Jamani vodaCom mnataka nini kwetu?

Slave

JF-Expert Member
Dec 6, 2010
5,314
2,635
Vodacom leo umenitumia ujumbe unaosema: umeshinda kiingilio bure katika droo ya samsung flat screen TV Leo na vodacom!tuma jina lako BILA GHARAMA kwenda 15015 sasa hatukutanii! vodacom mimi nimepata taabu kidogo kukuelewa ktk haya: 1 nimeshinda kiingilio!je unauhakika nilicheza mchezo wowote mpaka nishinde? 2 tuma kwenda 15015 sasa hatukutanii! Ina maana tangu nianze kutumia line yangu hii ya voda niliyo inunua kwa tsh 10,000 enzi hizo leo ndo umekuwa mkweli wakuniambia hunitanii?na je umewahi kunitania malangapi? Vodacom mbona unakosa hekima? Bado umenigeuza mimi bango la matangazo yako katika simu yangu mala ooh kazi ni kwako nk.au hujui kuwa hii hand set na sim card ni mali yangu? Vodacom punguza usanii utatumaliza.
 
Yaani hiyo sms na mimi nimeipata, hata mke wangu ananiambia na yeye ameipata, VODACOM, tuko washindi wangapi wa hiyo samsung flat screen moja?
 
Pole Mkuu! Wanafanya watakavyo! Mtumiaji wa simu na mtandao hana mjomba nchi hii, wacha watutie midole ya masaburi mpaka tuipate ki sawa yake. TCRA wao kila kitu wanataka wapelekewe malalamiko ofisini, hivi hawa wakubwa wa TCRA wanatumia mitandao gani kiasi hawazioni kero hizi jamani? Nakereka sana yani... Daah!
 
Yaani hiyo sms na mimi nimeipata, hata mke wangu ananiambia na yeye ameipata, VODACOM, tuko washindi wangapi wa hiyo samsung flat screen moja?
yaani sina ham nao kabisa inamaa inawezekana kila mtumiaji kaambiwa kama nilivyoambiwa mimi na wewe.
 
Pole Mkuu! Wanafanya watakavyo! Mtumiaji wa simu na mtandao hana mjomba nchi hii, wacha watutie midole ya masaburi mpaka tuipate ki sawa yake. TCRA wao kila kitu wanataka wapelekewe malalamiko ofisini, hivi hawa wakubwa wa TCRA wanatumia mitandao gani kiasi hawazioni kero hizi jamani? Nakereka sana yani... Daah!
wakati mwingine najiulia hata TCRA wapo hapo kwa kuhakikisha makampuni kama haya yananeemeka na sio wa tz.
 
Vodacom leo umenitumia ujumbe unaosema: umeshinda kiingilio bure katika droo ya samsung flat screen TV Leo na vodacom!tuma jina lako BILA GHARAMA kwenda 15015 sasa hatukutanii! vodacom mimi nimepata taabu kidogo kukuelewa ktk haya: 1 nimeshinda kiingilio!je unauhakika nilicheza mchezo wowote mpaka nishinde? 2 tuma kwenda 15015 sasa hatukutanii! Ina maana tangu nianze kutumia line yangu hii ya voda niliyo inunua kwa tsh 10,000 enzi hizo leo ndo umekuwa mkweli wakuniambia hunitanii?na je umewahi kunitania malangapi? Vodacom mbona unakosa hekima? Bado umenigeuza mimi bango la matangazo yako katika simu yangu mala ooh kazi ni kwako nk.au hujui kuwa hii hand set na sim card ni mali yangu? Vodacom punguza usanii utatumaliza.

Duh,mkuu hata mimi nilipata hiyo msg weekend iliyopita.Naona watu wameanza kuwashtukia na hizo kamari zao wanakuja kivingine na maneno ya ghilba.Tuendelee kuwakazia wasipate washiriki kwenye haya madudu yao wataacha tu!!
 
Duh,mkuu hata mimi nilipata hiyo msg weekend iliyopita.Naona watu wameanza kuwashtukia na hizo kamari zao wanakuja kivingine na maneno ya ghilba.Tuendelee kuwakazia wasipate washiriki kwenye haya madudu yao wataacha tu!!

ninaamini kabisa kama tutapata mtetezi tunaweza kushinda maana hii ni vita katika ya mafisadi na wananchi masikini.
eti sasa hivi hata ukimpunguzia wenzio salio unakatwa ushuru wakuhamishia hizo pesa.yaani hivi sasa nipige simu au nisipige lajini wao wanajua namna watakafanya ili tu zinitoke wao wafaidi.
 
Voda shiit japo ndo mtandao ninaotumia kwanza now days umekuwa very overload esp kwenye internet 3g ya maabara siitaki hiyo hata wewe mbeya wao fikisha hizi habari mbona mnafuatilia 2 kutufungia free access ina maana haya hamyaoni?
 
sasa jamani si free competition?? Umetumwa ubaki voda??? Kuna zantel, tigo, airtel huna haja ya kulalamika jf kama mtandao huupend hamaaaaa
 
sasa jamani si free competition?? Umetumwa ubaki voda??? Kuna zantel, tigo, airtel huna haja ya kulalamika jf kama mtandao huupend hamaaaaa
kuhama si tatizo.tatizo ni namna gani mnatuibia bila huruma.kwakuwa mnajua tanzania ni nchi masikini ndiyo maana mnaanzisha ka issue ambako mtanzania anaweza kukaona kama mkombozi kwa kujipatia tv ya bure na mwisho wa siku mnasema mchezo umeisha leo na mshindi wetu ni xxxxx kumbe huyo mshindi mwenyewe ni miongoni mwenu.
 
