Mwanamke unayempenda unamweleza vile unavyojisikia juu yake ila ujue ukweli.
Inapaswa pia na wale tusiowapenda (tunaowachukia) tuwaeleze vile tunavyojisikia juu yao ili wajue ukweli.
Kwanini tunachagua mambo ya kuelezana?
Mhhh kumweleza someone kuwa humpendi wakati yeye amekufa ameoza kwako ni issue
by the way love inaweza kugrom hata kwa yule ambaye humpendi