Jamani Wadada mbona mnanitesa hivi? Nimewakosea nini?

kobitree

Member
Oct 7, 2018
6
2
Kwa mara nyingine nakuja mbele zenu wadada nikiwa na ombi lile lile: Natafuta mwezi wa maisha. Sifa zake
- Awe mrembo / mzuri sana. Hapo sina-compromise aisee. Kama sio mzuri pita mbali.
- Rangi mweupe au maji ya kunde.
- Umbo mwembamba
- Shule isipopungue angalau form four. Form Six au Chuo itapendeza!!!
- Sio lazima uwe na kazi, maono ya maisha yanayoeleweka yanatosha.
- Uwe tayari kupendwa, kubembelezwa na kudekezwa.
-Uwe mcha Mungu. Sitaki mpagani.
- uwe na mawazo chanya-positive. sitaki wakatisha tamaa.
- Uwe na huruma na uwapende masikini na wasiojiweza. Ninampango wa kufungua taasisi ya namna hiyo baadaye. Kama huna moyo wa hivyo tafadhali please tusisumbuane.


NB: Mwanafunzi aliyemaliza Chuo au aliyeko mwaka wa mwisho watapewa kipaumbele.

I'm serious!!!
 
Kwa mara nyingine nakuja mbele zenu wadada nikiwa na ombi lile lile: Natafuta mwezi wa maisha. Sifa zake
- Awe mrembo / mzuri sana. Hapo sina-compromise aisee. Kama sio mzuri pita mbali.
- Rangi mweupe au maji ya kunde.
- Umbo mwembamba
- Shule isipopungue angalau form four. Form Six au Chuo itapendeza!!!
- Sio lazima uwe na kazi, maono ya maisha yanayoeleweka yanatosha.
- Uwe tayari kupendwa, kubembelezwa na kudekezwa.
-Uwe mcha Mungu. Sitaki mpagani.
- uwe na mawazo chanya-positive. sitaki wakatisha tamaa.
- Uwe na huruma na uwapende masikini na wasiojiweza. Ninampango wa kufungua taasisi ya namna hiyo baadaye. Kama huna moyo wa hivyo tafadhali please tusisumbuane.


NB: Mwanafunzi aliyemaliza Chuo au aliyeko mwaka wa mwisho watapewa kipaumbele.

I'm serious!!!
Ukipunguza vigezo hawatakutesa kamwe
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom