Elections 2010 Jamani vipi kuhusu HALI YA AFYA YA MREMA?

Bob_Dash

Member
Nov 1, 2010
90
13
Sina nia ya kuchimba mtu kwa saana, lakini picha za hivi karibuni za huyi Muhishimiwa Mrema naona kama mzee kazoofu hivi ama macho yangu tu?
 
Njoo na ww tukupime kwanza kabla ya kuuliza afya ya mbunge wako. Maana nikikutizama macho yako ktk ID photo yako na hilo domo unahitaji matibabu kudadadeki wee.

Njoo tukufanyie oparation ndipo uulize afya ya bosi wako.:bowl:
 
Hujakosea na wala maccho yako hayakudanganyi kaka, mwenyewe nimekuwa nikijiuliza mara nyingi sana, sasa sijui ni uzee ama ni hali ngumu ya maisha ama ni hicho kisukali ndiyo kinamtesa ama ni nini nashindwa kupata jibu.
 
Mm nafikiri wangetueleza hali ya huyu Mzee wetu, maana naona kweli si yule mrema wa 1995/2000, maana anasikitisha, mwaka huu alinifurahisha kwenye kampeni aliposema yeye ni Jogoo na Mgombea wa CCM ni Mtetea & he proved it.
 
Mm nafikiri wangetueleza hali ya huyu Mzee wetu, maana naona kweli si yule mrema wa 1995/2000, maana anasikitisha, mwaka huu alinifurahisha kwenye kampeni aliposema yeye ni Jogoo na Mgombea wa CCM ni Mtetea & he proved it.

Kwa hiyo Ali Hassani Mwinyi naye afya yake ina shida? Maana mwinyi wa 1995 na mwinyi wa saasa ni tofauti kabisa.
72366895.jpg


Mwinyi wa 1995

1.jpg


Mwinyi wa sasa

Kama mzee Mwinyi ni mzima, basi na Mrema ni mzima. Mlitarajia kwamba afya aliyokuwa nayo 1995 ndiyo iwe ya leo? Malecela wa 1995 ndiye huyu wa leo?
 
Kwa hiyo Ali Hassani Mwinyi naye afya yake ina shida? Maana mwinyi wa 1995 na mwinyi wa saasa ni tofauti kabisa.
72366895.jpg


Mwinyi wa 1995

1.jpg


Mwinyi wa sasa

Kama mzee Mwinyi ni mzima, basi na Mrema ni mzima. Mlitarajia kwamba afya aliyokuwa nayo 1995 ndiyo iwe ya leo? Malecela wa 1995 ndiye huyu wa leo?

Ur right mkuu kuna uzee, ila kuna kuwa na afya mbovu pamoja na uzee, Mrema is like ana disintegrate, kama nababuka vile, si uzee huu tunauliza kulikoni? Mwinyi, Malecela, are ok with time and health
 
kuna wabovu wengi sana kule bungeni
subirini by elections tu wazee
 
Afya ya Mh Mrema mbona shwari tu!!

Ni ugumu tu wa maisha barabarani Sinza Palestina hadi Magomeni Mikumi; tangu enzi za ruzuku za wabunge 10 na zaidi NCCR-Manunuzi had leo hii kakiti kamoja tu cha kuotea jua TiEloPi.
 
huyo akiingia saluni ya maana akapigwa sopsop halafu akawa anahudhuria mnadani kwa ajili ya dozi ya michemsho daily, hasa ule wakati wa bunge la bajeti, wiki 3 tu mtaona anatoka shavu dodo
 
Msimwangalie Mrema peke yake, wabunge wengi humo afya migogoro. Subirini tu wangapi watapelekwa kutibiwa nje kwa pesa za wadanganyika.Msisahau na by election zitakuja tu
 
Hujakosea na wala maccho yako hayakudanganyi kaka, mwenyewe nimekuwa nikijiuliza mara nyingi sana, sasa sijui ni uzee ama ni hali ngumu ya maisha ama ni hicho kisukali ndiyo kinamtesa ama ni nini nashindwa kupata jibu.

Mna maana wanene ndio wenye afya na wembamba ni wagonjwa? Mimi nafikiri kinyume chake
 
Huyu mzee ana kisukari muda mrefu!! Huenda hili likawa moja ya sababu, pia na uzee; bila kusahau choka mbaya ya fweza!!!

Ukiona mtu mzima analialia ujue mamba yamefika shingoni, aliomba CCM wasiweke mtu Vunja, wamuachie...:smile-big:
 
Jamani Mrema alifulia karibu miaka 10 hana ubunge wala chama chake hakina ruzuku ya kutosha, mpeni miezi kadhaa hapo bungeni avute "posho" yake kama hamjamuona akianza kung'aa tena!!
 
nilisema awali alipotangaza kugombea anataka kuweka historia ya wabunge waliofia BUNGEN
so ana strategy yake mwache babu wa watu na si unajua akifia dom dugu wanavyolipwa sasa tuombe wasitokee wakina ana wengine
 
Back
Top Bottom