Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 56,914
- 30,975
Kweli yawezekana mzee wetu tangu mama atutoke lakini naamini yuko na msaidiizi
kwanza nampongeza kwa jinsi ya pamba anazovaa kwa kweli mzee hili nakupa kumi ila kuna hili kidogo yawezekana ni kajoto cha dar lakini sikuhzi kuna vitoto vidogo vikiona vifua vya wazee vimetakata kama chako avichelewi kukukimbilia..kujihami na mafwataki hawa wa kike mzee kifua kidogo uwafiche wasije kuongeza munkari siku ya siku UWAZI na IJUMAA hilo upareni...namaanisha mnaomtunza mzee tujitahdi kumfunga kifungo mpaka juu else madhara yake ni makubwa hasa kwa vijibinti vyenye kutamani wazee wetu na kuvunja ndoa za mama zetu
kwanza nampongeza kwa jinsi ya pamba anazovaa kwa kweli mzee hili nakupa kumi ila kuna hili kidogo yawezekana ni kajoto cha dar lakini sikuhzi kuna vitoto vidogo vikiona vifua vya wazee vimetakata kama chako avichelewi kukukimbilia..kujihami na mafwataki hawa wa kike mzee kifua kidogo uwafiche wasije kuongeza munkari siku ya siku UWAZI na IJUMAA hilo upareni...namaanisha mnaomtunza mzee tujitahdi kumfunga kifungo mpaka juu else madhara yake ni makubwa hasa kwa vijibinti vyenye kutamani wazee wetu na kuvunja ndoa za mama zetu