Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Wakati tukijiandaa kuwa nchi ya viwanda, ningependa kupata updates za ujenzi wa viwanda hivyo pamoja na majibu ya maswali yafuatayo:
1.Nini kinaendelea sasa kuhusu ujenzi wa viwanda na labda kiwanda cha kwanza kinatarajiwa kuanza kujengwa lini?
2.Mpaka sasa ni aina gani ya viwanda vinavyotarajiwa kujengwa?
3.Ni wawekezaji gani wameahidi kuja kuwekeza hapa nchini katika sekta hii ya viwanda?
4.Kati ya hao, ni kina nani wameshawasili hapa nchi kwa ajili hiyo?
5.Ni wawekezaji wangapi wameshakabidhiwa hati za viwanja/ardhi ili waanze ujenzi wa viwanda hivyo?
6.Ni malighafi za aina gani zitatoka hapa nchini kwa ajili ya viwanda hivyo?
7.Mpaka sasa tunatarajia vijana wangapi wa kitanzania watapata ajira za muda katika ujenzi wa viwanda hivyo?
8.Ni meli ngapi zinazotarajia kuja, zilizoko njiani au zilizowasili hapa nchini zikiwa na shehena ya vifaa vya ujenzi wa viwanda hivyo?
9.Ni maeneo gani ambayo mpaka sasa yamefanyiwa au yanatarajiwa kufanyiwa Environmental Impact Assessment kwa ajili ya ujenzi wa viwanda?
10.Je, mpaka sasa ni vikao vingapi vimefanyika kati ya serikali,wadau wengine na wawekezaji kujadili utekelezaji wa azima ya ujenzi wa viwanda hapa nchini?
11.Mpaka sasa serikali imetenga au inakusudia kutenga ekari kiasi gani kwa ajili ya ujenzi wa viwanda hivyo?
12.Upatikanaji wa umeme umeboreshwa kwa kiasi gani kuipokea Tanzania ya viwanda?
13.Je,mpaka sasa kuna changamoto gani zimejitokeza katika kutekeleza kauli mbiu ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda na hatua gani zimechukuliwa/zitachukuliwa kukabiliana na changamoto hizo?
1.Nini kinaendelea sasa kuhusu ujenzi wa viwanda na labda kiwanda cha kwanza kinatarajiwa kuanza kujengwa lini?
2.Mpaka sasa ni aina gani ya viwanda vinavyotarajiwa kujengwa?
3.Ni wawekezaji gani wameahidi kuja kuwekeza hapa nchini katika sekta hii ya viwanda?
4.Kati ya hao, ni kina nani wameshawasili hapa nchi kwa ajili hiyo?
5.Ni wawekezaji wangapi wameshakabidhiwa hati za viwanja/ardhi ili waanze ujenzi wa viwanda hivyo?
6.Ni malighafi za aina gani zitatoka hapa nchini kwa ajili ya viwanda hivyo?
7.Mpaka sasa tunatarajia vijana wangapi wa kitanzania watapata ajira za muda katika ujenzi wa viwanda hivyo?
8.Ni meli ngapi zinazotarajia kuja, zilizoko njiani au zilizowasili hapa nchini zikiwa na shehena ya vifaa vya ujenzi wa viwanda hivyo?
9.Ni maeneo gani ambayo mpaka sasa yamefanyiwa au yanatarajiwa kufanyiwa Environmental Impact Assessment kwa ajili ya ujenzi wa viwanda?
10.Je, mpaka sasa ni vikao vingapi vimefanyika kati ya serikali,wadau wengine na wawekezaji kujadili utekelezaji wa azima ya ujenzi wa viwanda hapa nchini?
11.Mpaka sasa serikali imetenga au inakusudia kutenga ekari kiasi gani kwa ajili ya ujenzi wa viwanda hivyo?
12.Upatikanaji wa umeme umeboreshwa kwa kiasi gani kuipokea Tanzania ya viwanda?
13.Je,mpaka sasa kuna changamoto gani zimejitokeza katika kutekeleza kauli mbiu ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda na hatua gani zimechukuliwa/zitachukuliwa kukabiliana na changamoto hizo?