Kuna picha kwenye magazeti ya leo ikionyesha transfoma ya umeme likiungua TBC na Wachina watatu kwenye ngazi wakijaribu kuuzima kwa fire extinguisher na maelezo 'wafanyakazi wa TBC wakijaribu kuudhibiti moto huo'.Hivi tumefikia hatua ya kuajiri Wachina kufanya kazi kama hizi ? au sasa hatuwezi tena kutumia fire extinguisher kuzima moto ?