BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 910
- 2,164
Hii hasa inawahusu wale walomaliza elimu zao na still wapo tu home wanachezea smartphone either kwa kupost mitandaon au social conversation na wapenzi wao etc
Napenda kuwakumbusha
1.Mda unaenda na Umri Unaenda
Kadri unavokaa kizembe jua kuwa ndo unavyozidi kujicheleweshea maendeleo yako....plus pia utachelewa kufanikiwa na kufanya mambo ya maana
2.Maendeleo hayanaga mwisho
Wengi wanasubiri wakidhani kuwa mzee magu ipo siku ataalainisha vyuma
Hilo msahau....siku ya kuachia ni siku atakayoondoka madarakan
Siku zote hakunaga kupumzika kwenyw maendeleo....ukfanya jambo moja la maendeleo hukupa hamasa ya kufanya jingine
Hivyo hii namaanisha kuna miradi kibao itavumbuliwa baada ya hii mnayoiona sasa hv kumalizika
NB:..kama kijana umekaa unasubiri ajira za huyu mzee baba....amka....zinduka....tafta kazi...jiajiri....tengeneza maisha kabla hjachelewa....!!yawezekana kupitia hili ukajua mahali sahihi kwa mafanikio yako
Neno langu sio sheria....vijana n muhimu kushauriana
Napenda kuwakumbusha
1.Mda unaenda na Umri Unaenda
Kadri unavokaa kizembe jua kuwa ndo unavyozidi kujicheleweshea maendeleo yako....plus pia utachelewa kufanikiwa na kufanya mambo ya maana
2.Maendeleo hayanaga mwisho
Wengi wanasubiri wakidhani kuwa mzee magu ipo siku ataalainisha vyuma
Hilo msahau....siku ya kuachia ni siku atakayoondoka madarakan
Siku zote hakunaga kupumzika kwenyw maendeleo....ukfanya jambo moja la maendeleo hukupa hamasa ya kufanya jingine
Hivyo hii namaanisha kuna miradi kibao itavumbuliwa baada ya hii mnayoiona sasa hv kumalizika
NB:..kama kijana umekaa unasubiri ajira za huyu mzee baba....amka....zinduka....tafta kazi...jiajiri....tengeneza maisha kabla hjachelewa....!!yawezekana kupitia hili ukajua mahali sahihi kwa mafanikio yako
Neno langu sio sheria....vijana n muhimu kushauriana