Mkuu hata kawe huwa ccm wanashinda lakini mambo yapoje mwaka huu!!
Raia wa Tmk hawachakachuliki jana walionyesha advertise tandika so ccm wathubutu waone moto wake.
Kwa kweli ni aibu kwa majimbo mengi ya Dar kuchukuliwa na CCM tena...! We need to strategize a way ya kuondokana na CCM Dar es Salaam kwa kweli...! Bora hata SAU au hata Jahazi Asilia wachukue kuliko CCM tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.