Kilasi Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 2,325
- 719
Mimi nimefanikiwa kuusoma unabii wa Askofu mkuu Zakaria Kakobe ulio kuwa unakionya chama tawala CCM kwamba Mungu amekiona kuwa kimepotoka na sasa anakitaka kiingie katika toba vinginevyo kita kumbwa na mgawanyiko mkubwa.
Walimpuuza Kakobe sasa wanaona jinsi walivyo sambaratika.ni jambo ambalo usinge fikiria mzee kama Kingunge kuhama ccm,mtu aliye kianzisha chama cha TANU na hatimae CCM.
Ni unabii ambao viongozi wa CCM wanajikaza kisabuni kuukubali. Lakini unabii wenyewe unasema hauhitaji kukubalika unajitegemea..
Walimpuuza Kakobe sasa wanaona jinsi walivyo sambaratika.ni jambo ambalo usinge fikiria mzee kama Kingunge kuhama ccm,mtu aliye kianzisha chama cha TANU na hatimae CCM.
Ni unabii ambao viongozi wa CCM wanajikaza kisabuni kuukubali. Lakini unabii wenyewe unasema hauhitaji kukubalika unajitegemea..