Jamani this is serious, nchi tajiri za Kiarabu kuwa ombaomba Afrika by 2030

Mwandishi naona hujafuatilia sana ulichoandika,au labda una hamu ya ubishi.Waarabu omba omba mbona wapo wengi tu,ila suala la uchumi wao kuanguka eti sababu ya alternative energy sources bado kidogo.Wao wenyewe wamelijua hili mda mrefu ndo maana waka diversify uchumi wao,ivo hawa jamaa sio 'one trick ponny' kama unavyofikilia.Dubai wameibadirisha kuwa mji wa kitalii,wameita mataifa mengine kui nvest ndani ya dubai,na wame invest sna mataifa makubwa kwenye properties,contruction,manufacturing etc.Uk peke ake hawa jamaa ni moja ya wanaomiliki majengo ya biashara ya thamani,na nchi nyngi tajir wao wapo.Wengi wameenda shule za maana,sio wale wa zamani kutuma tu.mtawala wa dubai ambae ni tajiri ka invest sana London,na nchi nyingi za ulaya na America, ana horseracing team 'Godolphin' fuatilia utajua.kwa ufupi, 95% ya Dubai gross domestic product is non oil based! Case closed!.
Kuongezea tu,kama ungefika dubai,,usa au europe na kuona uchumi unavyofanyiwa kazi usingeandika thread yako.
 
Sasa km kipande kimoja cha urani kinazalisha umeme marekani why muhangaike na umeme wa maji?
Uranium inahitaji itumike kwenye kinu cha kufua umeme ambacho bado hatuna na ni ghali na hatari mno ukilinganisha na kujenga bwawa, pia Uranium inapaswa kusafishwa kufikia very high level of purity kwenye centrifuges ambazo hatuna, hiyo ndio sababu. Lakini kukosa meno siyo sababu ya kugawa nyama bure kwa jirani, sijui umenielewa?
 
Mwandishi naona hujafuatilia sana ulichoandika,au labda una hamu ya ubishi.Waarabu omba omba mbona wapo wengi tu,ila suala la uchumi wao kuanguka eti sababu ya alternative energy sources bado kidogo.Wao wenyewe wamelijua hili mda mrefu ndo maana waka diversify uchumi wao,ivo hawa jamaa sio 'one trick ponny' kama unavyofikilia.Dubai wameibadirisha kuwa mji wa kitalii,wameita mataifa mengine kui nvest ndani ya dubai,na wame invest sna mataifa makubwa kwenye properties,contruction,manufacturing etc.Uk peke ake hawa jamaa ni moja ya wanaomiliki majengo ya biashara ya thamani,na nchi nyngi tajir wao wapo.Wengi wameenda shule za maana,sio wale wa zamani kutuma tu.mtawala wa dubai ambae ni tajiri ka invest sana London,na nchi nyingi za ulaya na America, ana horseracing team 'Godolphin' fuatilia utajua.kwa ufupi, 95% ya Dubai gross domestic product is non oil based! Case closed!.
Kuongezea tu,kama ungefika dubai,,usa au europe na kuona uchumi unavyofanyiwa kazi usingeandika thread yako.
Mbona umecopy na kupaste kile kile nilichoandika kwenye uzi wangu, hebu soma nini nimeandika kuhusu Dubai, ndio hiki hiki ulichoandika, ila tu umerefusha maelezo bila sababu ya msingi ili kumchosha msomaji. Halafu hatuzungumzi Dubai in Specific, tunazungumzia waarabu, sawa?
 
Binti wa kiarabu naona umekuja kumtetea ubani wako wa kiarabu
Mimi dume la mbegu,usidhani kwavile wewe ni binti basi kila mtu atakua binti kama wewe,

Vipi lakini mumeo toka akupige talaka hajabadili uamuzi wakukurudia?
 
Ndio nimeongelea Africa, lakini specifically nikaweka wazi juhudi za Tanzania katika kujiweka mahala pazuri ili muda huo ukifika tuwe tumejiimarisha vyema, hiyo haimaanishi kwamba nchi zingine za Afrika kama Kenya (SGR), Ethiopia (Renaissance dam) na wengine wengi hawatonufaika na miradi yao muda huo utakapofika. So far sioni unachozungumza ni nini as regards to this thread, naona utopolo tu
Huna akili wewe,siwezi kupoteza muda kumfahamisha mtu ambaye ni hamnazo.
 
Najua kwamba umeniuliza..., ila ni irrelevant, maana mimi nimezungumzia waarabu sio Dubai, otherwise itakuwa ni kama huo mfano wa mtu azungumzie Tanzania we unazungumzia Kilimanjaro au Dar, utakuwa na akili kweli?
Unaona sasa ulivyo mjinga? unasema umezungumzia waarabu ila sio Dubai!! huko Dubai ni wa Masai? We jamaa ni hasara kubwa sana,kaa chini ujihurumie.
 
Mimi dume la mbegu,usidhani kwavile wewe ni binti basi kila mtu atakua binti kama wewe,

Vipi lakini mumeo toka akupige talaka hajabadili uamuzi wakukurudia?
Wanawake wa kiswahili mkiachwa eda au mkiletewa wake wenza huwa mnapayuka kama madufu.

Eda itaisha lini bibie?
 
