Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 422
- 86
Nakumbuka kwa mara ya mwisho nlinunua sukari mwez june ikiwa ni tsh. 1800/= na baadh wakiuza kwa tsh. 1700/- lakini hv juz nimepigwa na butwaa baada ya kukuta bei imepanda hadi 2300/2400 tshs. Yaani imepanda kwa zaid ya 25% ya bei ya awali. Hv haya maisha mbona hv mwajameni? Sumatra wana regulate bei za mafuta na nauli kwa vyombo vya usafiri, hv ni nani ana control hz bei za bidhaa/chakula?