tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 494
Baada ya kimya changu cha muda mrefu leo imenibidi nitinge tena katika jukwaa la wadau wenzangu,hii imenijia baada ya kushitushwa na taarifa moja iliotolewa leo na chombo kimoja cha habari hapa nchi,nilichoripoti kuhusu shule moja ya msingi uko wilaya ya Nachingwea kupitia walimu wake kuwatoza kwa lazima wanafunzi wake tsh 100 kama tozo la usahishaji wa madaftari.
Hii imetushitusha tulio wengi na kusema kwamba aikubaliki,Ndio tunajua walimu mazingira yenu magumu kikazi pamoja na mishahara ila vyanzo vingine mnavyoviibua avikubaliki kabisa ,unawatoza watoto pesa kama ada ya usahishaji heti wa madaftari? Kweeeli walimu jamani?? Nawaomba mbuni vyanzo vingine walimu ,na inasemekana tendo hili linasambaa kwa kasi katika shule nyingi tu
Hii imetushitusha tulio wengi na kusema kwamba aikubaliki,Ndio tunajua walimu mazingira yenu magumu kikazi pamoja na mishahara ila vyanzo vingine mnavyoviibua avikubaliki kabisa ,unawatoza watoto pesa kama ada ya usahishaji heti wa madaftari? Kweeeli walimu jamani?? Nawaomba mbuni vyanzo vingine walimu ,na inasemekana tendo hili linasambaa kwa kasi katika shule nyingi tu