Magari ya umeme ndio future ya usafiri ilipangwa kwa sasa; hata wanaozalisha magari wengi wao wanaweka 'hybrid systems' ili hayo magari yaweze kutumika hata pale magari yenye sumu ya moshi yatakapopigwa marufuku. Nchi nyingi za Ulaya zitapiga marufuku magari yenye sumu ya ukaa by 2030. Vinu vya nyuklia vya umeme vitaongezeka kwa kasi Ulaya na Marekani, mabwawa ya umeme na wind mills pia (clean energy).

Afrika peke yetu ndio tutabaki kuwa soko la sumu (fossil fuel) toka kwa waarabu hasa Saudi Arabia, hali itakayofanya waarabu kugombea kutuuzia mafuta inexchange for grains na vyakula vya aina nyingine. Katika kulijua hili na kwa kuona kwake mbali mh.JPM ameshaanza mchakato wa ujenzi wa bwawa kubwa la umeme almaarufu kama Stieglers gorge litakaloweza kuzalisha MW 6000 at full capacity, ili magari yanayotumia sumu ya ukaa (fossil fuel) yatakapokuwa phased out na magari ya umeme basi Tanzania tutakuwa tunajidai tu; pia Mh.JPM anaendelea na mchakato wa ujenzi wa reli ya SGR ambayo nayo itatumia umeme.

Waarabu wana hali mbaya sana na Dubai wamegundua hatari hii, ndio maana wanabadilisha utegemezi kutoka kwenye mafuta kwenda kwenye utalii, hadi wanajenga visiwa bahari (Palm island). Waarabu literally watakuja kupiga magoti Tanzania in particular wakiomba tuwapatia walau tani milioni kadhaa za nafaka, kwani bwawa la stiegler's gorge litawezesha kilimo cha umwagiliaji hivyo kuongeza uzalishaji mara 50 kiasi cha kuweza kulisha Afrika nzima. STIEGLER'S OYEE, pale Sinza watajaa watoto wakali toka uarabuni, itakua ni kujichagulia tu, STIEGLER'S OYEEE, JPM OYEEE...!

Bila kusahau kwamba ongezeko la vinu vya nuklia itasababisha uhitaji mkubwa sana wa madini ya URANIUM, hivyo kwakuwa Tanzania ina migodi ya URANIUM kwa wingi sana huko Lindi, basi waMarekani na wazungu kwa ujumla hawatakua na budi bali kutulamba miguu ili tuweze kuwapatia hiyo URANIUM tuliyonayo na si ajabu kasi ya uchimbaji madini hayo imeongezeka sana huko Lindi, kiasi by 2030 inaweza ikawa imeisha, ningeomba kwa sasa JPM asitishe usafirishaji/utoroshaji wa Uranium hadi pale mustakabali wa suala hili utakapoeleweka ili tuje kuiuza baadae kwa bei ya kuringa na kunata, kuliko hivi sasa wanavyojichotea Uranium kama ya bibi yao vile, hili halikubaliki.

Kipande kidogo tu cha Uranium kinaweza kuzalisha umeme wa kuilisha Marekani kwa miaka hata 10, acheni utani na masikhara kwenye Uranium yetu, tunaijua thamani yake, waTanzania wa sasa tumeelimika!
================================
Update: 26/04/2020
Bei ya pipa la mafuta ghafi nchini Marekani yashuka na kufikia chini ya $0 - JamiiForums
=================================
Update: 10/01/2021
Ungejua hata Africa nchi nyingi tuu zina mafuta/fuel mfano akina Gabon, Nigeria, Libya, Algeria, South Sudan, Uganda Congo Republic, . Kwahiyo mafuta tuu yaliyopo Africa hatuna uwezo wa kuyatumia kabisa. Kwahiyo kama ikiwa hivyo soko la mafuta la waarabu litakuepo finished. Lakini pia umeme utakaozalishwa stigliers gorge ni mchache bado Kwa matumizi ya magari . Kwasababu nafikiri bado tunayo Safar ndefu as Africa continet. Kwasababu umeme tuu unaozalishwa Ufaransa pekee ni mkubwa zaidi ya unaozalishwa sub Saharan Africa nzima. Lakini matumizi ya mafuta bado yatarndelea kuhitajika tuu Kwa miaka mingine ijayo.
 
Najaribu kuvuta picha zile gari za kazi, let say Scania V8 nyuma limekula mzigo wa bulldozer linaupeleka field milimani huko halafu eti chuma kama hii iko powered na chaji sio diesel? Sidhani kama huko tunafika 2030 karibu hivo.. Umeme nadhani utaendelea kutumika kwenye baby walker tu mitaa ya town tu
 
Najaribu kuvuta picha zile gari za kazi, let say Scania V8 nyuma limekula mzigo wa bulldozer linaupeleka field milimani huko halafu eti chuma kama hii iko powered na chaji sio diesel? Sidhani kama huko tunafika 2030 karibu hivo.. Umeme nadhani utaendelea kutumika kwenye baby walker tu mitaa ya town tu
Akili kama zako ndio zinasababisha akina Elon Musk wanakuwa matajiri namba moja duniani, pale unapoacha wewe gap mwenzako ndio ana cover na kupiga mpunga, haya, search mabasi makubwa ya umeme youtube kwanza..
 
Back
Top Bottom