Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
wabunge wetu hawakereki manake wanajua hawana haja ya ku deliver kwa sababu ikifika siku za uchaguzi ccm itachota pesa bot na kuhakikisha wao wanachaguliwa tena.
as long as sera za chama haziwashurutishi wabunge kuwa attentive bungeni, tusitegemee miujiza
as long as sera za chama haziwashurutishi wabunge kuwa attentive bungeni, tusitegemee miujiza