Jamani TBC hii ni sawa kweli?

Bishanga

JF-Expert Member
Jun 29, 2008
15,323
10,050
Ni saa mbili kasoro usiku mko sebuleni na watoto mnasubiri taarifa ya habari TBC mara linarushwa tangazo la biashara ya bidhaa za kinamama za kujisetiri.Tangazo linaanza mara oh inanyonya unyevunyevu,mara inakausha haraka na kaza wa kaza.Hivi mtoto akikuuliza mama/baba hii nini unamjibuje? Wadau mimi nauliza kwa nia njema kabisa hivi ni sahihi kweli matangazo ya aina hii yarushwe primetime?
 
Mkuu never ever do that again
Kukaa na watoto wako sijui na mke wako na wageni sebuleni mnaangalia Tv kwa pamoja hasa hizi tv za wabongo ambazo kwao tangazo lolote linatolewa hata kama linaviolate the rules
tafuta hata kiTV chako cha inc 14 ukiweke rum uangalie na mkeo
utakuja umbuka siku moja wanaweka tamthilia zao hizi wanaonyesha jamaa wanavuana nguo wanapanda kitandani kwa mahaba na uko na mama mkwe wako mnaangalia au na mtoto wako mdadisi anakuuliza mbele ya mama mkwe eti dady wale wanafanya nini
Sijui utakimbilia wapi au utajiuma uma na kuipotezea
Ila hapo ujue aibu tayari
 
Mkuu never ever do that again
Kukaa na watoto wako sijui na mke wako na wageni sebuleni mnaangalia Tv kwa pamoja hasa hizi tv za wabongo ambazo kwao tangazo lolote linatolewa hata kama linaviolate the rules
tafuta hata kiTV chako cha inc 14 ukiweke rum uangalie na mkeo
utakuja umbuka siku moja wanaweka tamthilia zao hizi wanaonyesha jamaa wanavuana nguo wanapanda kitandani kwa mahaba na uko na mama mkwe wako mnaangalia au na mtoto wako mdadisi anakuuliza mbele ya mama mkwe eti dady wale wanafanya nini
Sijui utakimbilia wapi au utajiuma uma na kuipotezea
Ila hapo ujue aibu tayari
we acha tu Mkuu.
 
Mkuu never ever do that again
Kukaa na watoto wako sijui na mke wako na wageni sebuleni mnaangalia Tv kwa pamoja hasa hizi tv za wabongo ambazo kwao tangazo lolote linatolewa hata kama linaviolate the rules
tafuta hata kiTV chako cha inc 14 ukiweke rum uangalie na mkeo
utakuja umbuka siku moja wanaweka tamthilia zao hizi wanaonyesha jamaa wanavuana nguo wanapanda kitandani kwa mahaba na uko na mama mkwe wako mnaangalia au na mtoto wako mdadisi anakuuliza mbele ya mama mkwe eti dady wale wanafanya nini
Sijui utakimbilia wapi au utajiuma uma na kuipotezea
Ila hapo ujue aibu tayari



Rocky ila once in a while kaa kando jifanye unasoma gazeti observe
wanaoa channels wanachagua na kutafuta... na pia maongezi yao
dhidi ya vipindi... inakupa saana picha level ya mwanao ya kufikiri iko
vipi na mambo gani likely anajua....
 
Rocky ila once in a while kaa kando jifanye unasoma gazeti observe
wanaoa channels wanachagua na kutafuta... na pia maongezi yao
dhidi ya vipindi... inakupa saana picha level ya mwanao ya kufikiri iko
vipi na mambo gani likely anajua....