Vodacom leo umenitumia ujumbe unaosema: umeshinda kiingilio bure katika droo ya samsung flat screen TV Leo na vodacom!tuma jina lako BILA GHARAMA kwenda 15015 sasa hatukutanii! vodacom mimi nimepata taabu kidogo kukuelewa ktk haya: 1 nimeshinda kiingilio!je unauhakika nilicheza mchezo wowote mpaka nishinde? 2 tuma kwenda 15015 sasa hatukutanii! Ina maana tangu nianze kutumia line yangu hii ya voda niliyo inunua kwa tsh 10,000 enzi hizo leo ndo umekuwa mkweli wakuniambia hunitanii?na je umewahi kunitania malangapi? Vodacom mbona unakosa hekima? Bado umenigeuza mimi bango la matangazo yako katika simu yangu mala ooh kazi ni kwako nk.au hujui kuwa hii hand set na sim card ni mali yangu? Vodacom punguza usanii utatumaliza.
<br />
<br />

Wameanzisha hivi punde

suma-jkt kampeni ya kilimo kwanza iko hewani.kushinda trekta,pawatila na fedha tuma KILIMO kwenda 15551,ujibu maswali na uingie katika droo.piga 0222127579 kwa maelezo

From vodacom
shamba la bibi wanatafuna talatibu
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Wameanzisha hivi punde<br />
<br />
suma-jkt kampeni ya kilimo kwanza iko hewani.kushinda trekta,pawatila na fedha tuma KILIMO kwenda 15551,ujibu maswali na uingie katika droo.piga 0222127579 kwa maelezo<br />
<br />
From vodacom<br />
shamba la bibi wanatafuna talatibu
ha!ha!haa! Kazi ni kwetu kweli kama walivyo sema vodacom wenyewe kwamba KAZI NI KWAKO.twafa jamani tuoneeni huruma .sasa kumbe na huko kijijini nako wamewakumbuka wa trekta na pawatila. ? Hii sikuinyaka mkuu thanx kwa taarifa.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Wameanzisha hivi punde<br />
<br />
suma-jkt kampeni ya kilimo kwanza iko hewani.kushinda trekta,pawatila na fedha tuma KILIMO kwenda 15551,ujibu maswali na uingie katika droo.piga 0222127579 kwa maelezo<br />
<br />
From vodacom<br />
shamba la bibi wanatafuna talatibu
duh! Wapo fasta ile mbaya nami nimeipa sasa hivi.
 
Bahati nzuri mimi tangu nigunduwe Vodacom ni mali ya Rostam Aziz ilishanikinai, nilichofanya nilinunuwa line ya tigo nikaitambulisha kwa marafiki zangu mpaka hivi leo tunavyoongea line ya vodacom kwangu ni receiver tu kwa ajili ya wale marafiki ambao hatujawasiliana siku nyingi, maana hakuna mjanja yeyote ambae hana line ya tigo.

kwa mwezi nanunuwa vocha za voda kwa wastani usiozidi shilling 5000/- tu. sasa wamekuja na wizi mpya unaoitwa M pesa yaani wanataka kutudhibiti hadi kwenye mfumo wetu wa kipesa, tuwe macho na hawa Freemasson.
 
Bahati nzuri mimi tangu nigunduwe Vodacom ni mali ya Rostam Aziz ilishanikinai, nilichofanya nilinunuwa line ya tigo nikaitambulisha kwa marafiki zangu mpaka hivi leo tunavyoongea line ya vodacom kwangu ni receiver tu kwa ajili ya wale marafiki ambao hatujawasiliana siku nyingi, maana hakuna mjanja yeyote ambae hana line ya tigo.<br />
<br />
kwa mwezi nanunuwa vocha za voda kwa wastani usiozidi shilling 5000/- tu. sasa wamekuja na wizi mpya unaoitwa M pesa yaani wanataka kutudhibiti hadi kwenye mfumo wetu wa kipesa, tuwe macho na hawa Freemasson.
sijui serikali inasemaje kuhusu hili,maana hii ni kamali au rugha nzuri ni wizi.ninaamini kabisa huu umaskini uliyopo tz hii nayo inachangia.maana mtu anajikuta kapoteza pesa ktk isue isiyo na maana kama hii.
 
mimi nimeshtuliwa usiku wa manane kwa mlio wa sms nikahisi nimepata msiba kumbe voda wanataka kunipa flat screen!!!!!
TCRA= Ewura=TFDA.........
 
ninaamini kabisa kama tutapata mtetezi tunaweza kushinda maana hii ni vita katika ya mafisadi na wananchi masikini.
eti sasa hivi hata ukimpunguzia wenzio salio unakatwa ushuru wakuhamishia hizo pesa.yaani hivi sasa nipige simu au nisipige lajini wao wanajua namna watakafanya ili tu zinitoke wao wafaidi.

kaka hapo ndo namimi wanaponiboa! kama hujagundua airtel ndowaukweli kwasasa! hata internet yao iko poa!
 
Back
Top Bottom