Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,355
- 40,237
Nimepita mahali nikakutana na baharia anapokea kipigo kikali kutoka kwa mkewe, na kilichonishangaza zaidi baharia ni IST na mkewe ni Fuso. Mbaya zaidi baharia akawa anatoa machozi, kutokana na maumivu ya kichapo alichokipata pamoja na kudhalilishwa. Nikawa najiuliza maswali huyu baharia alilazimishwa kuishi na fuso?
Jamani tuishi na wale tunaoweza kuwamudu, vinginevyo tuwe tayari kuja kudhalilishana.
Jamani tuishi na wale tunaoweza kuwamudu, vinginevyo tuwe tayari kuja kudhalilishana.