Nakubaliana na wewe si kwamba uabandon sebule yako kabisa
Ila sometime unakaa nao kwa muda mfupi uangalie ni nini anachoangalia na ni vipindi gani anapenda
na mtizamo wake kwenye vipindi vya tv ukoje na nini anachojifunza humo
Ni kwa muda mfupi ili usije kuumbuka maana mwanangu wa kiume akiona tounge kiss ananiambia dady ile mbaya
 
Nakubaliana na wewe si kwamba uabandon sebule yako kabisa
Ila sometime unakaa nao kwa muda mfupi uangalie ni nini anachoangalia na ni vipindi gani anapenda
na mtizamo wake kwenye vipindi vya tv ukoje na nini anachojifunza humo
Ni kwa muda mfupi ili usije kuumbuka maana mwanangu wa kiume akiona tounge kiss ananiambia dady ile mbaya


........lolz.... Nimekupata... tuko pamoja!
 
unachosema ni sawa ila pia ni wajibu wa wazazi kuwalinda watoto na TV. ikiwezekana watoto wawe wanaangalia vipindi vya watoto tu
 
Mkuu never ever do that again
Kukaa na watoto wako sijui na mke wako na wageni sebuleni mnaangalia Tv kwa pamoja hasa hizi tv za wabongo ambazo kwao tangazo lolote linatolewa hata kama linaviolate the rules
tafuta hata kiTV chako cha inc 14 ukiweke rum uangalie na mkeo
utakuja umbuka siku moja wanaweka tamthilia zao hizi wanaonyesha jamaa wanavuana nguo wanapanda kitandani kwa mahaba na uko na mama mkwe wako mnaangalia au na mtoto wako mdadisi anakuuliza mbele ya mama mkwe eti dady wale wanafanya nini
Sijui utakimbilia wapi au utajiuma uma na kuipotezea
Ila hapo ujue aibu tayari

Kaka unavyosema ni kweli lakini sasa hata kama sebuleni amemwacha mama mkwe na watoto inamaanisha taarifa ya habari hawataangalia, au ndio wataweka cd tu kila kukicha, na unakuta miongoni mwa watoto wako yupo mmoja anapenda sana kuangalia taarifa ya habari ili ajue yaliyojiri duniani, kusemakweli mkuu hivi vyombo vya habari havijari hilo, na hili ni hatari kwa taifa zima, matangazo kama hayo wangekuwa wanayaweka usiku wa manane. Au mwasemaje waungwana.
 
Kaka unavyosema ni kweli lakini sasa hata kama sebuleni amemwacha mama mkwe na watoto inamaanisha taarifa ya habari hawataangalia, au ndio wataweka cd tu kila kukicha, na unakuta miongoni mwa watoto wako yupo mmoja anapenda sana kuangalia taarifa ya habari ili ajue yaliyojiri duniani, kusemakweli mkuu hivi vyombo vya habari havijari hilo, na hili ni hatari kwa taifa zima, matangazo kama hayo wangekuwa wanayaweka usiku wa manane. Au mwasemaje waungwana.
yaani mimi nachoka kabisa,i hope watu wa TCRA wanaingia humu mmu.
 
Lakini mkuu hii si kwa TBC peke yake...inatokea kwa almost TV zetu zote iwe za bongo na hata za nje pia! na hizi movie zetu za kibongo ambazo pengine watoto na wanawake ndio hupendelea sana, siku hizi mambo hayo ndio nje nje! kwakweli bora kuwa na ka-Tv kako chumbani...maana waweza umbuka ati..oohooo!
 
Rocky ila once in a while kaa kando jifanye unasoma gazeti observe
wanaoa channels wanachagua na kutafuta... na pia maongezi yao
dhidi ya vipindi... inakupa saana picha level ya mwanao ya kufikiri iko
vipi na mambo gani likely anajua....
yaani Asha malezi ya kileo kwenye utandawazi kaaaazi kweli kweli.
 
Lakini mkuu hii si kwa TBC peke yake...inatokea kwa almost TV zetu zote iwe za bongo na hata za nje pia! na hizi movie zetu za kibongo ambazo pengine watoto na wanawake ndio hupendelea sana, siku hizi mambo hayo ndio nje nje! kwakweli bora kuwa na ka-Tv kako chumbani...maana waweza umbuka ati..oohooo!
kama walivyosema wakuu hapo juu ndo umekaa na ma mkwe,lol!
 
