuwe mazezeta ili waje wachume uranium yetu bila jasho, si mmeona amekuja kuweka mambo sawa na kuna tetesi kuwa tayari malori yamesha anza kubeba na kupeleka marekani!!

Muwe mazezeta mara ngapi?!
 
Kifizikia Dawa yoyote hata kama imewekwa kwa kiwango sahihi cha matumizi lazima iwe na kiwango fulani cha Madhara yani "half life" kwa binadamu, kwa maana hiyo, dawa ya chandarua inamadhara kwa kiwango flani, kama inauwezo wa kukaa kwa muda wa miaka mitano na kwa kukitumia kwa muda wote huo kuna kiasi cha muda wa maisha yako kupungua.

Mfano, kama life spani yako ilikuwa ni miaka 55 basi uwezekano wa kuishi miaka 51 ni mkubwa na miaka 4 ya kuishi unaweza kuipoteza kwa kutumia dawa hiyo iliyowekwa kwenye chandarua. Madhara haya yapo kwenye mzunguko wa maisha yetu ya kila siku si tu kwenye Vyandarua.
 
Kifizikia Dawa yoyote hata kama imewekwa kwa kiwango sahihi cha matumizi lazima iwe na kiwango fulani cha Madhara yani "half life" kwa binadamu, kwa maana hiyo, dawa ya chandarua inamadhara kwa kiwango flani, kama inauwezo wa kukaa kwa muda wa miaka mitano na kwa kukitumia kwa muda wote huo kuna kiasi cha muda wa maisha yako kupungua. mfano, kama life spani yako ilikuwa ni miaka 55 basi uwezekano wa kuishi miaka 51 ni mkubwa na miaka 4 ya kuishi unaweza kuipoteza kwa kutumia dawa hiyo iliyowekwa kwenye chandarua. Madhara haya yapo kwenye mzunguko wa maisha yetu ya kila siku si tu kwenye Vyandarua.

Mkuu katika red hapo, jaribu kulinganisha na hii: Biological half-life - Wikipedia, the free encyclopedia Its a matter of drug concentration, si lazima pawepo na madhara.

Nijuavyo mimi kila kitu kina madhara kama kitatumika kinyume na ilivyokusudiwa, the point is: Je, madhara unayosema ni yapi? Ni hayo ya kupunguza kuishi kwa miaka 4 - na utuambie wewe umesoma wapi article inayothibitisha kuwa dawa hii ya chandarua inapunguza kuishi miaka kwa 4. Mbona hii nayo mpya tena! Tumetoka kupungua nguvu za kiume, tukapata matundu makubbwa mbu wanapita na sasa inapunguza kuishi kwa miaka 4. Ama kweli kazi ipo!

Kimsingi sikatai, dawa yoyote yenye kuuwa kiumbe hai inaweza kuwa na madhara kwa viumbe wengine pia.Lakini ili ilete madhara kwa viumbe wengine kuna pharmacological factor nyingi tunaangalia, sio tu kuamka asubuhi unajisemea lolote. Swali: Je umetumia vigezo gani mpaka ukaja na fingings hizo.
 
Naielewa vizuri tu hiyo dawa na ndio maana nimeitolea mfano kwa kuwa watu wengi pia wanaifahamu.
Ndugu yangu naogopa kuzungumzia sana insecticides kwa kuwa sio hoja ya msingi tunayozungumzia hapa.
Tatizo ninaloona hapa, wewe unakwepa kujibu hoja zangu na badala yake unataka kuhamisha kutoka kwenye mada.

1. Tuambie njia mbadala ya kutumia ili tusiathirike na hii dawa ya kizungu inayotiwa kwenye net.
2. Tudhibitishie usalama wa bidhaa zingine zinazotoka ulaya ambazo tunazitumia kila uchao.

Kama utashindwa hili, am off.

Njia mbadala ni kupulizia hy DDT.Niliwahi kuongea na baadhi ya wataalam(doctors) wakaniambia kuwa hii dawa inaweza saidia sana kupunguza hivyo vifo vya wa2 wanaokufa kwa malaria,na pia aliyekuwa waziri wa afya David Mwakyusa naye alishawahi kuishauri serikali i2mie njia hii lkn ikachomoa.
 
Mkuu katika red hapo, jaribu kulinganisha na hii: Biological half-life - Wikipedia, the free encyclopedia Its a matter of drug concentration, si lazima pawepo na madhara.

Nijuavyo mimi kila kitu kina madhara kama kitatumika kinyume na ilivyokusudiwa, the point is: Je, madhara unayosema ni yapi? Ni hayo ya kupunguza kuishi kwa miaka 4 - na utuambie wewe umesoma wapi article inayothibitisha kuwa dawa hii ya chandarua inapunguza kuishi miaka kwa 4. Mbona hii nayo mpya tena! Tumetoka kupungua nguvu za kiume, tukapata matundu makubbwa mbu wanapita na sasa inapunguza kuishi kwa miaka 4. Ama kweli kazi ipo!

Kimsingi sikatai, dawa yoyote yenye kuuwa kiumbe hai inaweza kuwa na madhara kwa viumbe wengine pia.Lakini ili ilete madhara kwa viumbe wengine kuna pharmacological factor nyingi tunaangalia, sio tu kuamka asubuhi unajisemea lolote. Swali: Je umetumia vigezo gani mpaka ukaja na fingings hizo.

Nakuomba usome maelezo yangu vizuri, sijasema dawa kwenye chandarua inapunguza maisha ya binadamu kwa miaka 4, bali ni mfano mojawapo kwa madawa tunayotumia katika matumizi yetu ya kila siku ya kibinadamu ili kujilinda na maambukizi mbalimbali. Pili nimesema kila madawa tunayotumia kwa kiwango chochote kina madhara kwa binadamu na kupelekea uwezo na uhimili wa mwili wa binadamu kupungua. Na mwisho si mpaka kiwango cha madawa utakachotumia visivyo utapata tatizo, hata ukitumia sahihi kunakiwango cha madhara unakipata.
 
