Jamani Tete Mariah Miss Ilala 2004 Yuko Wapi?

Ndani ya Tagged.com kuna dada ameweka pics za Tete Mariah Mallya Na anasema ni yeye anatafuta friends na yupo south Africa. Lakini hajui kiswahili ukichat na yeye na ukienda deep naye kumtongoza anataka umtumie tickets jee huyu ni yeye au ni impersonation? wana forum nipeni maoni

Aliyekulia TZ si rahisi kupoteza maneno ya kiswahili.
Macos kuna wanigeria angalia wasikuingize mjini.Huu ndo utandawazi
 
Angalia mambo ya utandawazi yalivyo:

ATTN: WINNER,


Your E-Address was selected for category B in this weeks International
United Kingdom Lotto programme. These are your details.

ticket number:56475600545188
fileXYL/26510460037/05

Your draw has a total value of One Million Pounds(£1,000.000.00).

Full Names:____________
Address:_________________
Age:____________________
Occupation:_________________
Telephone:________________
Sex:______________________


NAME: Mr. Richard Barnard
E-mail: theclaimsofficerrichard01@yahoo.com.hk
 
Skills,

Kuna mtu katika "online booty fishing" kakutana na picha za mdada wa kibongo, akasomesha akaona mdada mwenyewe hajui kiswahili halafu anaomba hela ya tiketi.Anatoa alarm kwa mdada halisi mwenye picha zake kwamba watu wanatumia picha na jina lake kwa utapeli.

Washashi badala ya kujadili issue wanamzonga.

Y'all gotta be careful with your profiles out there.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom