Jamani walimu kwa hili hapana

tamimusalim

JF-Expert Member
Jun 17, 2014
1,822
494
Baada ya kimya changu cha muda mrefu leo imenibidi nitinge tena katika jukwaa la wadau wenzangu,hii imenijia baada ya kushitushwa na taarifa moja iliotolewa leo na chombo kimoja cha habari hapa nchi,nilichoripoti kuhusu shule moja ya msingi uko wilaya ya Nachingwea kupitia walimu wake kuwatoza kwa lazima wanafunzi wake tsh 100 kama tozo la usahishaji wa madaftari.

Hii imetushitusha tulio wengi na kusema kwamba aikubaliki,Ndio tunajua walimu mazingira yenu magumu kikazi pamoja na mishahara ila vyanzo vingine mnavyoviibua avikubaliki kabisa ,unawatoza watoto pesa kama ada ya usahishaji heti wa madaftari? Kweeeli walimu jamani?? Nawaomba mbuni vyanzo vingine walimu ,na inasemekana tendo hili linasambaa kwa kasi katika shule nyingi tu
 
Kwani walimu mbona wanatozwa hela za maabara na husemi! Acha walimu wapige deal zao, serikali imewatelekeza nao wanajitafutia kipato. Safi sana teachers songa mbele
 
Baada ya kimya changu cha muda mrefu leo imenibidi nitinge tena katika jukwaa la wadau wenzangu,hii imenijia baada ya kushitushwa na taarifa moja iliotolewa leo na chombo kimoja cha habari hapa nchi,nilichoripoti kuhusu shule moja ya msingi uko wilaya ya Nachingwea kupitia walimu wake kuwatoza kwa lazima wanafunzi wake tsh 100 kama tozo la usahishaji wa madaftari.

Hii imetushitusha tulio wengi na kusema kwamba aikubaliki,Ndio tunajua walimu mazingira yenu magumu kikazi pamoja na mishahara ila vyanzo vingine mnavyoviibua avikubaliki kabisa ,unawatoza watoto pesa kama ada ya usahishaji heti wa madaftari? Kweeeli walimu jamani?? Nawaomba mbuni vyanzo vingine walimu ,na inasemekana tendo hili linasambaa kwa kasi katika shule nyingi tu

Hivi unajua kama pesa ya ESCROW wangepewa watanzania kila mmoja angepata zaidi ya 7m.
Sasa ujue hao walimu 7m zao zimeliwa na bado elfu10 za maabara.
 
tuanze na escrow tuacheni walimu no posho no nini
walimu ndo mnawaonea
 
Acheni kuzusha vitu amba havipo na haviwezekani. Kwanza habari yenyewe haina chanzo na imetungwa. Tangu umesoma wewe uliwahi sikia au kuona kitu hicho?. It's impracticable.
Kwa upande mwingine, hivi unavyotoswa ada ya kumwona daktari ni sawa?. Kwani daktari hana mshahara?. Na pale ubungo ile 200/= ya nini wakati unakwenda kulipa nauli na huku wenye mabasi walishalipia parking jiji?. Ukiweza kuyaona hayo usingeuliza la mwl. na sh.100.
 
Mbona kiasi kidogo sana jamani,

acheni kulalamika na isitoshe ukiwa chuoni unafundishwa kuwa mbunifu kwa kila kitu.
 
Kwani walimu mbona wanatozwa hela za maabara na husemi! Acha walimu wapige deal zao, serikali imewatelekeza nao wanajitafutia kipato. Safi sana teachers songa mbele
Absolutely correct mkuu mpe ukweli huyo mbulula anayeona sh 100 ni nyingi kuliko bil 306 za Tegeta Escrow
 
Baada ya kimya changu cha muda mrefu leo imenibidi nitinge tena katika jukwaa la wadau wenzangu,hii imenijia baada ya kushitushwa na taarifa moja iliotolewa leo na chombo kimoja cha habari hapa nchi,nilichoripoti kuhusu shule moja ya msingi uko wilaya ya Nachingwea kupitia walimu wake kuwatoza kwa lazima wanafunzi wake tsh 100 kama tozo la usahishaji wa madaftari.

Hii imetushitusha tulio wengi na kusema kwamba aikubaliki,Ndio tunajua walimu mazingira yenu magumu kikazi pamoja na mishahara ila vyanzo vingine mnavyoviibua avikubaliki kabisa ,unawatoza watoto pesa kama ada ya usahishaji heti wa madaftari? Kweeeli walimu jamani?? Nawaomba mbuni vyanzo vingine walimu ,na inasemekana tendo hili linasambaa kwa kasi katika shule nyingi tu

Jaribu kuwa makini.
 