Kaka unavyosema ni kweli lakini sasa hata kama sebuleni amemwacha mama mkwe na watoto inamaanisha taarifa ya habari hawataangalia, au ndio wataweka cd tu kila kukicha, na unakuta miongoni mwa watoto wako yupo mmoja anapenda sana kuangalia taarifa ya habari ili ajue yaliyojiri duniani, kusemakweli mkuu hivi vyombo vya habari havijari hilo, na hili ni hatari kwa taifa zima, matangazo kama hayo wangekuwa wanayaweka usiku wa manane. Au mwasemaje waungwana.

Nakubaliana na wewe na nakubaliana na mawazo yako
Tatizo nu kuwa hatujui tume ya mawasiliano inafanya nini au TCRA huwa hawaangalii vipindi vinavyorushwa na hizi tv
Maana kuna tamthilia ambazo zinaonyeshwa kwenye tv hizi zina mabo ya wazi ya mapenzi ila zinaonyeshwa mchana kweupe na sio hata kwa wale may be wenye cable wala dstv au star times ni hizi station za kawaida kama tbc au star tv au channel ten
Ila zinaachwa zikiwa na the same episode za mapenzi
Ni ngumu sana kucontrol haya mambo haswa wakati wewe unapambana kutafuta maisha mfanyakazi wako wa ndani yeye yuko kwenye tv na watoto wako wanaangalia tamthilia au movie za kinigeria ambazo nyingi zina masuala ya mapenzi
 
unajua shida ni kwamba sisi weusi tumeletewa mambo ya utandawazi haraka haraka bila kujipanga ndio maana lazima yatutokee mdomoni kama sio puani, wenzetu weupe kwao vitu kama hivi sio ishu kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!
Wakiamua hata uwanjani kweupeeeeeeeeeeeeee wanafanya lolote kama vile wapo chumbani.
 
yaani mimi nachoka kabisa,i hope watu wa TCRA wanaingia humu mmu.

Ndio watu wa TCRA wanaweza kutusaidia kiasi katika hili...lakini wakati mwingine lazima tuangalie uhalisia wa kitu kuliko kuhangaika kutafuta mchawi ni nani! utandawazi ndio ushaingia hivyo na ni vigumu sana kupingana nao...sasa tatizo jingine ni huku kwenye familia zetu tunashindwa ku-control discipline kwa watoto, ndio tunaweza kusema labda tamthilia fulani zianze kuoneshwa saa tano, cha ajabu huo muda unakuta watoto hata lile wazo la kwenda kulala hawana na wazazi wanaangalia tu! TV zingine huweka parental control (mwongozo wa familia) kwa mfano 13, 16 au 18 lakini huwa tunaona lile kama pambo vile...! kazi ipo
 
Kwakweli condom na pad adverts in peak hours blitz embarrasses....... Na watoto wa siku hz walivyo wadadisi na wasiotaka kupitwa na kitu, maswali wanayoyafurumusha wakati mwingine naona yanawazidi umri...... Inapelekea hata taarifa ya uangalie chumbani..... Kazi kweli kweli......
 
Kitu ambacho wazazi tunakosea ni ile hali ya kufikiri kua tukiwaachia watoto wawe
modern moja kwa moja ndo usasa... haya mambo ya media haya inabidi kua makini saana.

Kweli inabidi kuwa makini sana na kuwa karibu nao kila wakati kujua hata ule muda ambao hukuw anyumbani ni nini walichhokiona kwenye media
naamini huwezi kupingana na ukweli ila inabidi kuwa makini na kila linaloendelea kwa mtoto
 
Dah, huwa nakerekwa sana pale Shaa anaposema "ninapokuwa katika siku zangu", kwanza huwa naona kinyaa, pili wakati mwingine ndio hivyo tupo sebuleni tunaangalia taarifa ya habari yaani siangalii habari ya 2usiku Kupitia TBC kama kunamchanganyiko wa kifamilia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom