prakatatumba
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 1,328
- 190
Wandugu nimeona wizara ya afya imetoa nafasi za certificate na diploma katika course mbalimbali, mwenye taarifa yoyote kuhusu wizara ya kilimo kama wametoa au wameshatoa??????
ngoja tuwasikilizie labda watu wanakusanya datambona kimya jamani. Tunaopenda kilimo tupo wengi!
mkuuu nitupie website yaoTembelea website yao, information zitakuwepo!