Baada ya kimya changu cha muda mrefu leo imenibidi nitinge tena katika jukwaa la wadau wenzangu,hii imenijia baada ya kushitushwa na taarifa moja iliotolewa leo na chombo kimoja cha habari hapa nchi,nilichoripoti kuhusu shule moja ya msingi uko wilaya ya Nachingwea kupitia walimu wake kuwatoza kwa lazima wanafunzi wake tsh 100 kama tozo la usahishaji wa madaftari.

Hii imetushitusha tulio wengi na kusema kwamba aikubaliki,Ndio tunajua walimu mazingira yenu magumu kikazi pamoja na mishahara ila vyanzo vingine mnavyoviibua avikubaliki kabisa ,unawatoza watoto pesa kama ada ya usahishaji heti wa madaftari? Kweeeli walimu jamani?? Nawaomba mbuni vyanzo vingine walimu ,na inasemekana tendo hili linasambaa kwa kasi katika shule nyingi tu

Hakiwezi kutokea kitu kam hicho. Mimi ni mwalimu na ninapinga kwa nguvu zote hakuna mwalimu wa kufanya hivyo. Kama yupo toa uthibitisho na niko tayari kushirikiana nawewe kumwajibisha kupitia cwt. Siku zote walimu ni wavumilivu wanyonge na waoga kufanya upuuzi kama huo. Hata inapofikia wakataka kupata chochote toka kwa wazazi hutumia njia halali kama vile kuorganize mafunzo ya ziada wakati wa likizo n.k.
 
Hivi unajua kama pesa ya ESCROW wangepewa watanzania kila mmoja angepata zaidi ya 7m.
Sasa ujue hao walimu 7m zao zimeliwa na bado elfu10 za maabara.

7m unamaanisha millioni 7 kwa kila mtanzania au ndo kweli wewe saa mbovu?
 
Hakiwezi kutokea kitu kam hicho. Mimi ni mwalimu na ninapinga kwa nguvu zote hakuna mwalimu wa kufanya hivyo. Kama yupo toa uthibitisho na niko tayari kushirikiana nawewe kumwajibisha kupitia cwt. Siku zote walimu ni wavumilivu wanyonge na waoga kufanya upuuzi kama huo. Hata inapofikia wakataka kupata chochote toka kwa wazazi hutumia njia halali kama vile kuorganize mafunzo ya ziada wakati wa likizo n.k.

Uvumilivu, unyonge na uoga ndio unaosababisha misery katika maisha na mazingira ya ufunzaji...hilo linalosemekana sina uhakika nalo ila naongelea huu unyonge wa walimu usio na tija kulinganisha na taaluma yenyewe ilivyo, ni muda wa kusimama na kuacha huo uoga ili kuleta maendeleo ya walimu binafsi na taifa kwa ujumla
 
Nchi hii kila mtu anakula kulingana na urefu wa kamba yake, acha wapige hela
 
Huyo mleta uzi ni mzushi tena mchonganishi kwani hana ushahidi na jambo hilo. Kama anao kwanini asiuwakilishe kwa mamlaka inayohusika na walimu? Kama ana bifu na walimu awe wazi tu kuliko ku-generalize mambo kirahisi hivi. Asituvurugie walimu wetu wenye nishani iliyotukuka ya uvumilivu wafanye kazi ya kutuelimishia wanetu japo wameongezewa ka-division 5.
Nina wasiwasi kama ana mtoto anayesoma vinginevyo asingeweka huu ujinga hapa.
 
Baada ya kimya changu cha muda mrefu leo imenibidi nitinge tena katika jukwaa la wadau wenzangu,hii imenijia baada ya kushitushwa na taarifa moja iliotolewa leo na chombo kimoja cha habari hapa nchi,nilichoripoti kuhusu shule moja ya msingi uko wilaya ya Nachingwea kupitia walimu wake kuwatoza kwa lazima wanafunzi wake tsh 100 kama tozo la usahishaji wa madaftari.

Hii imetushitusha tulio wengi na kusema kwamba aikubaliki,Ndio tunajua walimu mazingira yenu magumu kikazi pamoja na mishahara ila vyanzo vingine mnavyoviibua avikubaliki kabisa ,unawatoza watoto pesa kama ada ya usahishaji heti wa madaftari? Kweeeli walimu jamani?? Nawaomba mbuni vyanzo vingine walimu ,na inasemekana tendo hili linasambaa kwa kasi katika shule nyingi tu

Hao walimu wana akili sana.Hiyo ni teaching allowance
 
kazi kweli kweli, kili mtu anakula pale mkono wake ulipofikia, waacheni walimu wachukue hizo 1000 ili wasahishe bila stress.
 
Back
Top Bottom