Kifizikia Dawa yoyote hata kama imewekwa kwa kiwango sahihi cha matumizi lazima iwe na kiwango fulani cha Madhara yani "half life" kwa binadamu, kwa maana hiyo, dawa ya chandarua inamadhara kwa kiwango flani, kama inauwezo wa kukaa kwa muda wa miaka mitano na kwa kukitumia kwa muda wote huo kuna kiasi cha muda wa maisha yako kupungua.

Mfano, kama life spani yako ilikuwa ni miaka 55 basi uwezekano wa kuishi miaka 51 ni mkubwa na miaka 4 ya kuishi unaweza kuipoteza kwa kutumia dawa hiyo iliyowekwa kwenye chandarua. Madhara haya yapo kwenye mzunguko wa maisha yetu ya kila siku si tu kwenye Vyandarua.

I'm very sorry kwa kushindwa kuelewa logic yako hapo mtalamu.
 
mi nakupeni miaka 10 ijayo mtaona matokea yake

Miaka 10 mingi hivyo ndg yangu! Ni kwmb kuanzia sasa wewe sikilizia tu watu watakavyoanza kuuguaga hovyo bila ya kuponaga,utaanza kusikia naumwa Kichwa,mgongo,macho mpaka kau na mauti inatukuta hivi hivi karibu Africa nzima na nafikiri itaanza na karibu Nchi zote zilizo chini ya Jangwa la Sahara! Ngoja na tutasikia na hata kuona twendweni mbele kiduchu tu! Hawa wakina Bush,Clinton,Mkapa & Jk na yule aliyeyawaita raia wake mende yule aliyetangulia mbele ya haki ni sumu kwa Waafrika
 
Miaka 10 mingi hivyo ndg yangu! Ni kwmb kuanzia sasa wewe sikilizia tu watu watakavyoanza kuuguaga hovyo bila ya kuponaga,utaanza kusikia naumwa Kichwa,mgogo,macho mpaka kau na mauti inatukuta hivi hivi karibu Africa nzima na nafikiri itaanza na karibu Nchi zote zilizo chini ya Jangwa la Sahara! Ngoja na tutasikia na hata kuona twendweni mbele kiduchu tu! Hawa wakina Bush,Clinton,Mkapa & Jk na yule aliyeyawaita raia wake mende yule aliyetangulia mbele ya haki ni sumu kwa Waafrika


Hivi kumbe mada hii haijaisha?
 
kwanza dawa yenyewe haifanyi kazi daily nakuta mbu wazima wapo ndani ya chandarua na hakina hata mwaka tangu serikali wagawe

mkuu umenichekesha!samahani lakini,ukweli ni kwamba mbu anapogusa chandaru hatokufa pale pale ila muda wake wa kuishi utapungua kwa kiasi kikubwa.ni bahati mbaya yale matangazo yamekaa kishabiki zaidi na kuna muda yanapotosha ukweli wa mambo.
 
Wanpunguza watu katika bara la afrika!wewe jiulize miaka5 unadawa unalala humu unavuta hewa je wewe kwa kipindi hicho utakuwa umeathirika vipi??pili jiulize water guard kifuniko kimoja kwa galoni 10 za lita 20 watu wakaona inakuwaje??wakajaribu kufulia nguo kama Jik dah majibu waliyoyakuta wakakuta jik original ndo feki maana water guard inangalisha mpaka basi hata kuwepo na Doa sugu kwa waterguard lazima litoke!!Sasa jiulize ukinywa wewe utakuwa mgeni wa nani??mimi nilipiga marufuku kwangu mimi nikuziba njia za mbu na kuchemsha maji basi!!
Asili ya marekani ni hawa "Red Indians" ..sasa soma kisa cha chini hapo


[h=1]How Red Indians disappeared in America ? ( I need very serious ansers please)?[/h]
  • 5 years ago
by xxxxxMember since:May 09, 2006Total points:21,438 (Level 6)
[h=2]Best Answer - Chosen by Asker[/h]There are several reasons that the native Americans are not as prevalent as they used to be:

1. 470 something treaties that our government made with the tribes and broke.

2. Disease infected blankets were intentionally traded to the native Americans to kill them off.

3. When we traded arms to the native Americans, we only gave them guns with no rifling in the barrels making the weapons very inaccurate.

4. We forced marched the tribes across the country along what is now called the trail of tears in which almost every elderly and most youth did not survive.

5. When a few of the tribes finally got fed up with this treatment and started fighting back we slaughtered them.

This was every bit as much of an act of genocide as Nazi Germany committed. We just committed the genocide, slowly over a long period of time.


Sasa hivi vyandarua tutapona kweli? kweli mtu ambae ana weza kufikiri kwa kina, chandura kinakaa kwa miaka mitano hakitiwi dawa na mbu akigusa tu anakufa je yule anaelalia inakuwa vipi pale,

Juzi nimesoma kwenye gazeti wa asia wa Mwanza wanagoma kupeleka watoto wao kwenye chanjo ya polio! serikali imesema itawatia ndani ! tunashangaa sana enzi zetu sisi chanjo ukimaliza basi lakini leo kila wakati chanjo mtu unajiuliza ni chanjo au ?? tumeshuhudia jinsi watoto wa Libya ambao hawna hatia yeyote wakidungwa sindano za kuambukizwa virusi jamani tuwe makini na hii misaada ! Mungu ibariki Tanzania Mungu vibariki vizazi vetu Amin.




 
Back
Top Bottom